Uhamiaji Musoma, huyu mama kutoka Burundi angefariki damu yake ingewalilia

Uhamiaji Musoma, huyu mama kutoka Burundi angefariki damu yake ingewalilia

Zamani nilikuwa nachukia sana wazungu na waasia wavyotubagua, Mara watuite nyani Mara sokwe!! Lakini baadae nilikuja gundua hakuna majitu mabaguzi Kama maafrica, hasa matanzania, eti unamkamata msomali kwenye Lori, anaenda Malawi, kwao anakimbia Vita, we unamfunga jela!! Si usokwe huo?
Hata mie nashangaaa jinsi wasomali wanavyokamatwa huwa hadi nalia,
 
Mbaya zaidi mfano unatoka Dar kwenda Mbeya, bus ikifika Msamvu Terminal ambapo pana huduma zote hutawaona, ila bus ikitoka Msamvu ikikaribia maeneo ya Mindu ndiyo unawakuta wanawashusha abiria na kuwapotezea muda.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maafisa uhamiaji waliomleta wakatokomea na hata walipotafutwa hawakuwa na msaada ,maana kituo hawakuwa na vifaa vya kama surgical gloves,Dawa za baada na kabla ya upasuaji,drip n.k
Hapa ndipo panaposikitisha. Miaka 60 ya uhuru na kituo cha afya hakina surgical gloves!

Amandla...
 
Radio free afrika the sound of afrika inafanya nn au wanasubiria uchaguzi tu ili watangaze
 
Mama mjamzito ametoka Burundi kwenda Kwa mume wake Kenya Juzi tarehe 25/02/2022.Alivyofika Musoma alikamatwa na uhamiaji sehemu ainayoutwa Kurumuli(Barrier) .Alijitetea kwa uchungu Sana mpaka tulio kuwa kwenye gari lile tulipata huruma.

Mama alijitetea kuwa anaenda Kenya kujifungulia huko kwa mchumba aliyempa ujauzito ,asingeweza kujifungulia kwao maana hana msaada na hata hivyo hajapata chakula tangu aanze Safari akitokea Burundi Kupita mpaka wa BURUNDI na NGARA na hata hivyo alijitetea kwenye mpaka huo na akasikilizwa.

Afisa wa uhamiaji Musoma hakutaka kabisa kusikiliza na hakujali hali ya mama yule.Alishikiliwa mpaka akapata labour pain(Uchungu) akakimbizwa Kituo cha AFYA NYASHO .

Mama hakuwa na chochote hata nguo hana ,kibaya zaidi alipaswa kufanyiwa upasuaji kwa sababu alipata uchungu pingamizi.

Maafisa uhamiaji waliomleta wakatokomea na hata walipotafutwa hawakuwa na msaada ,maana kituo hawakuwa na vifaa vya kama surgical gloves,Dawa za baada na kabla ya upasuaji,drip n.k

Watumishi wa kituo hiki walichanga pesa wakamsaidia.Leo yuko wodini hata chakula anapewa na wagonjwa wenzie.Hana nguo anatumia mashuka ya Kituo.

"Hivi uhamiaji pamoja na Sheria za nchi kwa Hali kama hiyo hawakuwa na chakufanya kuanzia kwenye ukamataji"???
Mkuu wakati mwingine hizi huruma za kitanzania zinatuponza!!cha msingi hujaelezea tatizo lilikuwa ni nini, sio mambo ya eti alijieleza, wapi, mfano kama hana muhuri wa mpakani alipoingilia nchini, unategemea nini?

Hilo ni jambo dogo?!!Acheni lawama kwenye mambo ya msingi, wewe nenda RWANDA, DRC, BURUNDI, uingiaji wako huko uwe una mashaka, ndio utajua kuwa nchi ya watu sio kitongoji.

Sasa kama uingiaji wake nchini una kasoro washindwe kusimamia sheria ila watangulize ubinadamu zaidi?

likija kulipuka huko utawaambia viongozi wako, eti nilitumia ubinadamu kupindisha sheria, tena kwa mgeni?!!
 
clinician Mimi nilikuwa nasafiri nikitokea Mwanza kwenda TARIME alivyosushwa kwenye gari abilia tulipatwa hasira zilizo changanyika na huruma .Kesho yake nilikuwa naenda MUSOMA MJINI huko nilipata full story ya mama huyo.Nilifika mpaka kituo cha Afya Nyasho kumuona anatia huruma sana hata Kiswahili hajui vizuri
Achana na maneno mengi je DOCOMAAA!!!(Documents) zake zinajitoshereza hilo ndio la msingi kwanza
Ndio maana huwa tunawaona wazungu wana roho mbana kutokana na kusimamia sheria ipasavyo!!huku kwetu eti upindishe sheria kisa ubinadamu!!
 
Hapa ndipo panaposikitisha. Miaka 60 ya uhuru na kituo cha afya hakina surgical gloves!

