Uhamiaji Tanzania, lisaidieni Taifa kuhusu Yusuf Manji. Ni raia wa Tanzania au Marekani?

Uhamiaji Tanzania, lisaidieni Taifa kuhusu Yusuf Manji. Ni raia wa Tanzania au Marekani?

Naandika hoja hii hapa kufuatia mijadala inayoendelea mitandaoni kuhusu tafsiri ya uraia wa Bw. Manji. Naamini amekuja nchini kuendeleza miradi yake lakini pia ameletwa na mfumo kwa ajili yakurejesha imani ya wageni waweze kurejea nchini baada ya miaka kadhaa diplomasia yetu kimataifa kuwa na mrengo usioelewe.

Lakini nakumbuka Mara ya mwisho alikuwa raia wa Marekani na alipoondoka hapa alikwenda kuishi Marekani. Leo tunaambiwa karudi,well and good. Ila karudi Kama raia wa nchi gani?

Ni vyema Uhmiaji wakatoka adharani na kutuambia huyu Bwana ni Raia wa Tanzania, ni Raia wa Marekani au amepewa uraia pacha japo hakuna sheria inayompa uraia pacha kwa umri ule. Kukaa kimya kwa Uhamiaji, kukaa kimya kwa wizara ya mambo ya nje inayosimamia Ubalozi wetu wa Marekani ambao naamini wanahaki yakujua taarifa za uraia wa huyu mtu nikumfanya Mhe. Rais amwamini nakumshirikisha huyu Bwana akiamini ni Mtanzania kumbe sivyo.

Haya siyo mawazo yangu haya ni mawazo ya wanetu wanaoishi nje na ambao kwa bahati mbaya waliukana Utanzania wakapata uraia wa nje na Sasa awawezi kuupata tena Utanzania. Wanauliza Mbona Kuna tetesi kwamba Manji naye aliukataa Utanzania Kama Singo nakubaki na Umarekani, kwanini mitandao iandike yeye ni Mtanzania? Na Kama ana haki ya Utanzania mbona juzi Kati Mmarekani Mtanzania mwana Diaspora alipoteuliwa na Rais mitandao ikahoji inakuwaje Mmarekani anateuliwa na Rais, kwanini uteuzi wake ulifutwa japo kimya kimya?

Naamini kwa mwandiko wangu mchafu na ujinga wangu kwenye taaluma ya Uraia nimefungua mjadala kuwawezesha viongozi wetu kudemka na kucheza kwa kuzingatia due diligence kwa binadamu hawa wenye matatizo ya Uraia.

Uraia wetu ni zaidi ya fedha za mtu, ni zaidi ya rasilimali zetu hivyo tuitekenye sheria ya Uraia kwa ueledi itusaidie kuwadhibiti wasio Watanzania kujipa Utanzania wa muda.

Naamini tukiziba masikio nakuona potentiality ya Manji leo kuliko kuangalia Kwanza uraia wake tutafungua mjadala mkubwa huko mbeleni ambao utaligawa Taifa. Tujadiliane, tufunguane macho,tuelimishane na tumsaidie Rais na viongozi wengine kulitumikia Taifa kwa misingi Bora. Tusipowaambia tukaamini wanajua tutakua hatulitendei haki Taifa letu.

Uhamiaji tunawaomba mtoke adharani mseme ni raia au siyo raia. Msifanye Siri na msikubali kuambiwa na mwanasiasa nini mseme zingatieni sheria kumshauri mkuu wa nchi kwa lengo lakumwezesha afanye biashara,amtumie huyu mwekezaji na aruhusu taasisi nyingine kushiriakiana naye kwa hadhi sahihi ya Uraia siyo kwa adhi ya muda ambayo Samia akiondoka au kabla hajaondoka wanaweza kuibuka watu wakaiumbua serikali .

Nimechokonoa, endeleeni kutufunda
“Haya siyo mawazo yangu haya ni mawazo ya wanetu wanaoishi nje na ambao kwa bahati mbaya waliukana Utanzania wakapata uraia wa nje na Sasa awawezi kuupata tena Utanzania.”

