Uhalisia wa taifa la Israeli

Uhalisia wa taifa la Israeli

Hapo kwenye swali eti walijulikanaje ndo wakarudishwa Israel.....kwani Adolph hitler aliwafahamje hadi kuuwa zaidi ya million 6..??

Wali zuri,ina maana waisraeli hawakufanana na wajerumani kabisa na ikawa rahisi kuwapoint kwenye community....this has led me to believe hawakuwa weupe...[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Wali zuri,ina maana waisraeli hawakufanana na wajerumani kabisa na ikawa rahisi kuwapoint kwenye community....this has led me to believe hawakuwa weupe...[emoji848][emoji848][emoji848]
Yes mpk unawakusanya mil 6 unawaua inamaa ****.kitu cha kujitofautisha nao......au.la story ya hitler ilikuwa kamba za wazungu. Maana netanyau na oliver khan unawatofautishaje?
 
Aisee hyu jamaa katumia Kauli yake binafsi kusadikisha anachoamini, hizo picha za mabaka mikononi na usoni PA watu ndo ukoma hyo!!, nakushauri njoo kolandoto shinyanga uje uone ukoma ulivyo maana nadhani unasoma tu na haujauona ukoma halisi,
Lkn pia unasema waisraeli bado wapo utumwani, ni wapi hilo kaka maana dunia ni hii hii, nchini gani wanawatumikisha kitumwa Hawa watu,
 
Kabila ya yuda aka juda ndio Negro wa sasa wale waliouzwa kwenye trans saharan trade trouth west africa to usa
Fikiri zaidi,
Wapo manusura wa utekaji huo na ndoa walitoa ushahidi juu ya yalojiri huko, hawako hivo mnavyolazimisha, Lkn pia njia ilotumika kuwajua ilikuwa ni wale walokamatwa awali waliombwa kuandika barua kwa ndugu zao walotapakaa, na hii ilifanya kuwatambua walobaki sehemu zingine,
Wali zuri,ina maana waisraeli hawakufanana na wajerumani kabisa na ikawa rahisi kuwapoint kwenye community....this has led me to believe hawakuwa weupe...[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Waisraeli ni Wakristo wote Dunia na mzaliwa wao wa kwanza ni Yesu Kristo, Wakristo ndiyo warithi wa ahadi ya uzima wa milele ambayo alipewa Abrahamu .
Aisee Kumbe huwa unaweza kwa katumia kinyeo na si ubongo!!
Mhhhh ndo maanaaaaa
Yaani waafrika akili zetu zipo kwenye mikundu yetu. Hao wayahudi wanavyowadhalilisha wapelestina kwa kuwaua na kupora ardhi zao ambayo ni sawa na wale makaburu au wakoloni walivyotufanyia waafrika. Lakini leo hii anaepigania haki yake kama wapelestina wanaitwa magaidi hata ANC ya Afrika kusini wakati walipokuwa wanatafuta haki walikuwa branded na mataifa ya magharibi kama magaidi. Na wapigania uhuru wote walikuwa wanaitwa magaidi. Someni mjue.
 
Nilifikiri unakuja kulielezea katika maswala ya siasa,utamaduni na uchumi kumbe,umeleta mambo ya kidini tena,ur moron
 
Nimesoma vizuri sana uzi huu na refference za biblia pia nimezipitia vizuri sana. Umenifunua sana ubongo wangu. Biblia kweli ilinishinda kusoma na kuujua ukweli wa taifa hili ingawa niliamini kua hao wazungu waishio huko ndo waisrael wenyewe. Kuna siku niliangalia makala flani kwenye TV wakionesha waisrael weusi waliopo south africa na zimbabwe. Nikadhani kwamba hao wanajipendekeza tu. Lakini baada ya kusoma hapa, nimeelewa sana. Sisi tulio wengi hatupendi kusoma biblia na hata tukisoma hatuelewi, media ndio zinatufanya tuamini wale wazungu ndio waisrael wenyewe. Thanks na naomba kama unakombora lingine kuhusiana na taifa hilo tutupie tu
 
Nimesoma vizuri sana uzi huu na refference za biblia pia nimezipitia vizuri sana. Umenifunua sana ubongo wangu. Biblia kweli ilinishinda kusoma na kuujua ukweli wa taifa hili ingawa niliamini kua hao wazungu waishio huko ndo waisrael wenyewe. Kuna siku niliangalia makala flani kwenye TV wakionesha waisrael weusi waliopo south africa na zimbabwe. Nikadhani kwamba hao wanajipendekeza tu. Lakini baada ya kusoma hapa, nimeelewa sana. Sisi tulio wengi hatupendi kusoma biblia na hata tukisoma hatuelewi, media ndio zinatufanya tuamini wale wazungu ndio waisrael wenyewe. Thanks na naomba kama unakombora lingine kuhusiana na taifa hilo tutupie tu
Asante ndugu yangu ni watu wachache sana wenye fikra huru kama wewe wanaweza kuelewa nilichokiandika hapo na najua ni ngumu kwa wengi kunielewa hadi uwe upo huru kifikra kuweza kubaini uongo tulioaminishwa tangia tukiwa watoto makanisani kwetu na mashuleni,majority ya watu wengi hufuata kile vyombo vikubwa vya habari vinasema na huamini hivyo,wengi huamini vitu eti kwakuwa CNN,BBC,ALJAZEERA,FOX na wengine wamesema! pasipo kuchunguza kiundani ni nini hasa,Mungu aliyajua haya kitambo sana ndiomaana akayaweka kwenye maandishi (Biblia )kusudi kila mtu aielewe kweli nayo kweli imuweke Huru!.
 
