Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninayo napigania Haki za vijana wanaoshindwa kupata passport ili waombe scholarship,vijana wanaoshindwa kufanya mitihani British council kwa kukosa passportKimbele mbele chote hicho kumbe hauna passport!!
Kweli passport ni kitu kikubwa sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimpata pasi ndio umepata tikiti ya kisafiri? Kila nchi ina utaratibu wa kuingia, nikiwa na pasi nitaenda ubalozini na wao ndio wana jukumu la kunikubalia(kunipa visa) au kunikatalia kulingana na vigezo walivyojiwekea. Uhamiaji wananiuliza naenda wapi kwani wananipa visa??Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaa, utadhani wanakuuliza ili wakupe na VISA kabisa tena ya kuingia Marekani😀😀😀Niwa puuzi sana wanauliza maswali ya kijinga sana unaenda wap? Yanin!!! Sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulichoandika kinaonyesha kichwani kwako uko mweupe.Kule Kuna serikali,Polisi na mahakamani pia utashughulikiwa ukikosea huko huko
Kwa hiyo mumejibesha jukumu.la Polisi na mahakama ya dunia uwiii mbavu zangui Mimi.Hamuamini nchi zingine kuwa Ziko vizuri kupambana na wahalifu?
Mambo ya kimataifa yanatakiwa kuaminiana Mfano wewe umempa mtu passport anaenda marekani.Wewe hujampa Visa ya kuingia Marekani unaogopa Nini?
Wao ndio waliompa baada ya kujiridhisha wenyewe kuwa Ni mtu Safi.Sasa akiuza bangi kule wewe yanakuhusu Nini wewe hukumpa visa .Hata ukihojiwa unasema Mimi nilitoa passport sio visa
Lakini ukijitia ohhh mimi najua aliniambia anakuja huko na ushahidi fomu hii hapa aliyojaza Ina maana akidakwa na marawa ya kulevya wewe ndio mbeba lawama Kama facilitator kwa kukiri Mwenyewe
Nchi nyingi Wana avoid Hilo kuepuka
Hilo.Wewe toa passport usiulize anaenda nchi gani kufanya Nini sukumia Risk ubalozi unaotoa Visa
Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?
Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.
Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.
Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele
Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.
Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport
Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
Hamia rwanda mkuuHakuna kitu Rwanda hapo mtoto akizaliwa anapewa vyote akitaka anapewa cheti Cha kuzaliwa na passport huulizwi unakwenda wapi kufanya Nini,Kenya na Uganda hivyo hivyo
Rwanda passport inspatikana ndani ya massaa matatu.macimum toka uwakilishe ombi lako
Haya masharti yaliyopo ndio yanazalisha rushwa ingekuwa mfano sharti Ni kitambulisho Cha taifa au cheti Cha kuzaliwa tu Nani akuombe rushwa kwa sababu ipi wakati umempa hati zote
Haya yaliyopo ndio yanazalisha urasimi na rushwa wewe utakuwa mmoja wa wafaidika unajua yakiondolewa rushwa hutapata
Nafikiri passport inaombwa na haigaiwi kwa hiyo sielewi hii post inalenga wapi kama watu Watanzania laki mbili wameomba na kupewa tukalalamikia hao milioni 55 ambao hawajaomba bado.Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?
Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.
Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.
Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele
Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.
Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport
Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
Inaombwa ndiyo ila wengi wanaoshindwa kuomba sababu ya hivyo vigezo vya Visa vya hovyo vilivyowekwa hivyo kuwanyima haki ya kuomba pia Wako wanaokataliwa sababu ya hivyo vigezo vya kuombea Visa ambavyo uhamiaji wamejigeuza maafisa ubalozi wa. Visa!!!! Mfano mtu anataka kuomba passport ili aombe scholarship au kazi online anajibiwa hatutoi kigezo hicho hatuna kwenye taratibu zetu!!!!! Kalete barua ya mwaliko na uthibitisho wa safari!!!! Ujinga mtupuNafikiri passport inaombwa na haigaiwi kwa hiyo sielewi hii post inalenga wapi kama watu Watanzania laki mbili wameomba na kupewa tukalalamikia hao milioni 55 ambao hawajaomba bado.
Nakubaliana na wewe 100% - kadiri wanavyoweka ugumu usio wa lazima wa upatikanaji wa Passport (Na huduma nyingine toka serikalini) automatically wanatengeneza mazingira ya watu kutumia njia mbadala; ikiwemo rushwa ofcourse, na kughushi. Mfano: Nakumbuka wakati fulani nilisikia kuna watu unawapa 50k tu then within 24 hours wanakukabidhi passport. A kind of arbitrage in social services, some guys are smart enough to exploit that gap.Uhamiaji wanakuuliza unataka Passport ya nini?
Unawaambia ya kusafiria
Unaulizwa safari ya Masomo , kazi au matembezi
Unawajibu matembezi
Wanakwambia ambatanisha barua ya Mwaliko wa huyo aliekualika
Hahahah zama hizi tena mualiko binafsi wa kirafiki mtu akutumie barua posta ya kukualika?
Kuna baadhi ya mahitaji unalazimisha watu wakatengeneze vitu vya kughushi
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanao taka kufanya uhalifu nje hawawezi kukosa passport kwa swali la unaenda wapi kufanya nini.Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mambo ya ajabu sana haya.Uhamiaji wanakuuliza unataka Passport ya nini?
Unawaambia ya kusafiria
Unaulizwa safari ya Masomo , kazi au matembezi
Unawajibu matembezi
Wanakwambia ambatanisha barua ya Mwaliko wa huyo aliekualika
Hahahah zama hizi tena mualiko binafsi wa kirafiki mtu akutumie barua posta ya kukualika?
Kuna baadhi ya mahitaji unalazimisha watu wakatengeneze vitu vya kughushi
Sent using Jamii Forums mobile app
Baadhi ya wateendaji serikalini hovyo na wanafanya kazi Kama miroboti tu wakiwemo wa kitengo Cha passportmawazo ya zamani sana uliyonayo. Ni yale walioambiwa watu TV na Fridge ni vyombo vya anasa. Utajuaje kama laki 2 wote ni saafi.