Uhamiaji tusaidieni kwanini passport haitumiki kama National Identification card katika baadhi ya ofisi nchini

Uhamiaji tusaidieni kwanini passport haitumiki kama National Identification card katika baadhi ya ofisi nchini

Tunza passport yako, hatuitaki. Sisi twataka National ID
Sasa dada !! Kama mpaka leseni za udereva wanaziheshimu lakini si passport. Why ?!.

Nida, Tra, Uhamiaji ni biometric. Kwanini waziheshimu hizo mbili na kukataa utambulisho namba moja duniani ?!.

U communist haujawahi kuitoa nchi yoyote mrisi duniani. Hata Tanganyika haiwezi kufaulu
 
Nimekwenda ofisi kama tatu za watu binafsi nimeshindwa kupata huduma kwa kutumia kitambulisho cha passport eti hakitambuliki. Yaani kitabu hakitambuliki?

Ni kweli karne ya 22 kuna baadhi ya ofisi hazitambui kama passport ya kusafiria ni kitambulisho.

Wananiambia hicho hakitambuliki sisi hapa tunahitaji NIDA tu.

Kweli nimeshangaa nimejisemea hiki sasa ni nini. Nimetamani kuutangazia uma palepale kuitambua passport kama kitambulisho kwenye ofisi zote za serikali na binafsi.

Passport na NIDA kipi ni kitambulisho.

Uhamiaji tusaidieni ni kwanini passport haitumiki kama National Identification card baadhi ya ofisi.
Maana sio Nida haikutambulishi vizuri kama mtanzania ila inakutambulisha ukisafiri tu nchini mwa watu ndio maana Kuna passport na Kuna Identification Card so ni vitu tofauti sana ndio maana watu waliokuwa hawana uraia wanalipia uraia huo
 
Ujinga huu upo Tanzania tu. Nchi nyingi hasa Ulaya, Passport ndio kitambulisho namba moja.
Hapa kwetu hata SIM card huwezi kusajilia
Nilikutana na hii issue ya kusajili simcard. Walikataa kata kata kwamba passport ya Tanzania haitakiwi. Ila wanaruhusu passport za nje kusajili simcard.
 
Sababu ni kuwa hakuna intergration kati ya Uhamiaji na hizo Ofisi.

Ofisi zote huchukua taarifa kutoka NIDA including Uhamiaji...

Afu usijipe umuhimu usio na lazima maana huwezi pata Passport bila kuwa na NIDA unless ni under 18
Uko sure na hili? Lazima uwe na NIDA kupata passport ya Tanzania? Basi diaspora wangekuwa hawana passport za tanzania. maana wengi hawana NIDA, lakini wameweza kupata passport mpya kupitia ubalozini
 
Nimekwenda ofisi kama tatu za watu binafsi nimeshindwa kupata huduma kwa kutumia kitambulisho cha passport eti hakitambuliki. Yaani kitabu hakitambuliki?

Ni kweli karne ya 22 kuna baadhi ya ofisi hazitambui kama passport ya kusafiria ni kitambulisho.

Wananiambia hicho hakitambuliki sisi hapa tunahitaji NIDA tu.

Kweli nimeshangaa nimejisemea hiki sasa ni nini. Nimetamani kuutangazia uma palepale kuitambua passport kama kitambulisho kwenye ofisi zote za serikali na binafsi.

Passport na NIDA kipi ni kitambulisho.

Uhamiaji tusaidieni ni kwanini passport haitumiki kama National Identification card baadhi ya ofisi.
Kwa umri wako ulidhani unajua kila kitu?😂😂😂
 
Shida hapo ni ujinga, na ndo unaotafuna hii nchi.
Maofisini kuna vilaza wengi sana.
 
70% wa Tz hawana pasport hawajui umuhimu wake

Hapana mkuu, sio kwamba wa Tz wengi hawajui umuhimu wake la hasha! Bali wahusika ambao (IMMIGRATION) pamoja na gvn wameshindwa kuweka urahisi wa kila mtanzania kupata passport kwa urahisi, maana kuomba passport imekuwa ngumu sana kukubaliwa kuipata kwa urahisi.
Sasa hapo ndiyo inapelekea wa Tz wengi kupotezea umuhimu wa passport kutokana mazingira mabovu yaliyopo katika upatikanaji wake. Ilihali passport ni haki ya kila Mtanzania kuwa nayo!!!
 
Nimekwenda ofisi kama tatu za watu binafsi nimeshindwa kupata huduma kwa kutumia kitambulisho cha passport eti hakitambuliki. Yaani kitabu hakitambuliki?

Ni kweli karne ya 22 kuna baadhi ya ofisi hazitambui kama passport ya kusafiria ni kitambulisho.

Wananiambia hicho hakitambuliki sisi hapa tunahitaji NIDA tu.

Kweli nimeshangaa nimejisemea hiki sasa ni nini. Nimetamani kuutangazia uma palepale kuitambua passport kama kitambulisho kwenye ofisi zote za serikali na binafsi.

Passport na NIDA kipi ni kitambulisho.

Uhamiaji tusaidieni ni kwanini passport haitumiki kama National Identification card baadhi ya ofisi.
Kumbe na wewe upo mtupu upustea! Maana ya Passport au pasi ya kusafiria ni nini? Je, kwenye maofisi hayo unakuwa unasafiri nje ya nchi?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilikutana na hii issue ya kusajili simcard. Walikataa kata kata kwamba passport ya Tanzania haitakiwi. Ila wanaruhusu passport za nje kusajili simcard.
 
PSsNchi yetu ina mambo mengi siyo, passport ndiyo ID No.1 allover the World [emoji288] lakini hapa haitambuliki sehemu nyingi tu.

They got to do some about it.
Passport ni kitambulisho cha NIDA nje ya nchi sio ndani ya nchi

Ukiwa nje watakuuliza passport sio kitambulisho cha NIDA

Ndani ya nchi kitambulisho ni cha NIDA

Passport lako kaa nslo litakusaidia nje ya nchi au unapo deal na mambo ya nje kama kuomba scholarship, kazi nk

Naungana na hao waliokugomea kukupa huduma kwa kutumia Passport yako

Wako sahihi
 
Hakuna kitu. Duniani pote utambulisho namba moja unaotumika ni passport , si hiki kidude cha nida . Hata mimi nimewahi kupata matatizo kama haya mara mbili.

Kinachoisumbua Tanganyika ni mentality za ki communist. Hakuna kingine
Uongo

Ukiwa mgeni sawa lakini mwenyeji kitambilisho kikubwa na cha NIDA
 
Sababu ni kuwa hakuna intergration kati ya Uhamiaji na hizo Ofisi.

Ofisi zote huchukua taarifa kutoka NIDA including Uhamiaji...

Afu usijipe umuhimu usio na lazima maana huwezi pata Passport bila kuwa na NIDA unless ni under 18
Mkorofi tu huyo ndio maana wamemgomea kumpa huduma

Passport mtu hapati hadi awe na kitambulisho cha NIDA kwa nini asiprleke hicho kitambulisho kakomaa tu kuwapa passport?

NIDA anayo kinachomfanya akomae kuwa lazima wakubali passport ni nini?

Waliomkatalia kumpa huduma wako sahihi
 
Ili kuondoa matumizi ya vitambulisho vingi, ndio maana wakaja na NIDA
Taasisi zote hununua taarifa zetu kutoka NIDA.
Ukienda Bank, TRA, huko pote wanataka nba ya NiDA tu ili wakuone na taarifa zote zinatokea
 
Uongo

Ukiwa mgeni sawa lakini mwenyeji kitambilisho kikubwa na cha NIDA
Huyu ni mfano halisi wa wanaofanya kazi ndani ya ofisi hizo, utambulisho mkuu wa watu hawa ni ujinga, ujinga uliokufuru.

Hebu fikiria unayo pasipoti iliyotolewa mwaka 2020 halafu unakuta lipumbavu kama hili ofisini linakataa kukushughulikia!

Hiyo ndiyo serikali ya CCM na hao ndio makada wa CCM wanosukumiziwa madaraka yanayowazidi kimo (uwezo, hekima na busara).
 
Back
Top Bottom