Amandla...
Unashangaaje Kituo Cha afya kukosa gloves wakati hospitali kabisa ya wilaya amlu mkoa unaambiwa ukanunue syringe nje na maji ya drip halafu MAMA anazunguka tu kuingia mikataba isyoeleweka ni ya nini haswa.....

Bora ndugai ameamua vyema tu kukaa kimya nchi ishauzwa hiii
 
Mama mjamzito ametoka Burundi kwenda Kwa mume wake Kenya Juzi tarehe 25/02/2022.Alivyofika Musoma alikamatwa na uhamiaji sehemu ainayoutwa Kurumuli(Barrier) .Alijitetea kwa uchungu Sana mpaka tulio kuwa kwenye gari lile tulipata huruma.

Mama alijitetea kuwa anaenda Kenya kujifungulia huko kwa mchumba aliyempa ujauzito ,asingeweza kujifungulia kwao maana hana msaada na hata hivyo hajapata chakula tangu aanze Safari akitokea Burundi Kupita mpaka wa BURUNDI na NGARA na hata hivyo alijitetea kwenye mpaka huo na akasikilizwa.

Afisa wa uhamiaji Musoma hakutaka kabisa kusikiliza na hakujali hali ya mama yule.Alishikiliwa mpaka akapata labour pain(Uchungu) akakimbizwa Kituo cha AFYA NYASHO .

Mama hakuwa na chochote hata nguo hana ,kibaya zaidi alipaswa kufanyiwa upasuaji kwa sababu alipata uchungu pingamizi.

Maafisa uhamiaji waliomleta wakatokomea na hata walipotafutwa hawakuwa na msaada ,maana kituo hawakuwa na vifaa vya kama surgical gloves,Dawa za baada na kabla ya upasuaji,drip n.k

Watumishi wa kituo hiki walichanga pesa wakamsaidia.Leo yuko wodini hata chakula anapewa na wagonjwa wenzie.Hana nguo anatumia mashuka ya Kituo.

"Hivi uhamiaji pamoja na Sheria za nchi kwa Hali kama hiyo hawakuwa na chakufanya kuanzia kwenye ukamataji"???
Walijua ana mafaranga walipoona ni kapuku wakachanja mbuga
 
Achana na maneno mengi je DOCOMAAA!!!(Documents) zake zinajitoshereza hilo ndio la msingi kwanza
Ndio maana huwa tunawaona wazungu wana roho mbana kutokana na kusimamia sheria ipasavyo!!huku kwetu eti upindishe sheria kisa ubinadamu!!
Sasa kwa taarifa yako Wazungu wasingemfanyia unyama huyo mama kwnza wangemsikiliza. Kutokana na hali yake ya Ujauzito wakati huo wangehakikisha kwanza anajifungua salama na kupata matibabu salama na ya uhakika.

Akitoka hapo sheria sasa inafata mkondo wake ikiwa ni pamoja na kufanya jitihada kwanza kujua huko alikotoka na huko anakoelekea na ku varify taarifa alizo kuwa anawapa zina ukweli kiasi gani.

Huyo Ndio Mzungu bwana.
 
Imekuwa kadhia siku hizi eti nchini kwako ni lazima usafiri ukiwa na nyaraka zinazothibitisha wewe ni raia; tulisimamishwa Chalinze pale na hao makonstebo wakaomba kila mtu atoe kitambulisho cha taifa...ilikuwa fujo kwenye gari wengi hawana ufahamu kwamba ni lazima uwe na utambulisho safarini, sielewi kwanini hawajapeleka elimu kwanza kwenye jamii!!. Pole sana kwa huyo Mama; by birth kijana ni mtanzania sasa 👏😁
Walichokataa wamekipata Tayari Dogo aliyezaliwa ni Mtz kabisa
 
Nadhani huyo dogo wa immigration anasoma huu uzi na hii reply ni yake kama ifuatavyo...

Nasema "hii dunia ni moja, haya mataifa yametokana na dhambi zilizosababishwa na wewe, hiyo nafasi hapo uhamiaji ni cheo cha muda, hawa binadamu wapo na hawataisha, tunakuja na kuondoka, kesho anaota/birth mwingine as huyo kijana uliyesababisha akazaliwa nchi uliyotaka wewe"...

Kumbuka, ... "lolote unalomfanyia mwenzako hujirudi kwa njia nyingine na kukuadhibu ukiwa umesahau matendo uliyomfanyia mwenzako. Tabia kama hiyo ya kukomalia jambo ambalo kwa elimu ya darasani kwenye mambo ya uhamiaji sidhani kama uliwahi fundishwa kukomaa na mtu mwenye hujauzito"...

Na ... "baada ya tukio la kumsababishia hali ile ukakimbia ila nafsi yako najua inavyokusumbua na huna la kufanya although unajipa moyo ulikiwa kazini ukitekeleza wajibu, wajibu gani ambao unaona kabisa kuna hali ya hatari?."

