Mkuu it doesn’t matter kikubwa ubinaadamMimi naona uhamiaji inalaumiwa bure. Je, huyo mama alikuwa na passport ya Africa Mashariki akakataliwa kuendelea na safari? Tukitunga sheria lazima tuzifuate. Hatuwezi kuchagua sheria ipi ifuatwe na ipi isifuatwe. Huyu mama angekuwa na makaratasi yanayotakiwa angeendelea na safari. Kwanza unajuaje ni kweli anaenda Kenya. Unajuaje ni Mrundi. Kwa nini hakuwa na passport? Je huko Kenya angeingiaje bila passport? Si angeisha kurudishwa mpakani. Kama alipata uchungu na kwenda Nyasho Clinic, si ni afadhali kuliko kupatia uchungu ndani ya gari ambapo huduma ya ukunga hakuna?
Hamjalaumu kuhusu ukamataji, mmelaumu kuhusu nini ?Acha kukurupuka hatujalaumu kuhusu ukamataji.
You are out of point.Check your side
Imebidi nirudi kusoma upya. Wenda alikosema kuandika lakn barrier ya kuingia tarime ni kirumi pale darajani. Samahan kwa hilo.Ni wapi Umeitaja KIRUMI kwenye Uzi wako??? Wewe umetaja KURUMLI ambayo ni barrier iliyoko Mbele ya Chuo cha Buhare kuelekea Ginnery Mugango.
Acha kujimwambafai kuwa unajua maeneo na barabara Mkuu, kuna member humu kazi yetu ni kutembea naweza kukutajia barabara ya kuanzia Nangurukulu Mtwara nipite Songea, nitokee Mbeya, Nipite Chunya, Ipole Tabora, Bunda, mpaka, Kibara Mpaka BurendaBufe mpaka Kekombyo naikuta Musoma ambayo unaweza usijue ipo.
Kubali kwamba Mji wako wa Musomo unaingilika kwa Barabara Moja tu hakuna nyingine.
Sijui huwa wanafunzwa vitu gani aisee yaan hawana tofauti Na wahuniMajeshi ya nchi hii ukiondoa Magereza na JWTZ ni watu wa hovyo Sana .....
Ukiandika kiingereza ndo unakuwa wa ovyo zaidi.I think you are right, the immigration officer did a commendable job. We must have a law and order society.
The unidentified woman with no papers could be a covert agent of the Kagame regime, for all we know. They are known for operating well beyond their borders.
The Tanzanian officials did everything by the book. Thumbs up.
Mkuu acha kutetea Uhalifu. Umewahi kufika japo hapo Zambia tu ukakumbuka na Askari wake wewe raia wa kigeni???
Halafu jaribu kuwa Mkweli, huyo Mama wa Burundi unayesema alikuwa anatokea Ngara kwenda Kenya akamatiwe Barrier ya Kurumli ni Chenga na Uongo. Kumbuka Mji wa Musoma au PENINSULA TOWN umezungukwa na Maji na Njia ya Kuingia ni Barabara 1 pekee yaani Mwanza to Musoma, haipo nyingine, hiyo Barrier unayosema huyo mama alikamatiwa inatokea Vijiji vya Ndani ya Musoma haina Connection na Mkoa ama Wilaya yoyote ndani ya Tanzania sasa hebu fafanua hiyo njia ya Kurumli ina uhusiano gani na Ngarra???
Huyo mama ni Mkimbizi na Mhalifu kama walivyo wahalifu wengine, linapokuja suala la Sheria za Uhamiaji tuweke pembeni huruma na siasa tuache Askari wafanyekazi.
Kiubinadamu si sahihi.Na hawana fungu la kuhudumia wahamiaji dharura kama hizo labda atoe ya kwake mfukoniShida sii kwamba huyo mama kaingiaje nchin, shida ni kitendo cha kumkamata alafu wakamtelekeza hospital baada ya kuona kapata uchungu.
Swali ni je ndivyo kanuni za kuendesha shughuri zao zinawataka waterekeze watuhumiwa ambao wapo kwenye hali hatarashi za kiafya?
Je akipona watarudi tena kumshikilia kama mtuhumiwa baada ya kumtelekeza akiwa kwenye hali mahututi?
Hapo tusiozungumzie swala la kifo maana ajafa.
