Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnigeria hawezi kutoka Nigeria kuja Tanzania kushona nguo, bahati mbaya hujui unaloliandika.zile namba ni hatari, kule USA mara nyingi ukitua uwanjani (international flight) kama ni black most likely utaulizwa are you from Nigeria? if yes, you are subjected to further grillingSasa Mnigeria akishon nguo wewe huwezi kushon pia??
Kazi gani za wazawa wamechukua?
Vipi wale waTanzania kule South Africa?Lingine ni kuhusu hawa raia wa kigeni wanaopewa Business visa wakati wanafanya kazi ambazo wazawa pia wanaweza kufanya
Wewe huwajui Ndege,Ukimuona anashona nguo ujuwe ana Vyanda vyake anavipeleka taratibu.Sasa Mnigeria akishon nguo wewe huwezi kushon pia??
Kazi gani za wazawa wamechukua?
Wengi wanafanya biashara za madawa na haramu nyingine ila wanajifanya kufungua biashara za aina hiyo. Wanaijeria siyo wa kuchekea hata kidogo na wapigwe vita kabisa. Nashangaa hapa watu wanafanya kejeli wakati nchi imejaa vijana wasio na ajira.Kuna mmoja yuko mwanza anauza spea used za magari, nadhani sheria za JF hazikubali kutaja majina. Aisee huyu tunaita wa mwisho, spea ya 40000 ukienda kwake anakutajia laki moja kama hutaki sepa. Yaani ukienda kwake, unaeza amua kupaki gari tu
Kwa hiyo unaona sifa ukiwa suspected nchi za watuMnigeria hawezi kutoka Nigeria kuja Tanzania kushona nguo, bahati mbaya hujui unaloliandika.zile namba ni hatari, kule USA mara nyingi ukitua uwanjani (international flight) kama ni black most likely utaulizwa are you from Nigeria? if yes, you are subjected to further grilling
Kwani kuna kipengele kinasema business visa ni kwaajili ya kazi ambazo wazawa hawawezi kufanya??Niwape pongezi Idara ya Uhamiaji Tanzania kwa kazi nzuri mnayozidi kuifanya.
Ila kuna vitu vidogo mnahitaji kuvifanyia kazi. Kuna wimbi kubwa la vijana wa Nigeria wapo humu nchini wanafanya biashara ambazo hazieleweki.
Unakuta mNigeria eti anashona nguo. Kuna tukio moja limetokea Kidimbwi mwezi mmoja nyuma ambako waNigeria walinunua chupa 100 za champagne aina ya Moet na kugawia watu hovyo.
Bei ya Moet ni 250,000/= Hawa vijana wa Nigeria inabidi wachunguzwe maana sasa hivi wanaenda mbali na kujificha kwenye kujifanya wameoa dada zetu wa kiTanzania.
Lingine ni kuhusu hawa raia wa kigeni wanaopewa Business visa wakati wanafanya kazi ambazo wazawa pia wanaweza kufanya. Hili pia kwakweli tunawaomba muliangalie kwa umakini sana.
Halafu hao wanaijeria kwani wako wangapi??? Maana naamini ni wachache mno, achana na mambo ya xenophobiaNiwape pongezi Idara ya Uhamiaji Tanzania kwa kazi nzuri mnayozidi kuifanya.
Ila kuna vitu vidogo mnahitaji kuvifanyia kazi. Kuna wimbi kubwa la vijana wa Nigeria wapo humu nchini wanafanya biashara ambazo hazieleweki.
Unakuta mNigeria eti anashona nguo. Kuna tukio moja limetokea Kidimbwi mwezi mmoja nyuma ambako waNigeria walinunua chupa 100 za champagne aina ya Moet na kugawia watu hovyo.
Bei ya Moet ni 250,000/= Hawa vijana wa Nigeria inabidi wachunguzwe maana sasa hivi wanaenda mbali na kujificha kwenye kujifanya wameoa dada zetu wa kiTanzania.
Lingine ni kuhusu hawa raia wa kigeni wanaopewa Business visa wakati wanafanya kazi ambazo wazawa pia wanaweza kufanya. Hili pia kwakweli tunawaomba muliangalie kwa umakini sana.
Ushawahi kutapeliwa ama unapesti ulichokopi kwa kusikiaWapopo shida Yao utapeli sana hasa kwny maswala ya Hela za mitandao na janjajanja nyingi
Huo ndio uongo wa hali ya juu, wageni ni wachache. Na hujulikana wanakoishiNchi hii wageni ni wengi kuliko hata wenyeji
Niwape pongezi Idara ya Uhamiaji Tanzania kwa kazi nzuri mnayozidi kuifanya.
Ila kuna vitu vidogo mnahitaji kuvifanyia kazi. Kuna wimbi kubwa la vijana wa Nigeria wapo humu nchini wanafanya biashara ambazo hazieleweki.
Unakuta mNigeria eti anashona nguo. Kuna tukio moja limetokea Kidimbwi mwezi mmoja nyuma ambako waNigeria walinunua chupa 100 za champagne aina ya Moet na kugawia watu hovyo.
Bei ya Moet ni 250,000/= Hawa vijana wa Nigeria inabidi wachunguzwe maana sasa hivi wanaenda mbali na kujificha kwenye kujifanya wameoa dada zetu wa kiTanzania.
Lingine ni kuhusu hawa raia wa kigeni wanaopewa Business visa wakati wanafanya kazi ambazo wazawa pia wanaweza kufanya. Hili pia kwakweli tunawaomba muliangalie kwa umakini sana.
South africa wanawatimua sana wakisha jaa mtashindwa kuwadhibiti,kwa kifupi west Afican wengi ni matapeliWengi wa Hawa popo wanajifanya watu wa dini lakini ni gelesha tu biashara yao kubwa ni NGADA!! Hayo makanisa huko Mbezi beach ni ya kutakatishia fedha!!
Mnigeria usipomuona anafanya kazi kwenye balozi zao au shirika lolote la Kimataifa hapa nchini, ujue ngada inahusika.wewe hujui kuwa biashara ya dawa za kulevya imerudi kwa kasi ya mwendo kasi. na unapowaona wanaigeria sehemu ujue biashara hiyo ipo imenoga
Watanzania ujamaa umewalemaza saana,mlaumuni nyerere aisee,mnalia hakuna ajira halafu mnakomaa nchini kwenu licha ya mateso mnayolia kila siku mnayapata kutoka kwenye serikali zenu!Niwape pongezi Idara ya Uhamiaji Tanzania kwa kazi nzuri mnayozidi kuifanya.
Ila kuna vitu vidogo mnahitaji kuvifanyia kazi. Kuna wimbi kubwa la vijana wa Nigeria wapo humu nchini wanafanya biashara ambazo hazieleweki.
Unakuta mNigeria eti anashona nguo. Kuna tukio moja limetokea Kidimbwi mwezi mmoja nyuma ambako waNigeria walinunua chupa 100 za champagne aina ya Moet na kugawia watu hovyo.
Bei ya Moet ni 250,000/= Hawa vijana wa Nigeria inabidi wachunguzwe maana sasa hivi wanaenda mbali na kujificha kwenye kujifanya wameoa dada zetu wa kiTanzania.
Lingine ni kuhusu hawa raia wa kigeni wanaopewa Business visa wakati wanafanya kazi ambazo wazawa pia wanaweza kufanya. Hili pia kwakweli tunawaomba muliangalie kwa umakini sana.