Haya ni maisha mdogo wangu afisa uhamiaji na hizi ni nchi za Afrika Mashariki mnazojipambanua kuwa na ushirikiano wa jumuiya, mwisho "hata wewe unajiita kidume ukiwa mkoa nje ya Mara au nje ya Tanzania huwa unaparamia mabinti wa watu, siku unaondoka hujui kama ulipandikiza mbegu"


Asante.
Ukimtendea mwanadamu dhambi ujue utailipa simu moja tu. Aidha wewe au uzao wako.
 
Ukiandika kiingereza ndo unakuwa wa ovyo zaidi.
Kiingereza ni lugha tu.

Haiongezi uzito wa hoja kuliko inavyopunguza.

Nilitaka Kagame akisoma uzi huu afahamu kwamba tupo tunaotambua kwamba anaweza kuwa amewatuma ma agent wenye mimba kama ghelesha ya kuvukia mipaka.

Wanajeshi wa Uhamiaji wamefanya kazi kwa mujibu wa vitabu vya mafunzo yao mstari kwa mstari.
 
hakuna uhamiaji wasumbufu kama wa tz ,nimegundua hilo wakuu sijui wanamatatizo gani .sasa huyo mama serious she is not a threat to the nation, kwanin umhangaishe .doesn't make any sense .very inhumane and barbaric shame on them.
Nenda Zambia katembee au Kongo halafu ulete mrejesho.
 
Walichokataa wamekipata Tayari Dogo aliyezaliwa ni Mtz kabisa
Kuzaliwa katika ardhi ya Tanzania hakukufanyi kuwa Mtanzania.

Ila wakati unazaliwa:

Mzazi mmoja wapo au wote wawe raia wa watanzani kwa kuzaliwa.

Mzazi mmoja wapo awe na uraia wa kurithi.

Mzazi mmoja wapo au wote ni raia kwa tajinisi

Huyo mtoto hawezi kuwa raia wa Tanzania kwa kuzaliwa, kurithi au Tajinisi
Kwa sababu mama atakuwa Mrundi na baba Mkenya.

Watu wanasema ameruhusiwa mpakani Ngara huko ila bira muhuli ambao ni visa huyo mtu hajaruhusiwa.
Lakini pia Kuna njia za panya wenyewe wanaita vipenyo vingi maeneo ya mipaka yetu.

Kuna mtu amehoji je mnajua lengo lake watu kimya.

Je kwa nini wasiamini ni agent kutoka Taifa jingine.

Kuwa mjamzito kunamtoa kwenye hatia.

Kama alishakamatwa tayari alikuwa mtuhumiwa.

Hawezi kutelekezwa na hasa wahamiaji haramu.

Inaonesha mtoa mada ana chuki binafsi na hao watumishi wa serikari.

Uaskari ni kazi ngumu na uwe na roho ngumu na kutoa maamuzi saa.
 
Daaa inasikitisha sana....watafute huyo mchumba usikute akaingia mtini nawajua hao mimi ma bingwa kusepa kukimbia gharama
 
Sijui huwa wanafunzwa vitu gani aisee yaan hawana tofauti Na wahuni
Asilimia kubwa ya majeshi yetu ni failures (la saba & divn four ya 28), sasa ndina kama hao hawawezi kudeal na vitu proffesionally.

Nchi nyingine hasa ulaya wanaweza kwakua sekta ya ulinzi wanaakiliwa watu intelligent.
 
Kuna ofisi moja ya uhamiaji wakiwakamata watu wa namna hiyo (wasio raia) huwapiga sana na kuwanyang'anya fedha zao wanazokuwa wamezipata katika kufanya kazi aidha wakiwa wanarudi nchini kwao au wakiwa wameingia nchini kwetu katika utafutaji.

Sasa ninapofanyia kazi ni karibu na ofisi hiyo Sasa wakiwa wanawapiga wanatoa kilio cha uchungu sana utakuta mtu anapigwa zaidi ya masaa matatu roho yangu huwa inaugua sana kwa kusikia vilio vile.

Baada ya kuwapiga huwapora fedha zao na kuwaachia warudi nchini kwao huku hawana nauli wala hela ya chakula, uhamiaji fuateni taratibu zenu za kazi tafadhari
acha uwoga taja ofisi watu washughulikiwe. kuficha ficha huko ndo unaendelea kulea huo ugonjwa.
 
Unashangaaje Kituo Cha afya kukosa gloves wakati hospitali kabisa ya wilaya amlu mkoa unaambiwa ukanunue syringe nje na maji ya drip ....halafu MAMA anazunguka tu kuingia mikataba isyoeleweka ni ya nini haswa..... Bora ndugai ameamua vyema tu kukaa kimya nchi ishauzwa hiii
Hii nchi sasahivi nikutibiwa private tu maana kwenye hospitali za serikali ni ujinga mtupu unafanyika, kaugonjwa kadogo kanaweza kukupoteza au kukudhuru kutokana na uzembe wa watumishi ambao wengi ni failures tu.

Mtu alipata div four eti anaenda kusoma nursing au clinical officer.
 
Back
Top Bottom