Hapo kwenye swali eti walijulikanaje ndo wakarudishwa Israel.....kwani Adolph hitler aliwafahamje hadi kuuwa zaidi ya million 6..??
Wali zuri,ina maana waisraeli hawakufanana na wajerumani kabisa na ikawa rahisi kuwapoint kwenye community....this has led me to believe hawakuwa weupe...[emoji848][emoji848][emoji848]