Hapo kwenye swali eti walijulikanaje ndo wakarudishwa Israel.....kwani Adolph hitler aliwafahamje hadi kuuwa zaidi ya million 6..??
Yes mpk unawakusanya mil 6 unawaua inamaa ****.kitu cha kujitofautisha nao......au.la story ya hitler ilikuwa kamba za wazungu. Maana netanyau na oliver khan unawatofautishaje?Wali zuri,ina maana waisraeli hawakufanana na wajerumani kabisa na ikawa rahisi kuwapoint kwenye community....this has led me to believe hawakuwa weupe...[emoji848][emoji848][emoji848]
Fikiri zaidi,Kabila ya yuda aka juda ndio Negro wa sasa wale waliouzwa kwenye trans saharan trade trouth west africa to usa
Wali zuri,ina maana waisraeli hawakufanana na wajerumani kabisa na ikawa rahisi kuwapoint kwenye community....this has led me to believe hawakuwa weupe...[emoji848][emoji848][emoji848]
Aisee Kumbe huwa unaweza kwa katumia kinyeo na si ubongo!!Waisraeli ni Wakristo wote Dunia na mzaliwa wao wa kwanza ni Yesu Kristo, Wakristo ndiyo warithi wa ahadi ya uzima wa milele ambayo alipewa Abrahamu .
Yaani waafrika akili zetu zipo kwenye mikundu yetu. Hao wayahudi wanavyowadhalilisha wapelestina kwa kuwaua na kupora ardhi zao ambayo ni sawa na wale makaburu au wakoloni walivyotufanyia waafrika. Lakini leo hii anaepigania haki yake kama wapelestina wanaitwa magaidi hata ANC ya Afrika kusini wakati walipokuwa wanatafuta haki walikuwa branded na mataifa ya magharibi kama magaidi. Na wapigania uhuru wote walikuwa wanaitwa magaidi. Someni mjue.
Kivip?Historia yako ni feki
Hachana nae huyu anabisha bila factJuu ya wamisiri kuwa weusi husibishe kijana, kuna mkakati ulifanyika kuwaondoa weus kaskazini mwa Africa hawa waarab wote ni wageni kijana
Kwani wachina ni wazungu?Pumba bin Bashite, unaijuwa Population ya Wachina tu peke yake wako wangapi? Umewahi kumuona Black chinese?
Muulize bashiteHivi kumbe Yesu ni Mungu..!!?[emoji144] ebu mnifafanulie vizuri hili swala..
Asante ndugu yangu ni watu wachache sana wenye fikra huru kama wewe wanaweza kuelewa nilichokiandika hapo na najua ni ngumu kwa wengi kunielewa hadi uwe upo huru kifikra kuweza kubaini uongo tulioaminishwa tangia tukiwa watoto makanisani kwetu na mashuleni,majority ya watu wengi hufuata kile vyombo vikubwa vya habari vinasema na huamini hivyo,wengi huamini vitu eti kwakuwa CNN,BBC,ALJAZEERA,FOX na wengine wamesema! pasipo kuchunguza kiundani ni nini hasa,Mungu aliyajua haya kitambo sana ndiomaana akayaweka kwenye maandishi (Biblia )kusudi kila mtu aielewe kweli nayo kweli imuweke Huru!.Nimesoma vizuri sana uzi huu na refference za biblia pia nimezipitia vizuri sana. Umenifunua sana ubongo wangu. Biblia kweli ilinishinda kusoma na kuujua ukweli wa taifa hili ingawa niliamini kua hao wazungu waishio huko ndo waisrael wenyewe. Kuna siku niliangalia makala flani kwenye TV wakionesha waisrael weusi waliopo south africa na zimbabwe. Nikadhani kwamba hao wanajipendekeza tu. Lakini baada ya kusoma hapa, nimeelewa sana. Sisi tulio wengi hatupendi kusoma biblia na hata tukisoma hatuelewi, media ndio zinatufanya tuamini wale wazungu ndio waisrael wenyewe. Thanks na naomba kama unakombora lingine kuhusiana na taifa hilo tutupie tu
Dj Pop Bwinyo umefufuka lini brotherAisee Kumbe huwa unaweza kwa katumia kinyeo na si ubongo!!
Mhhhh ndo maanaaaaa
Yaa mwanadamu anapokuwa challenged imani yake ya msingi kitu cha kwanza kufanya huwa ni kukana ndiomaana Petro alimkana YESU mara tatu bila kutoa sababu za msingi alikuwa tu anamkana! the same applies to you! umesoma nilichoandika umeona kunagusa misingi ya imani yako uliyoaminishwa kwa miaka mingi sasa katokea mtu kakutikisa kidogo unatoka mapovu unakana bila kusema wapi nimekoseaππππ. Sema sehem fulani umekosea ilipaswa iwe hivi wewe umeandika hivi ndio watu hukosoana kwa style hiyo,Umejitahidi kuandika ujinga wako unaoufahamu na hulijui neno la Mungu bali uliwahi soma maandiko yalioandikwa kwenye biblia,ulisoma kama kitabu cha stori na hukuelewa kitu zaidi ya kukariri mistari ilioendana na ujinga wako, unapotosha watu wasio jua neno la Mungu na kuisoma BIBLIA yote kwa muongozo wa roho mtakatifu, ila unachokitafuta utakipata maana neno linasema asiwepo mtu wa kuongeza wala kupunguza katika maandiko ya Mungu. Kwatuliopata NEEMA ya kusoma neno takatifu la Mungu katika BIBLIA tutajua huelewi ulichokiandika wasio jua neno utawapotosha. Mungu akupe NEEMA ya kulijua neno lake
Nigga say what?Ogopa laana ya Mungu YEHOVA kila silaaniye Israel atalaaniwa na yule aibarikie naye atabarikiwa.