Uhamiaji ianze uchunguzi jinsi watoto wa Lissu, ambao ni raia wa Marekani walipata passport za Tanzania, kama Lissu alidanganya, ashughulikiwe

Uhamiaji ianze uchunguzi jinsi watoto wa Lissu, ambao ni raia wa Marekani walipata passport za Tanzania, kama Lissu alidanganya, ashughulikiwe

Hiyo ni sera ya Wamarekani
Kuhusu watoto ikiwa wamezaliwa Marekani, Meli au ndege iliyosajiriwa Marekani basi hao ni raia wao.

Bongo tuna juis Sanguine
Ikiwa mtoto mmoja ya wazazi wake ni raia wa Tanzania kwa kuzaliwa.

Na yeye kazaliwa nje ya nchi basi ana haki ya kurithi uraia.
Nasisitiza anarithi uraia.

Ila hajafikisha miaka 18
Hivyo atakuwa na uraia wa nchi mbili yaani Bongo na Ughaibuni aka mamtoni aka Unyamwezini.

Akifikisha miaka 18 watatakiwa kuchagua mmoja wapo.
Wasipochagua ujue ule wa Tanzania unakufa kifo Cha asili
Na watatambulika kuwa raia wa kigeni wenye asili ya Tanzania.
Wakija wanaomba visa kama kawaida.

Hivyo watoto wa Lisu ni Watanzania na Wamarekani kwa wakati mmoja kwa kipindi hiki.

Tchao

Asante
 
Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.

Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.

Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.

Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.

Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
Unateseka ukiwa wapi mbwiga? Haiyumkini Mungu analiadhibu taifa kwa ukame kwa kuwa juu ya nchi mnaishi viumbe msiostahili! Hao wanaokuongoza hapo ccm familia zao Zina uraia pacha na hujastuka?
 
Ka

Kama hawajafikisha miaka ya uraia hakuna shida. Kuna umri wakifikisha lazima wakane uraia aidha wa marekani au Tanzania.
Sawa,, lisu alirudi tanzania lini toka US,,,?,, Aah, ama wacha tu...
 
Kweli, na Mimi kama Chadema ninapiga kelele sana kuhusu matumizi mabaya ya ruzuku, ACT ya juzi tu Ina Ofisi Kali ya ghorofa, sisi Hela zinaliwa tu
Hawa ni wafiwa wa Cuf wamejiegemeza act kwa muda wakisikilizia upepo, ukute hata mchana huu hajala, kashindia kahawa na kashata ni stori kijiweni Kariakoo Msimbazi.
 
Yeye kujitoa mhanga na kulimwa risasi ni mfano tosha kabisa wa kiongozi anayejiweka mbele. Ndio mwanasiasa pekee aliyepambana na Magafuli uso kwa uso.
Unajua mtu anaejitoa mhanga kupigwa risasi? Angetumiwa
Ujumbe wa simu kuwa leo tunakulima
Risasi
Angetoka hata nje ya mlango wake?

So tumpe urais kwasababu alipigwa risasi? Tuna mpa
Kama pole au?

Watanzania mnaendeshwa kwa emotions
 
Wewe utafaidika nini katika hili?

Watoto waliozaliwa nje ya nchi na wazazi watanzania wanakuwa na uraia wa nchi hii mpaka pale watakapofikia miaka 18 ndiyo wanaamua wenyewe kuwa waendelee na uraia wa nchi hii au wawe raia wa nchi ile waliyozaliwa.

Sasa hao watoto waliokula bajeti yako ya elimu na afya ni haki yao kwani wazazi wao nao wanalipa kodi.
Serikali yako na chama cha mapinduzi ccm kimewapa una tatizo lingine?.
 
Awalete hapa tuandamane wote, sio wanamuandamisha Akwilina tu
We mjinga nani alikwambia Akwilina alikuwa akiandamana?Akwilina alikuwa mwanafunzi chuo cha NIT Mabibo alipigwa risasi akiwa ndani ya daladala akitokea Mabibo to Mwananyamala.
 
Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.

Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.

Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.

Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.

Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
Kutokuweka akiba ya maneno tatizo karopoka. Halafu watu wanamuona shujaa.
 
Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.

Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.

Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.

Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.

Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
wee anti, hadi unakufa unalalamika watoto wa lissu, watoto wako wapwapi kwanza?
 
Naona bado una hasira za kushindwa kutimiza lengo la kumuua Lissu pole Sana. Eti Lissu Hana uchungu na nchi lakini, mafisadi wa CCM wanaoiba na kuiba kila siku wanauchungu na nchi.
trust me, kitendo cha lisu kupigwa risasi, kiliniuma, na bado kinaniuma hadi leo kwasababu ulikuwa ni unyama wa ajabu sana. mtu hata akikosea huwezi fanya vile, na huwa naamni waliofanya, kama hawajaadhibiwa tayari na Mungu, kuna siku wataadhibia. watakunywa kikombe cha matendo yao kama hawatatubu na kumrudia Mungu.

however, ukiweka hayo pembeni, jamaa ni hatari sana kwa taifa hili na anachojali ni tumbo lake tu. hilo halina ubishi.
 
Back
Top Bottom