Uhamiaji ianze uchunguzi jinsi watoto wa Lissu, ambao ni raia wa Marekani walipata passport za Tanzania, kama Lissu alidanganya, ashughulikiwe

Uhamiaji ianze uchunguzi jinsi watoto wa Lissu, ambao ni raia wa Marekani walipata passport za Tanzania, kama Lissu alidanganya, ashughulikiwe

Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.

Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.

Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.

Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.

Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
Wewe ungewaomba ndugu zako wakusindimize kwenda Milembe hospital.

Mleta hoja asamehewe maana kwa haya anayoyaandika kila mara, hakuna shaka kuwa yu mgonjwa wa akili. Ndugu wa karibu wamsaidie.
 
Wewe ungewaomba ndugu zako wakusindimize kwenda Milembe hospital.

Mleta hoja asamehewe maana kwa haya anayoyaandika kila mara, hakuna shaka kuwa yu mgonjwa wa akili. Ndugu wa karibu wamsaidie.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji106]
 
Wewe ungewaomba ndugu zako wakusindimize kwenda Milembe hospital.

Mleta hoja asamehewe maana kwa haya anayoyaandika kila mara, hakuna shaka kuwa yu mgonjwa wa akili. Ndugu wa karibu wamsaidie.
Changia hoja, sio unaandika vitu vya hovyo hovyo
 
Shida yako wewe ni mbaguzi wa rangi.

Kwa nini usiwaogope wafanya biashara wenye asili ya Burundi, Kongo au hapo Malawi?

Nadhani kwenye masuala ya fedha na Biashara Financial Intelligence Unit(FIU) kinahusika.

Ila ni vyema kuwe na tahadhari iliyopo Sasa na iongezwe kuliko kuacha wabinafsi wachache wafanyeb
watakavyo
Hao uliowataja awapo kwenye top
 
Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.

Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.

Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.

Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.

Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
Hakuna wa kumshitaki Lissu.
Hata wewe unajua.
 
Sawa,, lisu alirudi tanzania lini toka US,,,?,, Aah, ama wacha tu...

..hao madogo walizaliwa USA.

..waliishi na kusoma Tanzania wakati wote Lissu alipokuwa hapa.

..wamehamia USA na kuchukua uraia wa huko baada ya Lissu kushambuliwa.

..sheria za Tanzania zilikuwa zinawaruhusu kuwa na pasi ya hapa kwasababu wazazi wao ni Watanzania.

..Baada ya kufikisha miaka 18 na kuudai uraia unaotokana na wao kuzaliwa USA ndio wanapoteza uraia wa Tanzania.
 
Wakiruhusu Uraia pacha naahidi nitapanda miti 1m na nikifa nadhira itakuwa palepale wanangu watapanda

Tupeni dual citizenship
 
Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.

Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.

Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.

Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.

Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
ila kuna watu wana mawazo kama ya nyaa!
 
Watoto wa Tundu Antipas Mughway Lissu ni raia wa marekani, lakini baba yao aliwachukulia passport za Tanzania, bila shaka aliwasilisha taarifa za uongo kwa Afisa wa serikali, jambo ambalo ni kinyume Cha sheria, na ni moja ya tabia za kifisadi.

Natoa rai idara ya uhamiaji imwage moto kwa kuanzisha uchunguzi kuhusu suala hili.

Watoto hawa wamekuwa wakifaidi bajeti ya nchi yetu, na kuwanyima watoto halali wa kitanzania haki ya kutumia fedha zao.

Ni ngumu sana kwa Tanzania kuendelea, kama mtu anayeutaka urais, Kila akilipwa mafao ya ubunge, fedha zote anahamisha kupeleka marekani, ananunua majumba huko, halafu anarudi anajifanya kupigania maendeleo ya Tanzania.

Pia wizara ya ardhi iweke alama nyekundu kwenye ardhi anazomiliki Tundu Lissu na au wanae. Kwa sheria za Tanzania, raia wa kigeni haruhusiwi kumiliki ardhi, kama Kuna tuviwanja kanunua kwa jina la mwanae, basi hati hizo zifutwe, na pia kama Lissu akifa, watoto wake hawaruhusiwi kurithi ardhi kwa kuwa si raia wa Tanzania.
Tuna watu wa uhamiaji dhaifu Sana Kama haya yanatokea afu wapo tuu.
 
Kwa mawazo kama haya ndio yanatufanya waafrika tuonekane ni kama NYANI ALIYECHANGAMKA TU.Yaani nchi imejaa matatizo kibao na ya msingi huyaoni una kimbilia mambo ya kipuuzi ambayo hata hayana athari kwa jamii!!asilimia kubwa ya viongozi wanaokuongoza na familia zao wana uraia pacha hilo hulioni!?

Hao uhamiaji wameshindwa nini kuwapelekea moto?!viongozi kibao sio raia wa nchi hii na ambao hadi sasa kodi yako ndio inawatunza hilo hulioni?!!KENGE KWELI
Hakuna uraia pacha Nchi hii.
Ukipata uraia wa Nchi nyingine , unapoteza wa Tanzania.

Na kama mtu alikua na uraia wa Nchi nyingine , ilibidi aukane kwanza ndio apate huu wa kibongo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom