Uhamiaji tusaidieni kwanini passport haitumiki kama National Identification card katika baadhi ya ofisi nchini

Uhamiaji tusaidieni kwanini passport haitumiki kama National Identification card katika baadhi ya ofisi nchini

Passport ni hati inayotumika kumtambulisha mwenye hati kuwa ni mtanzania, pale anaposafiri nje ya nchi. Mtanzania awapo ndani ya nchi anapaswa kuwa na kitambulisho cha taifa pale anapohitaji kupata huduma tofauti na kusafiri.

Tangu zilipotoka passport hizi mpya, taarifa zilitolewa na idara ya uhamiaji kuwa passport za kuafiria za Tanzania hazitatumika kama kitambulisho zaidi ya kitambulisho cha taifa. Ofisi ulizotembelea ziko sahihi kabisa kukugomea maana kitambulisho cha taifa ndio kinachotumika ndani ya Tanzania na sio pasi ya kusafiria.

N.B. Naamini watalaam wa Idara ya uhamiaji watakuja kutoa somo humu kwa faida ya jukwaa hili.
 
Mbona wanaoleta complications hapa nchini hasa kwenye maofisi ya umma ndio hao hao ambao wamewahi kukaa nje ya nchi, au exposure ipi inahitajika kubadilika mentality za hawa watu ?

Kula ugali sana huondoa akili mkuu, hata kama mtu akienda nje, lakini kama kwenye makuzi yake alikula sana ugali lazima awe hana akili.
 
Hakuna kitu. Duniani pote utambulisho namba moja unaotumika ni passport , si hiki kidude cha nida . Hata mimi nimewahi kupata matatizo kama haya mara mbili.

Kinachoisumbua Tanganyika ni mentality za ki communist. Hakuna kingine
Tunza passport yako, hatuitaki. Sisi twataka National ID
 
... unakataa kitambulisho kinachotambulika duniani kote, unadai kikaratasi hata Chumbe kuingia Unguja hakitambuliki. Upumbavu.
Passport ni ya kusafiria, sio kitambulisho, punguzeni kujibu umuhimu usio na maana
 
Nimekwenda ofisi kama tatu za watu binafsi nimeshindwa kupata huduma kwa kutumia kitambulisho cha passport eti hakitambuliki. Yaani kitabu hakitambuliki?

Ni kweli karne ya 22 kuna baadhi ya ofisi hazitambui kama passport ya kusafiria ni kitambulisho.

Wananiambia hicho hakitambuliki sisi hapa tunahitaji NIDA tu.

Kweli nimeshangaa nimejisemea hiki sasa ni nini. Nimetamani kuutangazia uma palepale kuitambua passport kama kitambulisho kwenye ofisi zote za serikali na binafsi.

Passport na NIDA kipi ni kitambulisho.

Uhamiaji tusaidieni ni kwanini passport haitumiki kama National Identification card baadhi ya ofisi.

Nadhani ulitaka kujimwambafai ili watu wajue una passport, ndiyo maana wameamua kukupotezea huko! Kwani kitambulisho cha NIDA ulipeleka wapi?
 
Ila passport ni pasi ya kusafiria ila NIDA NI ID YA UTAMBULISHO KWAMBA WE NI MTANZANIA .... NAFIKIRI FOREIGNER LABDA NDIO WANGEITAJI PASSPORT YAKE LAKINI BORN HERE HERE LAZIMA NIDA IHUSIKE TU SIJAONA KOSA KWA KWELI
 
Hii nchi yetu inasumbuliwa na mambo mengi sana, machache yakiwemo.
1. Backwardness
2. Primitivity
3. Ignorance
4. Laziness
5. Negligence
6. Indolency
7. Short-sighted
8. Embezzlement
9. Misappropriation
 
Nimekwenda ofisi kama tatu za watu binafsi nimeshindwa kupata huduma kwa kutumia kitambulisho cha passport eti hakitambuliki. Yaani kitabu hakitambuliki?

Ni kweli karne ya 22 kuna baadhi ya ofisi hazitambui kama passport ya kusafiria ni kitambulisho.

Wananiambia hicho hakitambuliki sisi hapa tunahitaji NIDA tu.

Kweli nimeshangaa nimejisemea hiki sasa ni nini. Nimetamani kuutangazia uma palepale kuitambua passport kama kitambulisho kwenye ofisi zote za serikali na binafsi.

Passport na NIDA kipi ni kitambulisho.

Uhamiaji tusaidieni ni kwanini passport haitumiki kama National Identification card baadhi ya ofisi.
My take on this:
Whether government or private sector, they don't have the means or equipment to verify authenticity of the said passport, apart from Immigration officers at airports and others places of entry in the country.

Immediate transformation is needed!
What they need to ask themselves, what is a passport?
 
My take on this:
Whether government or private sector, they don't have the means or equipment to verify authenticity of the said passport, apart from Immigration officers at airports and others places of entry in the country.

Immediate transformation is needed!
What they need to ask themselves, what is a passport?
kwani NIDA inakuwa verified vipi?

Mtu hawezi kushare ID yake au taarifa zake without his/her consent.

Na part ya hiyo agreement lazima taarifa ziwe sahihi au akose haki yake ya kupata anachotakiwa na kuchukuliwa hatua kisheria na pia kujitetea why taarifa zake haziko sahihi labda kuna makosa

You guys mnahitaji exposure sana.
 
Back
Top Bottom