Uhamisho watumishi wa Umma: Waziri Ummy Mwalimu acha usanii na siasa kwenye maisha ya watu

Uhamisho watumishi wa Umma: Waziri Ummy Mwalimu acha usanii na siasa kwenye maisha ya watu

Ni sawa lakini kwenye hili kapotoka sana,kuonekana kuwa kazi bure kabisa na pengine kuleta matabaka kwa wananchi walio wengi,watoe ajira wapeleke watu kule kuliko na upungufu na mtu akitimiza masharti ya kuhama aruhusiwe siyo kumzuia au la sivyo watoe waraka mwingne kuwa mtumishi harusuwi kuhama pindi anapoajiliwa mbona zamani watu walihama na hapakuwa na haya makandokando ya enzi hizi.
Mtumishi katimiza matakwa ya kuhama kituo tena wengi wanajiombea wawahamishe wakaishi na waume/wake zao kama walivyo wao hadi wanasafiri na waume/wake zao mchana kutwa,je huyu mtumishi wa chini anakosa nini yeye hadi mme akae Mtwara na mke yuko Kagera miaka nenda rudi hii sawa!?
Sijui anajionaga nani huyu mama!!!...Anajikutaga sana kujiona ANAKUBALIKAAAAAA.....Sasa ndio atajiona sasa kuwa hajui. Asubirie tu.
 
Tatizo wote mnataka kuja dar
Unatatizo wewe si bure jikalie kimya,huenda hata hujui ulisemalo au ulitendalo hapo ulipo nyie ndiyo unasema niko dar halafu nduguzo wakitaka kuja unapata safari ya week nzima haupo mjini au unamuuliza unakuja kukaa siku ngapi,pole sana njoo shamba tulime tupate riziki.
 
Unasema sio utawala wa mabavu wakati unalialia hapo sababu ya hayohayo mabavu
Tz viongozi mazuzu na walalamikaji nao ni mazuzu square!
Kama ulivyo zuzu hapo
 
Acha Upotoshaji wewe Waziri wa TAMISEMI Ummy Mwalimu Hajasimamisha uhamisho bali amesitisha kwa Muda uhamisho wa Watumishi kutoka Maeneo ya Vijijini kuja Mjini
Asilimia kubwa ya watumishi wanataka uhamisho kutoka Vijijini kuja Mjini inapelekea maeneo Mengi hasa ya Vijijini kukosa Watumishi wa kutosha. Waziri Ummy Mwalimu anafanya kazi kubwa na Nzuri Ofisi ya Rais TAMISEMI na ana nia Njema sana na watumishi. Tamisemi ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ni TAMISEMI ya Wananchi.
Ni vyema wafanye uchunguzi na kuja na solution kwanini watumishi wanahamia mijini..na kwanini wasikae vijijini...na sio kuropoka tu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini unahusianisha hoja za watu na Ufipa?

Uhamisho wa kubadilishana upo miaka yote na wala hapakua na haja ya yeye kutolea tamko

Kuhusu kurekebisha ikama pia ni uongo uliotukuka. Kwa mfano kwenye sekta ya elimu naweza kukupa mifano ya shule za Dar tena mjini kuna baadhi ya masomo wanafunzi hawafundishwi kwa kukosa mwalimu wa somo husika

Dharura zipo kila mahali na kila wakati. Kitendo cha kuzuia uhamisho ni kibaya na cha kibaguzi.

Ummy ni anatabia ya kutoa matamko ya kujipendekeza aonekane anafanya kazi. Uliona wapi Ma RC eti wanapigwa marufuku wasitoke nje ya mikoa yao!!!! Ni haki kweli hiyo?
Bora wanasiasa wa wekeane matamko ila sio watumishi..hii ina punguza morali ya kazi.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru wa kuhamahama ndio umefanya Shule za Vijijini ziwe na Walimu 5 na zile za mjini 50 kwa idadi ileile ya wanafunzi.

Mwishowe wanalinganisha Ufanisi katika Matokeo.
 
Kuhama bado inawezekana ila mfate aliyeko kijijin
Kama mkeo yuko kijijin halaf we uko mjini basi omba wewe kwenda kijiin hata kesho unahamishwa but kama mmoja wenu yuko mjini halaf ndo mnapotaka muishi wote sahau
 
Siku nilipohama kijijini nilifurahia sana.

mjini pazuri sana kufanya kazi hasa za ualimu. mjin hakuna majungu, mahitaji yapo kwa mbei nzuri, usafir na angalau utakutana na waliostabka kias.

bush pana majungu, muda wote mwalimu unatazamwa, ukifanya biashara utajadiliwa na watazuiana kuja kukuungsha.
kijiji chote wanaccm, ukiongea kidogo tu utawala unaitwa mwalimu wa mageuz, chadema na kila jina la kukutishia amani.

walimu weng wanalazmka kuish hata km 15 toka vtuo vya kaz kupunguza kero tajwa.

cha kufanya wazir aje na bonus ya hata elf 20 kila mwezi kwa watumish walioko vjjn
 
Mhe Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Madam Samia Suluhu Hassani.