Mkuu, kwa uelewa wangu kuukana uraia haimaanishi hutarudi tena kuomba uraia. Yaani kuukana uraia wa Tanzania 🇹🇿 haimaanishi badae ukitaka kuomba utazuiwa kisa ulikana
 
Mtu kazaliwa Tanzania 🇹🇿 halafu leo unataka kumwita Mmarekani kwasababu ya kibali. Watanzania ni wajinga sana wakati mwingine utu wa mtu sio makaratasi yake. Kila Mtanzania anajijua popole alipo mimi nimekaa US miaka 20 lakini mpaka leo wanasema mimi ni Mtanzania hakuna mtu anaweza kunitaja bila kuhusisha na Utanzania wangu maana Utanzania ni utu sio makaratasi siku hizi ndiyo watu wanataka kubadilisha Utanzania kuwa vitabu na vibali. Mtu kazaliwa Tanzania ni Mtanzania awe na passport ni mambo ya sheria tu na yanabadilika kila siku lakini Manji ni Mtanzania na hakuna binadamu anaweza kubadilisha hilo passsport unapewa na watu lakini utaifa unapewa na Mungu
Majibu ya ushabiki na hisia
 
How does that concerns you? Ndo maana Tunabaki kuwa maskini’
Hili ndio linashangaza kabisa! Mtu anaacha kuhoji bei ya mkate,sukari, unga, mshahara, anaanza kung'ang'ana na uraia wa Manji! UHAMIAJI si wapo? Nayakumbuka maneno ya Hayati Mkapa kwamba watanzania TUNA WIVU WA KIJINGA huenda hakukosea sana
 
Rais aliposema anarudi kwani hajui ni raia wa nchi gani.

Uraia wa manji unawatesa watanzania ambao wanapata ajira kwenye makampuni yake.

Huku wapo waliouza korosho huu mwaka wa tatu hawajalipwa na tumaini la malipo limekufa.

Wivu na roho mbaya ndo unatunaturudisha nyuma kimaendeleo.
 
Hoja namba 4 haina mashiko kabisa.

Nafikiri wewe ni maamuma ktk sheria, suala la mtu kukopa ama kuchukua tenda ni la kimkataba na mara nyingi, mikataba inayohusisha shughuli hizo baina ya pande mbili, huwekwa vifungu maalumu ili kukidhi matakwa na mambo yote nyeti yanayoweza tokea kama hilo unalo hofia.

Mfano wa kifungu kinachowekwa kwenye mkataba ni choice of law clause, ambapo mkataba utasema sheria ipi itumike baina ya pande mbili za mkataba, maana yumkini pande hizo zina uraia tofauti, je mahakama ipi itumike ya nchi gani? ect. hapa

Hakuna namna ya kukimbia ama uraia wa kigeni si kichaka cha kuepuka wajibu wa kimkataba na wa kisheria sababu mkataba uliokidhi vigezo vya kisheria na kitaalam una vifungu vya kueleza yote hayo...
Ni kweli Mkuu uko sahihi, ndio maana kwenye Mikataba ya Ujenzi wa Miundombinu yetu e.g barabara, reli, umeme n.k. Ikiwa miradi hiyo Financier wake ni AfDB, EU, WB n.k mara nyingi sheria mtakayokubaliana itumike ni ya FIDIC na ikiwa Financier wake ni GoT (Serikali ya Tanzania) sheria inayotumika ni ya PPRA.
 
How does that concerns you? Ndo maana Tunabaki kuwa maskini’
Inaonesha ni jinsi gani unapwaya kuchangia katika mada iliyo mezani, mtoa mada katoa hoja yenye maana sana, Kuna watanzania wengi sana kwa sababu mbalimbali wapo nje ya Tanzania wakiwa na uraia wa nchi nyingine lakn mioyo yao na hatima zao zipo Tanzania. Na wao wanatamani sana kuwekeza katika nchi yao mama lakini sheria inawabana, sasa wanapoona suala kama hili la Manji ni lazima na wao watahoji japo si kwa roho mbaya kama wengi wanavyofikiria humu.
 
Naandika hoja hii hapa kufuatia mijadala inayoendelea mitandaoni kuhusu tafsiri ya uraia wa Bw. Manji. Naamini amekuja nchini kuendeleza miradi yake lakini pia ameletwa na mfumo kwa ajili yakurejesha imani ya wageni waweze kurejea nchini baada ya miaka kadhaa diplomasia yetu kimataifa kuwa na mrengo usioelewe.

Lakini nakumbuka Mara ya mwisho alikuwa raia wa Marekani na alipoondoka hapa alikwenda kuishi Marekani. Leo tunaambiwa karudi,well and good. Ila karudi Kama raia wa nchi gani?

Ni vyema Uhmiaji wakatoka adharani na kutuambia huyu Bwana ni Raia wa Tanzania, ni Raia wa Marekani au amepewa uraia pacha japo hakuna sheria inayompa uraia pacha kwa umri ule. Kukaa kimya kwa Uhamiaji, kukaa kimya kwa wizara ya mambo ya nje inayosimamia Ubalozi wetu wa Marekani ambao naamini wanahaki yakujua taarifa za uraia wa huyu mtu nikumfanya Mhe. Rais amwamini nakumshirikisha huyu Bwana akiamini ni Mtanzania kumbe sivyo.

Haya siyo mawazo yangu haya ni mawazo ya wanetu wanaoishi nje na ambao kwa bahati mbaya waliukana Utanzania wakapata uraia wa nje na Sasa awawezi kuupata tena Utanzania. Wanauliza Mbona Kuna tetesi kwamba Manji naye aliukataa Utanzania Kama Singo nakubaki na Umarekani, kwanini mitandao iandike yeye ni Mtanzania? Na Kama ana haki ya Utanzania mbona juzi Kati Mmarekani Mtanzania mwana Diaspora alipoteuliwa na Rais mitandao ikahoji inakuwaje Mmarekani anateuliwa na Rais, kwanini uteuzi wake ulifutwa japo kimya kimya?

Naamini kwa mwandiko wangu mchafu na ujinga wangu kwenye taaluma ya Uraia nimefungua mjadala kuwawezesha viongozi wetu kudemka na kucheza kwa kuzingatia due diligence kwa binadamu hawa wenye matatizo ya Uraia.

Uraia wetu ni zaidi ya fedha za mtu, ni zaidi ya rasilimali zetu hivyo tuitekenye sheria ya Uraia kwa ueledi itusaidie kuwadhibiti wasio Watanzania kujipa Utanzania wa muda.

Naamini tukiziba masikio nakuona potentiality ya Manji leo kuliko kuangalia Kwanza uraia wake tutafungua mjadala mkubwa huko mbeleni ambao utaligawa Taifa. Tujadiliane, tufunguane macho,tuelimishane na tumsaidie Rais na viongozi wengine kulitumikia Taifa kwa misingi Bora. Tusipowaambia tukaamini wanajua tutakua hatulitendei haki Taifa letu.

Uhamiaji tunawaomba mtoke adharani mseme ni raia au siyo raia. Msifanye Siri na msikubali kuambiwa na mwanasiasa nini mseme zingatieni sheria kumshauri mkuu wa nchi kwa lengo lakumwezesha afanye biashara,amtumie huyu mwekezaji na aruhusu taasisi nyingine kushiriakiana naye kwa hadhi sahihi ya Uraia siyo kwa adhi ya muda ambayo Samia akiondoka au kabla hajaondoka wanaweza kuibuka watu wakaiumbua serikali .

Nimechokonoa, endeleeni kutufunda
Akili ndogo hizo, kwani mmarekani aruhusiwi kuja kuishi au kuwekeza Tanzania? Serikali ilishafeli kwa kutoruhusu uraia pacha.
 
Inaonesha ni jinsi gani unapwaya kuchangia katika mada iliyo mezani, mtoa mada katoa hoja yenye maana sana, Kuna watanzania wengi sana kwa sababu mbalimbali wapo nje ya Tanzania wakiwa na uraia wa nchi nyingine lakn mioyo yao na hatima zao zipo Tanzania. Na wao wanatamani sana kuwekeza katika nchi yao mama lakini sheria inawabana, sasa wanapoona suala kama hili la Manji ni lazima na wao watahoji japo si kwa roho mbaya kama wengi wanavyofikiria humu.
Ni sheria ipi inawabana hao watanzania waliopo nje wanaotanani kuwekeza Tz??

Uraia si kigezo cha kushindwa kuwekeza nchini kwa mtu yoyote na wala hakuna sheria inayonyima mtu kuwekeza, isipokuwa masharti ya uwekezaji kisheria hutofautiana kati ya mzawa na mgeni.

Yatosha kusema nawe wapwaya ktk hoja...
 
nje ya mada nina swali,kuna nchi naskia ukiwa na pesa ndefu au makampuni makubwa ya uwekezaji watakushawishi mpaka ukubali kuchukua uraia wao na kuna nchi wanachukia wawekezaji na matajiri na ikiwezekana kuwafukuza na kuwajengea chuki raia wake wawachukie lipi taifa bora hapo
 
Naandika hoja hii hapa kufuatia mijadala inayoendelea mitandaoni kuhusu tafsiri ya uraia wa Bw. Manji. Naamini amekuja nchini kuendeleza miradi yake lakini pia ameletwa na mfumo kwa ajili yakurejesha imani ya wageni waweze kurejea nchini baada ya miaka kadhaa diplomasia yetu kimataifa kuwa na mrengo usioelewe.