Sio kiubinadamu tu, pia ata kiusalama sio sahh. Vipi kama alikuwa ni jasusi wa nchi jirani alaf baada ya kumterekeza hospital na yeye anapata mwanya wa kufanikisha adhima yake kwa uhuru zaidi baada ya kupona au ata akiwa hapo hapo hospital?Kiubinadamu si sahihi
Vipi wale waethiopia wanaokamatwa kila siku wakiwa kwenye hali mbali na njaa huwa hawapewi chakula? Na vip gharama za kuwarudisha nchin kwao huwa zinagharamiwa na nan?.Na hawana fungu la kuhudumia wahamiaji dharura kama hizo labda atoe ya kwake mfukoni
Nadhan hlo jambo ni sahihi. Na sehemu ya mafunzo ni hapo kwenye tukio. Wakati mwingine unaweza kumwambia mtu kitu kupitia vyombo vya habari lakininsi wote utaweza kuwapata maana si kila mtu ana hulka ya kuangalia taarifa ya habari.Imekuwa kadhia siku hizi eti nchini kwako ni lazima usafiri ukiwa na nyaraka zinazothibitisha wewe ni raia; tulisimamishwa Chalinze pale na hao makonstebo wakaomba kila mtu atoe kitambulisho cha taifa...ilikuwa fujo kwenye gari wengi hawana ufahamu kwamba ni lazima uwe na utambulisho safarini, sielewi kwanini hawajapeleka elimu kwanza kwenye jamii!!. Pole sana kwa huyo Mama; by birth kijana ni mtanzania sasa 👏😁
Toa location ya ofisi ya uhamiaji Kuna wadau wanaweza kutoa msaadaKuna ofisi moja ya uhamiaji wakiwakamata watu wa namna hiyo (wasio raia) huwapiga sana na kuwanyang'anya fedha zao wanazokuwa wamezipata katika kufanya kazi aidha wakiwa wanarudi nchini kwao au wakiwa wameingia nchini kwetu katika utafutaji.
Sasa ninapofanyia kazi ni karibu na ofisi hiyo Sasa wakiwa wanawapiga wanatoa kilio cha uchungu sana utakuta mtu anapigwa zaidi ya masaa matatu roho yangu huwa inaugua sana kwa kusikia vilio vile.
Baada ya kuwapiga huwapora fedha zao na kuwaachia warudi nchini kwao huku hawana nauli wala hela ya chakula, uhamiaji fuateni taratibu zenu za kazi tafadhari
Mbaya zaidi mfano unatoka Dar kwenda Mbeya, bus ikifika Msamvu Terminal ambapo pana huduma zote hutawaona, ila bus ikitoka Msamvu ikikaribia maeneo ya Mindu ndiyo unawakuta wanawashusha abiria na kuwapotezea muda.Imekuwa kadhia siku hizi eti nchini kwako ni lazima usafiri ukiwa na nyaraka zinazothibitisha wewe ni raia; tulisimamishwa Chalinze pale na hao makonstebo wakaomba kila mtu atoe kitambulisho cha taifa...ilikuwa fujo kwenye gari wengi hawana ufahamu kwamba ni lazima uwe na utambulisho safarini, sielewi kwanini hawajapeleka elimu kwanza kwenye jamii!!. Pole sana kwa huyo Mama; by birth kijana ni mtanzania sasa [emoji122][emoji16]
AiseeKuna ofisi moja ya uhamiaji wakiwakamata watu wa namna hiyo (wasio raia) huwapiga sana na kuwanyang'anya fedha zao wanazokuwa wamezipata katika kufanya kazi aidha wakiwa wanarudi nchini kwao au wakiwa wameingia nchini kwetu katika utafutaji.
Sasa ninapofanyia kazi ni karibu na ofisi hiyo Sasa wakiwa wanawapiga wanatoa kilio cha uchungu sana utakuta mtu anapigwa zaidi ya masaa matatu roho yangu huwa inaugua sana kwa kusikia vilio vile.
Baada ya kuwapiga huwapora fedha zao na kuwaachia warudi nchini kwao huku hawana nauli wala hela ya chakula, uhamiaji fuateni taratibu zenu za kazi tafadhari
imepita hiyoNashauri huyo mtoto aliyezaliwa aitwe (BUTAKE ) yaani Burundi, Tanzania na Kenya
Kabisaaa yaan.Majeshi ya nchi hii ukiondoa Magereza na JWTZ ni watu wa hovyo Sana .....
Waje kujibu hapa.Hata Kama huyo Mama ni mtuhumiwa wa kutokua na vibali,bado anabaki chini ya uhamiaji kwa hali yoyote ile kuliko mnamkamata alafu mnamtelekeza bila ya msaada wowote ule kutokana na hali yake ya ujauzito!! Kwa hiyo Sasa uhamiaji ndiyo wamesha maliza kazi yao!?
Soma vizuri habari, acha kukurupuka lolMkuu usi walaumu kabisa watu wa uhamiaji,hivi wewe ulisha wai kuingia inchi za watu bila utaratibu? Ukiwa kwenye inchi za watu bila kufuata utaratibu lazima utasulubiwa tu,usiwalaumu kabisa wana timiza majukumu yao,pia ni ngumu kumtambua mtu muovu eti kisa kajitetea.