Uhasama wa Mbowe na Ndugai ulianzia Kibaha Secondary

Nadhani hata vigezo vya utajiri huvijui!
 
Baada ya kumnyima kitabu mwenye kitabu akalamba zero

USSR
 
Baada ya kumnyima kitabu mwenye kitabu akalamba zero

USSR
Baadae aliyelamba Zero akapata kazi BOT,akawa mbunge,mwenyekiti wa chama chake,mfanyabiashara,gaidi,na jana kaalikwa ikulu kula futari na Kamala Haris pamoja na Mama Samia.yule aliyelamba div one yupo Kongwa anaangalia watu wanafuturu ikulu via azam tv
 
Sasa kipi kilikuja kuziondoa hizo akili za Job na Mbowe kupata akili zaidi ya Job?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…