Lakini nakumbuka Mara ya mwisho alikuwa raia wa Marekani na alipoondoka hapa alikwenda kuishi Marekani. Leo tunaambiwa karudi,well and good. Ila karudi Kama raia wa nchi gani?

Ni vyema Uhmiaji wakatoka adharani na kutuambia huyu Bwana ni Raia wa Tanzania, ni Raia wa Marekani au amepewa uraia pacha japo hakuna sheria inayompa uraia pacha kwa umri ule. Kukaa kimya kwa Uhamiaji, kukaa kimya kwa wizara ya mambo ya nje inayosimamia Ubalozi wetu wa Marekani ambao naamini wanahaki yakujua taarifa za uraia wa huyu mtu nikumfanya Mhe. Rais amwamini nakumshirikisha huyu Bwana akiamini ni Mtanzania kumbe sivyo.

Haya siyo mawazo yangu haya ni mawazo ya wanetu wanaoishi nje na ambao kwa bahati mbaya waliukana Utanzania wakapata uraia wa nje na Sasa awawezi kuupata tena Utanzania. Wanauliza Mbona Kuna tetesi kwamba Manji naye aliukataa Utanzania Kama Singo nakubaki na Umarekani, kwanini mitandao iandike yeye ni Mtanzania? Na Kama ana haki ya Utanzania mbona juzi Kati Mmarekani Mtanzania mwana Diaspora alipoteuliwa na Rais mitandao ikahoji inakuwaje Mmarekani anateuliwa na Rais, kwanini uteuzi wake ulifutwa japo kimya kimya?

Naamini kwa mwandiko wangu mchafu na ujinga wangu kwenye taaluma ya Uraia nimefungua mjadala kuwawezesha viongozi wetu kudemka na kucheza kwa kuzingatia due diligence kwa binadamu hawa wenye matatizo ya Uraia.

Uraia wetu ni zaidi ya fedha za mtu, ni zaidi ya rasilimali zetu hivyo tuitekenye sheria ya Uraia kwa ueledi itusaidie kuwadhibiti wasio Watanzania kujipa Utanzania wa muda.

Naamini tukiziba masikio nakuona potentiality ya Manji leo kuliko kuangalia Kwanza uraia wake tutafungua mjadala mkubwa huko mbeleni ambao utaligawa Taifa. Tujadiliane, tufunguane macho,tuelimishane na tumsaidie Rais na viongozi wengine kulitumikia Taifa kwa misingi Bora. Tusipowaambia tukaamini wanajua tutakua hatulitendei haki Taifa letu.

Uhamiaji tunawaomba mtoke adharani mseme ni raia au siyo raia. Msifanye Siri na msikubali kuambiwa na mwanasiasa nini mseme zingatieni sheria kumshauri mkuu wa nchi kwa lengo lakumwezesha afanye biashara,amtumie huyu mwekezaji na aruhusu taasisi nyingine kushiriakiana naye kwa hadhi sahihi ya Uraia siyo kwa adhi ya muda ambayo Samia akiondoka au kabla hajaondoka wanaweza kuibuka watu wakaiumbua serikali.

Nimechokonoa, endeleeni kutufunda.
acha UBAGUZI, wasukuma inawauma nini?
 
Inaonesha ni jinsi gani unapwaya kuchangia katika mada iliyo mezani, mtoa mada katoa hoja yenye maana sana, Kuna watanzania wengi sana kwa sababu mbalimbali wapo nje ya Tanzania wakiwa na uraia wa nchi nyingine lakn mioyo yao na hatima zao zipo Tanzania. Na wao wanatamani sana kuwekeza katika nchi yao mama lakini sheria inawabana, sasa wanapoona suala kama hili la Manji ni lazima na wao watahoji japo si kwa roho mbaya kama wengi wanavyofikiria humu.

Sina mda aisee wa kujadili hii kitu! It has zero impact kwenye maisha yangu na hata ya watu wengine!

Kama Manji Sio raia wa Tanzania bado ana haki ya kuja Tanzania Kama mgeni, how does that concerns me?
 
Sina mda aisee wa kujadili hii kitu! It has zero impact kwenye maisha yangu na hata ya watu wengine!

Kama Manji Sio raia wa Tanzania bado ana haki ya kuja Tanzania Kama mgeni, how does that concerns me?
You are so genious,
 
Back
Top Bottom