Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Nikuulize tu YEHODAYA . Hivi nje ya mipaka yetu hicho kinida kinatambulika na kuheshimika ?!. Kama ukiwa popote duniani ukitoa passport tena hii ya kisasa (electronic) taarifa zako zinajulikana popote, kwanini ofisi zetu wenyewe iidunishe passport yetu ?!Uongo
Ukiwa mgeni sawa lakini mwenyeji kitambilisho kikubwa na cha NIDA
Hii inanikumbusha kungangania kiswahili humu mwetu. Ingawa ukitoka tu nje ya mipaka yetu tu, hakuna anaekuelewa wala mawasiliano ya kiswahili. Narudia kusema kinachowasumbua viongozi na taifa letu, ni mentality za ki communist. Nothing more , nothing less