Umejitahidi kuandika ujinga wako unaoufahamu na hulijui neno la Mungu bali uliwahi soma maandiko yalioandikwa kwenye biblia,ulisoma kama kitabu cha stori na hukuelewa kitu zaidi ya kukariri mistari ilioendana na ujinga wako, unapotosha watu wasio jua neno la Mungu na kuisoma BIBLIA yote kwa muongozo wa roho mtakatifu, ila unachokitafuta utakipata maana neno linasema asiwepo mtu wa kuongeza wala kupunguza katika maandiko ya Mungu. Kwatuliopata NEEMA ya kusoma neno takatifu la Mungu katika BIBLIA tutajua huelewi ulichokiandika wasio jua neno utawapotosha. Mungu akupe NEEMA ya kulijua neno lake
 
Umejitahidi kuandika ujinga wako unaoufahamu na hulijui neno la Mungu bali uliwahi soma maandiko yalioandikwa kwenye biblia,ulisoma kama kitabu cha stori na hukuelewa kitu zaidi ya kukariri mistari ilioendana na ujinga wako, unapotosha watu wasio jua neno la Mungu na kuisoma BIBLIA yote kwa muongozo wa roho mtakatifu, ila unachokitafuta utakipata maana neno linasema asiwepo mtu wa kuongeza wala kupunguza katika maandiko ya Mungu. Kwatuliopata NEEMA ya kusoma neno takatifu la Mungu katika BIBLIA tutajua huelewi ulichokiandika wasio jua neno utawapotosha. Mungu akupe NEEMA ya kulijua neno lake
Yaa mwanadamu anapokuwa challenged imani yake ya msingi kitu cha kwanza kufanya huwa ni kukana ndiomaana Petro alimkana YESU mara tatu bila kutoa sababu za msingi alikuwa tu anamkana! the same applies to you! umesoma nilichoandika umeona kunagusa misingi ya imani yako uliyoaminishwa kwa miaka mingi sasa katokea mtu kakutikisa kidogo unatoka mapovu unakana bila kusema wapi nimekosea😀😀😀😀. Sema sehem fulani umekosea ilipaswa iwe hivi wewe umeandika hivi ndio watu hukosoana kwa style hiyo,
Ila kukusaidia tu ndugu yangu elewa hivi Mungu ana namna ya pekee kabisa katika kutenda mambo yake,kamwe hayajulikanagi moja kwa moja kuwa ni hivi au ni vile au itakuwa hivi au vile!,Wana wa israel na Musa walitembea miaka 40 sehemu ya siku 3!,shetani alivyokuwa anaweka mipango ya kumuua YESU yeye alidhani anamkomesha kumbe ndio anasababisha dunia nzima tuokolewe,kama shetani angekuwa anaakili ndio angekuwa mstari wa mbele kumtangaza kuwa huyu ndio masihi😀😀😀😀,kuna mifano mingi sana aisee nikianza kukupa katika biblia utamshangaa Mungu na utendaji wake.Mithali 14:15 inasema "MJINGA HUAMINI KILA NENO; BALI MWENYE BUSARA HUANGALIA SANA AENDAVYO" yachunguze hayo unayoyaamini uwe na OPEN MIND usiwe na akili mgando kuwa unaloliamini ndio sahihi inawezekana nilichoandika hapa sio sahihi au ni sahihi na pia unachoamini wewe kinaweza kuwa sahihi au sio sahihi inahitaji akili iliyo huru kujua sio akili mgando
 
Hata biblia unayotumia kama reference umepewa na hao unaowadis. Hao unaosema ndio wayahudi halisi hawana kitabu chochote na ni waabudu mizimu tuu na wengine wamepokea ukristo kama wewe kutoka kwa haohao unaowaita feki. Hao waafrica wanaojiita wayahudi wanaiga kila kitu kutoka kwa hao wayahudi feki, tazama kuanzia mavazi yao ni bendera ya Israel, picha nyingne huyo kiongozi wao katengenza fimbo yenye ile nembo ya nyota ya pembe tano wizi mtupu. Yaani kama wayahudi wenyewe ndio hao wasiojielewa wenye slavery mentality ni bora hao unaowaita matapeli waendelee kupeperusha bendera ya wayahudi maana wana akili.
 
Mkuu, Yesu alikuja kujificha Misri kwa kuwa ndiko kwao... Mambo ya Roho takatifu ni mchanga waliompiga Yosefu, ukweli ni kuwa lilikuwa bao la mtu mweusi.
 
Back
Top Bottom