Tetesi: Uhakiki vyeti TRA; 437 kupigwa chini

Tetesi: Uhakiki vyeti TRA; 437 kupigwa chini

Kuna wakati zaidi ya robo tatu ya wafanyakazi wa TRA walikuwa wachagga. Sijui kama wote walikuwa na vyeti halisi

Wee jamaa sijui jike,, una chuki binafsi sana,, una wivu,, ni mkabila, ni mdini una mambo ya kikanda, kizee zee,, weee kama si mchawi basi ni mganga wa kienyeji.., unapungufu mkubwa sana kichwani,,,

Acha bla,,bla..kwenye mitandao utakufa maskini,, piga kaz sister sijui braza.. Muda unaotumia masaa 24 kushinda nyuma ya keyboard ungebeba hata jemba utapata zaidi ya buku saba unayolipwa..

Wachaga watu wanaoishia kuwasema kila siku wao hawana utani kwenye kiitwacho maendeleo. Wanaijua elimu nini kwa watoto wao. Wapo radhi kuuza kila kitu ili mtoto asome. Kama zaidi ya asilimia 90 wamesoma vizuri sioni nini cha kushangaa ukiwakuta kila mahali wapo.
 
Kuna wakati zaidi ya robo tatu ya wafanyakazi wa TRA walikuwa wachagga. Sijui kama wote walikuwa na vyeti halisi
Ni wakati gani huo mkuu?mi msukuma na Niko TRA mbona sjaona hyo kitu zaidi ya kuajiri kwa sofa ya MTU tens wenye passmark za juu
 
Watanzania tunakariri kila kitu mpaka 'kazi' zinazolipa. Naamini neema iliyokuwepo TRA hapo kabla kwa sasa itakuwa imeshuka kwa zaidi ya 50% na wapigaji watakuwa hawapigi kivile tena.

Chukulia mfano miaka ya 80 ilikuwa kichekesho kwenda kufanya kazi BoT maana 'michongo' yote ilikuwa RTC na NMC lakini kwa sasa ukiangalia hali hiyo jibu lake ni "nyuma geuka...".

Mwanzo wa kila kitu ni mgumu na kwa sababu serikali yenyewe imeamini katika 'kuombaomba' na kushindwa kuwajengea wanachi wake confidence na tumedharau kilimo hasa vijana.

Tukija kushituka ni pale tutakapokuta ardhi yote imetwaliwa na wageni na watoto wa matajiri wasio hata na form IV wametuajiri 'wataalamu wa Kitanzania' wenye PhD kwenye mashamba kama vibarua. TRA walineemeka sio kwa mishahara bali loop holes zilizokuwepo!
 
Kuna wakati zaidi ya robo tatu ya wafanyakazi wa TRA walikuwa wachagga. Sijui kama wote walikuwa na vyeti halisi
Jifariji na hayo maneno lakini ukumbuke kuwa wachaga wote wanaomiliki biashara sio kwa juhudi hizi unazodai.
 
anaebisha kuwa udini ns ukabila haupo katika ajira nyingi Tanzania nani uhamiaji karibuni tuu hapa walikimbuzwa watu Taifa ajira wakapata wengine kabisa mpaka zikafutwa Tra nako ni hivyo hivyo unabisha wakati idadi ipo 450 wakati hawa tuu ni wachache kabisa idadi ni nusu ya wafanyakazi wa TRA ni Vihiyo...wamefoji vyeti....
 
Kweli wachagga walipafanya TRA kama nyumbani kwao..mtoto wa shangazi.mjomba..baba mkubwa wote wapo...wachaga wabinafsi sana Harry Kitilya aliiharibu sana TRA kwa ukabila...sasa hivi anavuna alichokipanda
Halafu wana vyeti feki.
 
Mkuu inasemekana wachagga walikuwa wanatamba TRA utadhani wana hati miliki.

Nachukia sana ukabila kwenye ajira. Na hili Kabila limekuwa likilalamikiwa sana.

Huwa najaribu kuwaza hali itakuwaje siku Tanzania ikipata Rais mchagga au mhaya!!

-Kaveli-

Wahaya,wanyakyusa na wachaga wako sawa ukitizama sababu za kihistoria
Tofauti na hapo ni wivu na majungu
 
Asante Rais Magufuli. Jitihada zako zinaenda kuzaa matunda kwa watoto masikini..

Baada ya lile sakata la NSSF kupiga chini zaidi ya wafanyakazi 200+ waliofoji vyeti, wiki hii TRA inatarajia kupiga chini watumishi wake zaidi ya 400 (437). Hawa ni walioingia bila sifa, waliofoji vyeti, walioingizwa na ndugu zao ambao waliokuwa vigogo...

Pamoja na hatua hiyo nzuri ila tunaomba serikali kuu isimamie hili zoezi kwa TRA, kwani kuna rushwa, na harufu ya kubebana ili kubakiza baadhi ya watumishi ambao hawana sifa...

Naomba nikuambie wazi kamishna Mkuu wa TRA, Ndugu Kidata ofisi ya HR inadhamiria kukudanganya katika hili zoezi. Wameamua kwa makusudi kulichukulia hili zoezi kimazoea. Hawajui hizi ni zama za Magufuli... Tafadhali Kamishna chukua hatua haraka sana.... Utadanganywa katika namba halisi...

My take: Naiona Tanzania Mpya chini ya Rais Magufuli
Chanzo cha habari yako tafadhali
 
Habari mbaya kwa ukawa, nasubiri kupata tamko kutoka UKAWA
 
Mkuu inasemekana wachagga walikuwa wanatamba TRA utadhani wana hati miliki.

Nachukia sana ukabila kwenye ajira. Na hili Kabila limekuwa likilalamikiwa sana.

Huwa najaribu kuwaza hali itakuwaje siku Tanzania ikipata Rais mchagga au mhaya!!

-Kaveli-
Hao ndo watakaobaki maana wana vyeti vya ukweli.
 
Aisee kumbe tunaangaika mitaani na bahasha za kaki kumbe wengine wanafoji vyeti.
Task force fanyeni kazi hiyo na wataobainika sheria ichukue mkondo.
 
Back
Top Bottom