Uhujumu Uchumi: Idd Simba na wenzake waachiwa huru katika kesi ya kuhujumu shirika la UDA

Uhujumu Uchumi: Idd Simba na wenzake waachiwa huru katika kesi ya kuhujumu shirika la UDA

Kesi ya kuhujumu uchumi na kuisababishia UDA hasara ya Sh. bilioni 8.4 dhidi ya waziri wa zamani Iddi Simba na wenzake imefutwa kwa amri ya DPP.

Source: Breaking News kutoka MWANANCHI

My Take:
Nikiangalia jinsi kesi ilivyokuwa na ukweli kwamba imefutwa na DPP, inasisitiza kile ambacho kimekuwa kikipigiwa kelele: DPP yupo pale kwa maslahi ya makundi fulani na siyo maslahi ya taifa.



Tukiwakamata mafisadi nchi itayumba-Mizengo Kayanda Pinda-Waziri mkuu wa Tanzania
 
idd smba alfungwa kwa hujuma za rdhwan ili smon group wachukue uda hakuwa na kes ya kujbu rz almkomoa kwa sababu idd smba alkuwa anataka uda iendeshwe kwa faida ila rdhwan kuptia smon goup chn ya smon ksena wakamftn idd smba kwa kumbambkzia kesi akiwa ktk kesi wakajiuzia udda chap sasa wameona wamwachie ni sawa na alchofanyiwa lawrence mafuru CeO wa NBC aliyekataa kuipa tenda ya kuendesha kes za nbc kampun ya GRK law Chambers ya rdhwan kwan alsema ni changa na haina wataalam /wanasheria makin rdhwan kupitia bodi ya udhamini ya nbc wakamsmamisha kazi baada ya GRK CHAMBERS(kampun ya rzwan kikwete) kuchukua tenda NBC rdhwan kuptia bod wakamrudsha ila kutokana na ststus na elmu nzur ya mafuru amabaye anauzka kwa kila taasisi kubwa akaresgn akakataa kuendlea na kaz
Haya yote yanafanyika na mkuu wa kaya anayaangalia tuu?
 
Kesi ya kuhujumu uchumi na kuisababishia UDA hasara ya Sh. bilioni 8.4 dhidi ya waziri wa zamani Iddi Simba na wenzake imefutwa kwa amri ya DPP.

Source: Breaking News kutoka MWANANCHI

My Take:
Nikiangalia jinsi kesi ilivyokuwa na ukweli kwamba imefutwa na DPP, inasisitiza kile ambacho kimekuwa kikipigiwa kelele: DPP yupo pale kwa maslahi ya makundi fulani na siyo maslahi ya taifa.

Kesi ya nyani umpe mgedele ,tulishajua wote mafisadi.jk wakati anaingia ikulu aliahidi kukamata mafisadi lakini ninauhakika miaka kumi itaisha hamna hata mmoja atakaekamatwa inasikitisha sana
 
Sikutegemea kwamba angefanywa lolote,hasa ukizingatia hali halisi ilivyo Tanzania.
Kesi ya kuhujumu uchumi na kuisababishia UDA hasara ya Sh. bilioni 8.4 dhidi ya waziri wa zamani Iddi Simba na wenzake imefutwa kwa amri ya DPP.

Source: Breaking News kutoka MWANANCHI

My Take:
Nikiangalia jinsi kesi ilivyokuwa na ukweli kwamba imefutwa na DPP, inasisitiza kile ambacho kimekuwa kikipigiwa kelele: DPP yupo pale kwa maslahi ya makundi fulani na siyo maslahi ya taifa.
 
Kwenye ccm hakuna kiongozi anaefungwa... Wote ni mafisadi ila wanazidiana dili tu!
 
Hivi ile kesi ya mramba imeishia wapi? Hiyo ndo Tz...
 
