waddington2005
Member
- Sep 5, 2011
- 33
- 1
Mbona uda inauzwa kufuata process of process....kwanini hela za kpuni ziwekwe kwenye account binafsi?
Uda kwa sasa inamiikiwa na nani.....huyu msukuma aliywkuwa anahombania ubunge shinyanga ni mwizi....hii ndiyo ccm.....anatumia asset za uda kikopa ...kwa uda ilishindwa kukopa.....yaaani hii ccm itatumaliza kabisa
Uda kwa sasa inamiikiwa na nani.....huyu msukuma aliywkuwa anahombania ubunge shinyanga ni mwizi....hii ndiyo ccm.....anatumia asset za uda kikopa ...kwa uda ilishindwa kukopa.....yaaani hii ccm itatumaliza kabisa