Hatuombei, ila CDM kama itakufa watu watakata tamaa kabisa, CCM itatawala itakavyo.
Hao wanaharakati uchwara watatumia muda mrefu sana zaidi ya miaka 20 kuwashawishi tena watanzania kuwaamini endapo watafanikiwa kufanya mapinduzi ndani ya CDM.
Tumeona mwanaharakati mmoja kàanza kutembeza bakuli ili kutakatisha fedha zake kutoka kwa mabeberu.