Ni wapi Umeitaja KIRUMI kwenye Uzi wako??? Wewe umetaja KURUMLI ambayo ni barrier iliyoko Mbele ya Chuo cha Buhare kuelekea Ginnery Mugango.
Acha kujimwambafai kuwa unajua maeneo na barabara Mkuu, kuna member humu kazi yetu ni kutembea naweza kukutajia barabara ya kuanzia Nangurukulu Mtwara nipite Songea, nitokee Mbeya, Nipite Chunya, Ipole Tabora, Bunda, mpaka, Kibara Mpaka BurendaBufe mpaka Kekombyo naikuta Musoma ambayo unaweza usijue ipo.
Kubali kwamba Mji wako wa Musomo unaingilika kwa Barabara Moja tu hakuna nyingine.