Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie si ndio mnaojifanya Misukule ya akina Mwigulu? Sasa unastuka nini!Du , hela ya umma anaingiza kwenye akaunti yake , halafu hana shitaka la kujibu?
Ufisadi at its highest.
Ningekuwa Hosea naenda likizo bila malipo!!!
Na yeye amerudisha hela ya umma aliyoiba au amewagawia fisadi wenzake? Je shirika la UDA ndio lishanyakuliwa kwa hiyo bei ya bure? Hivi nchi hii ishakua mikononi mwa hao mafisadi kiasi hicho? Inatia uchungu sana.Kwanza kosa la Uhujumu Uchumi, huwa halina dhamana, sasa nilishanga hata watu hawakushtuka baada ya hawa watu kupewa dhamana. Watanzania tulipaswa kuichukulia ile Dhamana waliyopewa kama red flag.
I saw this coming
Haya DPP kata rufaaNyie si ndio mnaojifanya Misukule ya akina Mwigulu? Sasa unastuka nini!
Nyie si ndio mnaojifanya Misukule ya akina Mwigulu? Sasa unastuka nini![/QUOT
Haya DPP kata rufaa kwenye hii kesi
Angekuwa idi simba ndugu yako usingeliongea Haya
huyu dpp siku cdm ikiingia madarakani 'inshallah' awe wa kwanza kuhukumiwa.Halafu the same DPP anamwekea kipingamizi Lwakatare kwa issues za kizushi kama ufisadi anatumia mamlaka visivyo. He is politically operating
Niseme tu ,ni mtu mjinga sana anayefikiri kuna mwana CCM mjanja anayependa wiziNyie si ndio mnaojifanya Misukule ya akina Mwigulu? Sasa unastuka nini!