Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #41
No,Kugawanyika kwa maana ya kiccm ni kuongea ukweli hadharani. Huko ccm kufumbia macho wizi ndio uimara wa chama!
namaanisha kugawanyika baina ya puppet la mabwenyenye ya Magharibi na Patriotic mwamba wa kaskazini
Kwahiyo mmekodoleana mimacho kinafiki kipindi chote hicho halafu kinafiki wakati wa Uchaguzi ndiyo mnavuana nguo hadharini, right? Gentleman!🤣