Uhasama wa kisiasa, kugawanyika na kusambaratika kwa CHADEMA kutaimarisha vyama vingine vya siasa nchini

Kugawanyika kwa maana ya kiccm ni kuongea ukweli hadharani. Huko ccm kufumbia macho wizi ndio uimara wa chama!
No,
namaanisha kugawanyika baina ya puppet la mabwenyenye ya Magharibi na Patriotic mwamba wa kaskazini

Kwahiyo mmekodoleana mimacho kinafiki kipindi chote hicho halafu kinafiki wakati wa Uchaguzi ndiyo mnavuana nguo hadharini, right? Gentleman!🤣
 
Pumba tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…