Tuakuomba usikie malalamiko yetu sisi watanazania kuhusiana na matamko ya waziri wa tamisemi madam Ummy Mwalimu.Amekuwa na matamko mengi ambayo sisi kama watanzania wazalendo tumeshindwa tufuate lipi na tuache lipi.

Mfano mmojawapo ni kusitisha uhamisho wa watumishi wa umma kwa muda usiojulikana.Kumekuwa na ukiritimba mkubwa kwenye suala la uhamisho.

Mara anasema tafuta wa kubadilishana nae unatafuta lakini bado mambo hayashugulikiwi.Kwa miaka 6 iliopita watumishi wamepitia magumu. Sasa kwa style ile ile yale matamko ya awamu yatano yanaaaanza kujirudia.

Tunaomba mama umpumzishe.

Pia wilaya Songwe Chenji za UVIKO baada ya ujenzi wahusika wakuu wamezigawana, serikali iifuatilie na majina wahusika pamoja wakuu wa shule waliotafuna pesa za uviko na muda si mrefu wataanza kuwabadilishia vituo wakuu wa shule ili kufuta ushahidi
 
... fedha za Uviko ni ufisadi utakaovunja rekodi nchi hii kama CAG atafanya kazi yake vizuri bila woga bila vitisho. Watu wamepiga hela acha! Pamoja na CAG, Bunge lapaswa kuunda Kamati Teule kuchunguza hizi fedha soonest!
 
Ummy Mwalimu ni shidaaaa!! porojo zimekuwa nyingi, cha kusikitisha ni kwamba eti amekodi mamluki wa kumsifia kwenye mitandao wakati utendaji wake ni makerere tu!!
Ummy Mwalimu ni mchapakazi kwa asilimia 100%.

Suala la uhamisho hata mimi nina maslahi nalo, maana sehemu niliyopo ni mbayaaaaaaa.

Ila kwa Ummy of course yuko sahihi kukataza uhamisho kwa upande wake.

Maana ukisema watu wahame kuna sehemu watumishi wataisha kabisa.

Sehemu kama Rombo, zaidi ya 90% ya watumishi hawapapendi huku na wanataka kuhama.
 
Ummy Mwalimu ni shidaaaa!! porojo zimekuwa nyingi, cha kusikitisha ni kwamba eti amekodi mamluki wa kumsifia kwenye mitandao wakati utendaji wake ni makerere tu!!
Niliona siku nyingi nikajua tu atakwama, waziri huwezi kutoa tamko kwa kila kitu
 
Mhe Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Madam Samia Suluhu Hassani.Tuakuomba usikie malalamiko yetu sisi watanazania kuhusiana na matamko ya waziri wa tamisemi madam Ummy Mwalimu.Amekuwa na matamko mengi ambayo sisi kama watanzania wazalendo tumeshindwa tufuate lipi na tuache lipi.Mfano mmojawapo ni kusitisha uhamisho wa watumishi wa umma kwa muda usiojulikana.Kumekuwa na ukiritimba mkubwa kwenye suala la uhamisho.Mara anasema tafuta wa kubadilishana nae unatafuta lakini bado mambo hayashugulikiwi.Kwa miaka 6 iliopita watumishi wamepitia magumu. Sasa kwa style ile ile yale matamko ya awamu yatano yanaaaanza kujirudia.Tunaomba mama umpumzishe. Pia wilaya Songwe Chenji za Uviko baada ya ujenzi wahusika wakuu wamezigawana serikali iifuatilie na majina wahusika pamoja wakuu wa shule waliotafuna pesa za uviko na muda si mrefu wataanza kuwabadilishia vituo wakuu wa shule ili kufuta ushahidi
Tanzania kuna watu wengi taasisi binfs wanafanya kaz kwa weled hao akina ummi ndalichako jafo warud kwenye utendaji yule wazir wa ulinz abadilishie kaz bashe awe wazir kamil michezo weka vijan wenye weled na fan husika kngia private chota vijana mwaga serikarin iweje private zinatangaza profit ila government hasara kuna tatizo kwa watumish wenye kuwa na sifa za utendaji wanakalia viti wizaran

Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom