Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
Mtu yeyote alieferi kidato cha nne akapata alama za mwisho mwisho huwa anakuwa na matatizo....nilikuwa sijawahi kuliamini hili, lakini siku nilipoanza kuishi na jamaa alieferi kidato cha nne niligundua kitu niamini mimi au kama vipi fanya uchunguzi utaniambia...