Ninayo napigania Haki za vijana wanaoshindwa kupata passport ili waombe scholarship,vijana wanaoshindwa kufanya mitihani British council kwa kukosa passport
Hivi unajua kuwa asilmia kubwa ya scholarship za Tanzania asilimia tisini na Tisa ni wahindi wa Tanzania ndio huzipata?
Nenda kaangalie siku mitihani ya British council ikifanywa ambacho ndicho kigezo.muhimu.cha kupata scholarship.wanaofanya Ni watoto wa wahindi watupu huoni mswahili .
Ajira nje Ziko kibao Hadi za kulima nje Kama kanada nk issue vijana hawawezi omba online sababu passport hawana.Passport asilimia kubwa unakuta wanazo maafisa wa Serikali na familia zao, wahindi na waarabu
Waambie uhamiaji watoe takwimu za breakdown hao laki mbili waliowapa waweke maafisa serikali Ni wangapi na familia zao ,wahindi Ni wangapi na waarabu Ni wangapi na waswahili vijana ambao sio wazee wamewapa wangapi?