Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Passport ni tshs 150,000 bado wanasumbua je? Passport ingekuwa bure si wangekuwa na mashariti magumu kama kuomba Viza USA na UKHao jamaa wasumbufu sana hata uwe na dhumuni la safari wanasumbua
Passport ni tshs 150,000 lakini Nchi hii kila mwenye mamlaka huyatumia vibaya kuwanyanyasa wananchiKwani wanatoa bure hizo passport?
Tanzania sasa ni Nchi ya vioja matamko ya kusaka uteuzi vyeo sifa za kijinga jinga hayaishiKufanikiwa kwa tanzania ni dili au jambo la ajabu,kuna maisha tanzania tunaishi kama zama za mawe.alafu tunashangalia tukisema wakombozi.
Uchumi wa kati wa mlipa kodi ya mwaka shilingi 20k
Hata ukienda kukata tiketi ya Safari za nje lazima watakuomba passpor , mipango ya Safari bila passport ni migumu kutekelezeka, hakuna Nchi watakupa Viza bila passport passportJipya hapo ni hayo malipo ya Sh. 500,000, huko nyuma hayakuwepo na Passport zilikuwa zinapotea, mengine yote yalikuwepo toka Passport za Tanganyika kwa sababu hiyo ni Hati ya Kusafiria nchi za nje kama husafiri inahitaji ya nini? Labda Wafanyakazi wa Uhamiaji wangekuwa wanaeleza watu wakaelewa maana hata kama mtu ana Passport na nauli ya kwenda Marekani anaweza asiende kwa sababu wakati anapoomba Visa ataulizwa maswali yaleyale anakwenda kufanya nini na hiyo Passport baada ya miaka 10 ni ya kutupwa.
Hapana. Kuna wakati unatakiwa kusafiri ghafla na hamna muda wa kuomba na kupata pasi. Mwisho tutaambiwa hupewi leseni ya kuendesha gari kama huna gari.Sasa utaombaje passport kama huna matumizi nayo?
Si unakua na mpango wa safari ndio unatafuta passport!? Au nakosea ndugu zangu😃😃😃😃
Kwa utawala huu wa chato lolote linawezekanaHapana. Kuna wakati unatakiwa kusafiri ghafla na hamna muda wa kuomba na kupata pasi. Mwisho tutaambiwa hupewi leseni ya kuendesha gari kama huna gari.
Amandla...
Rushwa Uhamiaji ndipo makao makuu hata Takukuru walishanawa mikono hawapawezi kamweWANATENGENEZA MAZINGIRA YA KUPOKEA HONGO. BADALA YA KULIPA TZS 150,000/ WATU WANALIPISHWA TZS 300,000/ NDIO WAPATE PASSPORT.
JANA HUKO BABATI AMESHACHUKUA MIEZI 3 JELA RUSHWA.
Ujue HUU NI UPUMBAVU.
passport ni haki ya kila raia kuwa nayo.haijalishi una safari au hauna .passport sio mali ya uhamiaji.
Acheni UKOLONI.
Yaani siku nikipata safari ndo nianze kuhangaika kutafuta passport?
Passport za kitanzania bado zatumika vibaya huko nje na watu bado wanazipata kwa magendo na kuzitumia kwenye uhalifu kama usafirishaji wa ngada.Passport ni haki ya kila Mtanzania hata kama hana Safari kwani passport haipatikani bure ni lazima uilipie cash tshs 150,000 , Serikali inaingiza mapato makubwa kupitia passport na endapo wataanza vigezo vya Safari ndiyo iwe kigezo cha kupata passport watambue kuwa watakosa pesa na passport zitarundikana huko Uhamiaji zitakosa wahitaji na Serikali kukosa mapato, watambue kuwa passport ni muhimu kuwa nayo mda wote kwani Safari zingine huja ghafra pasipo kutarajia
Uhamiaji ndipo kitovu cha usumbufu kuliko ofisi zote za SerikaliHao jamaa wasumbufu sana hata uwe na dhumuni la safari wanasumbua
Naibu waziri amewaambia uhamiaji waache kusumbua wananchi.Hicho si kigezo cha kuwasumbua watu kupata passport kwani wahalifu wapo kila Nchi na hakuna usumbufu wa kutoa passport kama Tanzania, Watoe passport kwa usumbufu bado wahalifu wapo na hawatakwisha kwani wanazidi kuzaliwa kila siku , Uhamiaji waache visingizio visivyo na mashiko kuwanyima watanzania passport matokeo yake ni kuinyoma Serikali mapato
Si kweli , kama huo ndio utaratibu tangazo hili la nini ?
Mbona iko hivyo siku zote?
Hapo kwenye Haki,Hakuna Haki isiyofuata utaratibu.Ujue HUU NI UPUMBAVU.
passport ni haki ya kila raia kuwa nayo.haijalishi una safari au hauna .passport sio mali ya uhamiaji.
Acheni UKOLONI.
Yaani siku nikipata safari ndo nianze kuhangaika kutafuta passport?