Hiyo ndo dpp....
Iko chini ya ofisi ya Raisi unategemea nini...
Idd simba ni best wa Jk..
 
idd smba alfungwa kwa hujuma za rdhwan ili smon group wachukue uda hakuwa na kes ya kujbu rz almkomoa kwa sababu idd smba alkuwa anataka uda iendeshwe kwa faida ila rdhwan kuptia smon goup chn ya smon ksena wakamftn idd smba kwa kumbambkzia kesi akiwa ktk kesi wakajiuzia udda chap sasa wameona wamwachie ni sawa na alchofanyiwa lawrence mafuru CeO wa NBC aliyekataa kuipa tenda ya kuendesha kes za nbc kampun ya GRK law Chambers ya rdhwan kwan alsema ni changa na haina wataalam /wanasheria makin rdhwan kupitia bodi ya udhamini ya nbc wakamsmamisha kazi baada ya GRK CHAMBERS(kampun ya rzwan kikwete) kuchukua tenda NBC rdhwan kuptia bod wakamrudsha ila kutokana na ststus na elmu nzur ya mafuru amabaye anauzka kwa kila taasisi kubwa akaresgn akakataa kuendlea na kaz

Duuh..
 
Nimesoma na kurudia mara mbilimbili lakini sijashangaa; siwezi kushangaa kwa sababu hakuna cha kushangaza.
Kisidumu Chama Cha Mapinduzi!
 
Kesi ya kuhujumu uchumi na kuisababishia UDA hasara ya Sh. bilioni 8.4 dhidi ya waziri wa zamani Iddi Simba na wenzake imefutwa kwa amri ya DPP.

Source: Breaking News kutoka MWANANCHI

My Take:
Nikiangalia jinsi kesi ilivyokuwa na ukweli kwamba imefutwa na DPP, inasisitiza kile ambacho kimekuwa kikipigiwa kelele: DPP yupo pale kwa maslahi ya makundi fulani na siyo maslahi ya taifa.

Kama CCm itaendelea kubaki madarakani hakuna hata mmoja atayefungwa sana sana wakiwafungulia mashitaka ni changa la macho tu.kesi za kuchongwa ndio zinapewa kipaumbele za ukweli zinafutwa maskini wengi waliobambikiwa kesi ndio wamejaa magerezani lakini watu waliohujumu uchumi tena live kama Idd Simba leo hii wako huru na wanafanya hivyo kwa kuwa ni mapanya walipokonyana so kama angapatikana na hatia basi wengekuwepo wengi tu so walikaa chini na kuona hapa tuipige chini hii kesi kwa Tanzania tu hii inawezekana na si kwingineko
 
Kwanza kosa la Uhujumu Uchumi, huwa halina dhamana, sasa nilishanga hata watu hawakushtuka baada ya hawa watu kupewa dhamana. Watanzania tulipaswa kuichukulia ile Dhamana waliyopewa kama red flag.
I saw this coming

kwani dhamana yao ilikuwa sh..ngapi??
 
They don't care and in case of anything they will fly to europe, wote wako na gold reserves akihitaji kuwa na liquidity anauza kipande kidogo maisha yanaendelea. Hawatafanya kosa alilofanya mke wa rais wa tunisia kwenda benki kuu kulazimisha kupewa dhahabu asepe wakati hali ishakuwa tete, JK na wahuni wenzie wote kila mmoja yuko na matofali ya dhahabu ndani kikunuka wananyooka moja kwa moja wanawaachia moshi wa mabomu na umwagaji damu.
 
Fuatilieni uraia wa DPP ndio mtajua kwanini hana uchungu na nchi hii? Sisemi mengi hata pia kuna msaidizi wake pia si raiya wa nchi hii lakini TISS wanapeta wakifikiri nchi iko salama.
 
DPP akili yake nina Shaka nayo,weledi wake pia ninahofu nao. Elimu yake nayo naitilia Shaka mno! Kwa mabilioni yaliyoibwa UDA alafu ufute kesi kiulaini hivi ....you must be kiding!.
 
hv huyu jamaa vp? Mbona hata aogopi Mungu? Kwel hata akina mramba na yona wataachiwa tu...kwa mfano mramba ana miliki...kibo complex tegeta, kibo palace iliyoko arusha, na palace hotel, alafu anatumia majina ya watu hawa awafai kabisa nchi imeuzwa
Kwakwel nchi imefikia pabaya sana kwamba kila mtu achukue chake mapema
 
Analinda mkate wake. Hii kesi isingeishia kwa Simba tu.......! DPP anawaweza kina "Lwakatare" tu.
 
Back
Top Bottom