HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Kwanini wakuulize wakati Passport yaeleza yoteMnigeria hawezi kutoka Nigeria kuja Tanzania kushona nguo, bahati mbaya hujui unaloliandika.zile namba ni hatari, kule USA mara nyingi ukitua uwanjani (international flight) kama ni black most likely utaulizwa are you from Nigeria? if yes, you are subjected to further grilling
Sent using Jamii Forums mobile app