Tena zako na umeshalipa Kodi zako zote .Mfano umepokea mshahara Mfano public au private sector Chao Serikali kupitia TRA walishachukua kwa Nini kilichobaki usijirushe nacho nje ya nchi ukitaka?Ni mambo ya ajabu sana haya.
Kwani siwezi kuwa na pesa zangu nikahamua niende kutembea kama kutalii ughaibuni au kuangalia na kujifunza kuhusu masoko ya bidhaa flani au fursa flani ya kibiashara au ajira?
Nchi ndogo hiyo watu wamebanana, serikali inatafanya jitihada kuwaondo raia wake kiaina.Rwanda passport inspatikana ndani ya massaa matatu.macimum toka uwakilishe ombi lako
Tatizo siyo karatasi bali teknolojia iliyojificha kwenye hizo karatasi.wewe jamaa ni pimbi sana kutengeneza kile kijitabu chenye vikaratasi vichache vile unasema kuna unyeti na gharama sasa
Uko sahihi!Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.
Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport
Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili zingine duh. Una mawazo kama ya Babu yangu aliyefariki 1927.Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu ujiunge humu leo umeongea point.siku zingine ulikuwa unavuta Jani chooni??Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?
Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.
Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.
Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele
Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.
Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport
Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
Uhamiaji ujinga mtupu mkuu, Imagine mtu una kitambulisho cha NIDA halafu bado wanataka wakuhakiki kama ni raia, si upumbavu uliopitiliza huo. HALAFU KULE KUMEJAA URASIMU SANA WANAKUWEKEA VIKWAZO ILI UWAPE CHOCHOTE NDIO LAKO LIFANIKIWE. Sasa unaomba passport unaulizwa ya nini? Ingekuwa watu hatuhitaji kupaa majuu unawambia tu nahitaji passport nikajiunge AL SHAABAB.Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?
Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.
Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.
Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele
Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.
Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport
Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!
Ninayo napigania Haki za vijana wanaoshindwa kupata passport ili waombe scholarship,vijana wanaoshindwa kufanya mitihani British council kwa kukosa passport
Hivi unajua kuwa asilmia kubwa ya scholarship za Tanzania asilimia tisini na Tisa ni wahindi wa Tanzania ndio huzipata?
Nenda kaangalie siku mitihani ya British council ikifanywa ambacho ndicho kigezo.muhimu.cha kupata scholarship.wanaofanya Ni watoto wa wahindi watupu huoni mswahili .
Ajira nje Ziko kibao Hadi za kulima nje Kama kanada nk issue vijana hawawezi omba online sababu passport hawana.Passport asilimia kubwa unakuta wanazo maafisa wa Serikali na familia zao, wahindi na waarabu
Waambie uhamiaji watoe takwimu za breakdown hao laki mbili waliowapa waweke maafisa serikali Ni wangapi na familia zao ,wahindi Ni wangapi na waarabu Ni wangapi na waswahili vijana ambao sio wazee wamewapa wangapi?
Wakikuuliza ya nini? unawajibu ya kunywea biaUhamiaji ujinga mtupu mkuu, Imagine mtu una kitambulisho cha NIDA halafu bado wanataka wakuhakiki kama ni raia, si upumbavu uliopitiliza huo. HALAFU KULE KUMEJAA URASIMU SANA WANAKUWEKEA VIKWAZO ILI UWAPE CHOCHOTE NDIO LAKO LIFANIKIWE. Sasa unaomba passport unaulizwa ya nini? Ingekuwa watu hatuhitaji kupaa majuu unawambia tu nahitaji passport nikajiunge AL SHAABAB.
Uleanzisha uzi kichwa chako kibovu, hivi unajua unyeti na gharama yakutengeneza passport1? Ishu za passport si za kukurupuka! Na hakuna nchi duniani inayotegemea pesa kwenye miradi kama ya passport, passport ukitaka kuifanya biashara yataibuka mengi haswa swala la rushwa na urasimu, nawapa kongole kwa wanachokifanya uhamiaji, mnataka passport zipatkane hovyo alafu mkafanye matukio nchi za watu!? Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni sahihi Uhamiaji kutoa Passport mpya laki mbili kwenye nchi yenye watu milioni 55?
Nchi za wenzetu mfano Marekani passport na visa ni chanzo kikubwa cha mapato ya serikali.
Mfano uhamiaji wangepewa lengo mfano la kutoa Passport milioni moja tu kwa mwezi kwa bei ya Passport ya shilingi laki moja na nusu serikali ingeingiza pato la shilingi bilioni 150 ambazo zingesaidia mno nchi.
Kikwazo kikubwa cha watu kupata Passport ni kuwa Afisa Passport hatakiwi kumuuliza mtu anaenda wapi kufanya nini akitaka kumpa. Hilo atapambana nalo Ofisi ya Ubalozi anakoenda akienda kuomba Visa. Wewe kila Mtanzania mpe passport mengine mwachie akapambane na hali yake mbele kwa mbele
Passport ni kitambulisho tu cha kawaida kama cha NIDA tofaiti iliyopo ni kuwa cha NIDA kinatambuliwa ndani ya nchi wakati passport ni kitambulisho cha raia cha Kimataifa .Mtu ruksa kuwa na passport hata kama hasafiri ni kitambulisho chake cha kimataifa.
Mtu anakiwa kuwa na vitambulisho viwili cha NIDA na passport
Uhamiaji wanaona passport kama kitu kikuubwa!