Uhamiaji naomba muwamulike Wanaijeria walio Tanzania

Uhamiaji naomba muwamulike Wanaijeria walio Tanzania

Ni wivu, gubu na akili ya kimasikini a.k.a wanyonge ndio mnawaona wanaigeria, sababu mpo mpo tu vijiweni na kuzurura mjini bila shughuli badala kujishughulisha..... muuza duka Mangi hawaoni, muuza mazao kutoka mikoani hawaoni na sisi mbona hata
We acha kusapoti ujinga.. Tanzania ndo nahisi ni nchi jalala kwa raia wengi wa kigeni..tunaishi kishkaji sana na tunaachia raia wa kigeni mpaka wanajipenyeza kwenye taasisi za kiserikali ..wewe nenda tu hapo Rwanda au Mozambique utaona jinsi wenzetu walivo strict na mambo ya uhamiaji! Raia yyte wa kigen kana hana vibali ni sumu kwenye uchumi wetu!
Watanzania ujamaa umewalemaza saana,mlaumuni nyerere aisee,mnalia hakuna ajira halafu mnakomaa nchini kwenu licha ya mateso mnayolia kila siku mnayapata kutoka kwenye serikali zenu!
Dunia ya sasa haina mipaka watu wanasambaa nchi mbalimbali kusaka fursa,mkiona wamejazana kwenu na nyie nendeni kwao!!wanajeria wanakaribia milion 400 sasa,unategemea watajazana lwenye kanchi kao pale?? Waache waje kwa wazembewazembe kama huku wakamatie fursa,nyie endeleen kulala mnaenda kidmbwi kugongea Moët
 
WanaJeria wanaiba kwa njia ya Mtandao, wanaweza kuwa Tanzania lakini Mpunga unapigwa Dubai, Taiwan nk lkn ukiwaona wamejazana mahala tambua kuna mifumo dhaifu ya Kimtandao na Ulinzi kwa Ujumla.
All in all hao jamaa siyo wa kukaribishwa
sasa na wewe unaumiaje hapo ? san sana untakiwa kushukuru uchumi wetu unaimarika? tafuta hela wewe
 
Niwape pongezi Idara ya Uhamiaji Tanzania kwa kazi nzuri mnayozidi kuifanya.

Ila kuna vitu vidogo mnahitaji kuvifanyia kazi. Kuna wimbi kubwa la vijana wa Nigeria wapo humu nchini wanafanya biashara ambazo hazieleweki.

Unakuta mNigeria eti anashona nguo. Kuna tukio moja limetokea Kidimbwi mwezi mmoja nyuma ambako waNigeria walinunua chupa 100 za champagne aina ya Moet na kugawia watu hovyo.

Bei ya Moet ni 250,000/= Hawa vijana wa Nigeria inabidi wachunguzwe maana sasa hivi wanaenda mbali na kujificha kwenye kujifanya wameoa dada zetu wa kiTanzania.

Lingine ni kuhusu hawa raia wa kigeni wanaopewa Business visa wakati wanafanya kazi ambazo wazawa pia wanaweza kufanya. Hili pia kwakweli tunawaomba muliangalie kwa umakini sana.
Mama alisha muondoa mtetezi wa nchi kamishina wa kazi na kumuweka kilaza na kubadiri sheria na kupa neema wageni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We acha kusapoti ujinga.. Tanzania ndo nahisi ni nchi jalala kwa raia wengi wa kigeni..tunaishi kishkaji sana na tunaachia raia wa kigeni mpaka wanajipenyeza kwenye taasisi za kiserikali ..wewe nenda tu hapo Rwanda au Mozambique utaona jinsi wenzetu walivo strict na mambo ya uhamiaji! Raia yyte wa kigen kana hana vibali ni sumu kwenye uchumi wetu!
Hata ukiwafukuza wote, haibadilishi kitu kwenye maisha yako
utaendelea kuwa choka mbaya aka mnyonge
ndio maana unaambiwa tafuta hela ili undokane na akili ya kimasikini ya kutafuta mchawi wa umasikini wako.....
 
Wanatuletea Tabia za ajabu ajabu Sana wageni..ndio Mana msomali hataki ndabo za wageni ..mimtu Ina kukhanith kwenye ardhi yako...
 
sasa na wewe unaumiaje hapo ? san sana untakiwa kushukuru uchumi wetu unaimarika? tafuta hela wewe
Uchumi unaimarika wapi na wapi? Hizo fedha za Wizi ndio chanzo cha Mfumuko wa Bei unaolia nao wewe. Pesa zimejazana kitaaa hazina thamani tena. Fikiria Mnigeria anaaamua kuchukua Mil.25 ananunua Kvant kibabe hizo ni pesaaaa au Makaratasi ya Zimbabwe???
 
Niwape pongezi Idara ya Uhamiaji Tanzania kwa kazi nzuri mnayozidi kuifanya.

Ila kuna vitu vidogo mnahitaji kuvifanyia kazi. Kuna wimbi kubwa la vijana wa Nigeria wapo humu nchini wanafanya biashara ambazo hazieleweki.

Unakuta mNigeria eti anashona nguo. Kuna tukio moja limetokea Kidimbwi mwezi mmoja nyuma ambako waNigeria walinunua chupa 100 za champagne aina ya Moet na kugawia watu hovyo.

Bei ya Moet ni 250,000/= Hawa vijana wa Nigeria inabidi wachunguzwe maana sasa hivi wanaenda mbali na kujificha kwenye kujifanya wameoa dada zetu wa kiTanzania.

Lingine ni kuhusu hawa raia wa kigeni wanaopewa Business visa wakati wanafanya kazi ambazo wazawa pia wanaweza kufanya. Hili pia kwakweli tunawaomba muliangalie kwa umakini sana.

Wamefungua maduka ya pochi Kariakoo ni balaa
 
Amri ilishatoka kwamba wawekezaji wasinyimwe working permit wala ardhi.

Hao ni wawekezaji.
 
Amri ilishatoka kwamba wawekezaji wasinyimwe working permit wala ardhi.

Hao ni wawekezaji.
 
Na wanajua kushangaa hao...

chaiiiiiiiii!!.....Jesu......Mtumukeeeee......whaaati!!!
 
Kumbe na ww uliona
Haki nilishangaa sana watu wamenunua Moet & Chandon Nectar imperial Rose kama sikosei ambazo bei yake iko juu Imperial Brut....

Nikajiuliza hawa mabishoo mpunga wanautoa wapi jamani???
Kwakweli wachunguzwe usikute ndo watoa figo za watu
 
Back
Top Bottom