Wote walio foji vyeti hawawezi kukiepuka kikombe hichoDaaah nimepata laana ya 'retired officer' wa TRA. lol
We jamaa unazeeka vibaya aisee. Haya piga sala nzito hao ndugu zako 'kikombe cha Vyeti feki' kiwaepuke.
-Kaveli-
Mkuu naona umetema nyongo kweli mkuu
Wote walio foji vyeti hawawezi kukiepuka kikombe hicho
Na hivyo vyeti fake wana pass za juu au??????Ni wakati gani huo mkuu?mi msukuma na Niko TRA mbona sjaona hyo kitu zaidi ya kuajiri kwa sofa ya MTU tens wenye passmark za juu
Sasa mtoto wa maskini hii inamsaidiaje mana watoto wa maskini hata elimu ya chuo wengi hawana au ndio ile roho za kimaskini kufurai mwenzako akiwa chini, ungesema zoezi hili linasaidia kupata watu wenye sifa na vyeti shahili sio italeta matunda kwa watoto wa maskini maana watoto wa maskini sio criteria ya kupata kaziAsante Rais Magufuli. Jitihada zako zinaenda kuzaa matunda kwa watoto masikini..
Baada ya lile sakata la NSSF kupiga chini zaidi ya wafanyakazi 200+ waliofoji vyeti, wiki hii TRA inatarajia kupiga chini watumishi wake zaidi ya 400 (437). Hawa ni walioingia bila sifa, waliofoji vyeti, walioingizwa na ndugu zao ambao waliokuwa vigogo...
Pamoja na hatua hiyo nzuri ila tunaomba serikali kuu isimamie hili zoezi kwa TRA, kwani kuna rushwa, na harufu ya kubebana ili kubakiza baadhi ya watumishi ambao hawana sifa...
Naomba nikuambie wazi kamishna Mkuu wa TRA, Ndugu Kidata ofisi ya HR inadhamiria kukudanganya katika hili zoezi. Wameamua kwa makusudi kulichukulia hili zoezi kimazoea. Hawajui hizi ni zama za Magufuli... Tafadhali Kamishna chukua hatua haraka sana.... Utadanganywa katika namba halisi...
My take: Naiona Tanzania Mpya chini ya Rais Magufuli
Umeeongea fact.Wewe unasema Ofisi ya HR pale TRA inadhamiria kumdanganya inaonekana Ukweli unaujuwa. Naomba uende Ofisini kwa Kamishna ukamweleze Ukweli.
Mbona una sababu nyingi hivyo ndugu?.........nyie ndio ambao JPM anawatafuta awasomeshe namba.SHULE NILIYOSOMA ILIBEBWA NA MAFURIKO MWAKA 2002 NA MIMI NIMEMALIZA MWAKA 1996.
sasa hivi anasema wengi ni wachaga, sasa sijui hao wenye vyeti feki wakifurumushwa na kubaki wachaga tupu atasema nini!!Kaka yangu lizabon sina uhakika kama kabila Fulani wakiwa wengi basi wamefoji no
Lazima muisome namba...........kama ulipata kazi kwa kushikwa mkono na shemeji yako rudi mtaani wenye sifa wachukue nafasi zao.Acheni majungu na unafiki
Mkuu Lizaboni mm suala la ukabila huwa naliogopa sana kulitamka tamka,halina afya sana kwa mustakabali wa Taifa letu,tuangalie hili la vigezo, kama hawana ni kuchinjilia mbali basi!Kuna wakati zaidi ya robo tatu ya wafanyakazi wa TRA walikuwa wachagga. Sijui kama wote walikuwa na vyeti halisi
Sikupingi wala sikubaliani na wewe kwa wakati mmoja. Si kwa sababu mimi ni mhusika ila ni kwa sababu napenda fact zaidiAsante Rais Magufuli. Jitihada zako zinaenda kuzaa matunda kwa watoto masikini..
Baada ya lile sakata la NSSF kupiga chini zaidi ya wafanyakazi 200+ waliofoji vyeti, wiki hii TRA inatarajia kupiga chini watumishi wake zaidi ya 400 (437). Hawa ni walioingia bila sifa, waliofoji vyeti, walioingizwa na ndugu zao ambao waliokuwa vigogo...
Pamoja na hatua hiyo nzuri ila tunaomba serikali kuu isimamie hili zoezi kwa TRA, kwani kuna rushwa, na harufu ya kubebana ili kubakiza baadhi ya watumishi ambao hawana sifa...
Naomba nikuambie wazi kamishna Mkuu wa TRA, Ndugu Kidata ofisi ya HR inadhamiria kukudanganya katika hili zoezi. Wameamua kwa makusudi kulichukulia hili zoezi kimazoea. Hawajui hizi ni zama za Magufuli... Tafadhali Kamishna chukua hatua haraka sana.... Utadanganywa katika namba halisi...
My take: Naiona Tanzania Mpya chini ya Rais Magufuli
Mkuu unaushahidi na hili??Kuna wakati zaidi ya robo tatu ya wafanyakazi wa TRA walikuwa wachagga. Sijui kama wote walikuwa na vyeti halisi