Uhuni unaoendelea nchini Afrika Kusini hauvumiliki

Uhuni unaoendelea nchini Afrika Kusini hauvumiliki

Dumas the terrible

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2021
Posts
4,779
Reaction score
9,999
Habari Wana JF natumaini mpo njema,
Husika na kichwa hapo juu,

Wote tunaona yanayoendelea Huko bondeni Kwa madiba, Hivi wale ndugu zetu kwa zile akili zao sijui hata nisemaje maana imekua too much aisee.

Yaani katiba ya nchi inamuwajibisha Rais mstaafu Kwa Yale mambo aliyoyatenda akiwa madarakani lakini Bado Kuna nyumbu wanamuunga mkono na kuamua kufanya vurugu kama zile aiseee.

Leo ndio nimeamini Waafrika tuna shida pahali nakumbuka Ile hotuba ya kaburu. Peter Botha alipotunanga Kwa kutuita majina yote mabaya.

Kwa kipindi kile alionekana mbaguzi mkubwa, ila Kwa haya yanayotokea naona alikua sahihi na Kwa kua hatupendi ukweli Ile inabidi tuukubali japo mchungu Sana!

Yaani jamii za kiafrika ukideal nazo Kwa kuwadekeza na kuwachekea ipo siku watakupapasa Hadi kalio
Mifano hai tunayo hata Huko Serikalini watu bila kupelekewa Moto na kuwafokea,kuwashurutisha wafanye kazi Kwa wakati utaishia kula hasara tu.

Na ndio maana makampuni mengi hapa home yanaendeshwa na wageni hasa jamaa kutoka Asia.

Tujitafakari aisee inatia aibu sana Kwa nchi kubwa Kama Ile inaaibishwa na wahuni wachache,wavivu,uneducated na wapenda ngono kuliko maendeleo.

Bitter truth!

The terrible!
🙏🙏🙏🙏
 
Habari Wana JF natumaini mpo njema,
Husika na kichwa hapo juu,

Wote tunaona yanayoendelea Huko bondeni Kwa madiba,Hivi wale ndugu zetu Kwa zile akili zao sijui hata nisemaje maana imekua too much aisee...
Wapo baadhi wanaomuunga mkono uBaba Msholozi (Jacob Zuma) kutokana na interest zao, lakini wengi wao wa hawa wanaofanya uhuni, vurugu na uporaji wa mali kule SA ni vibaka waliokuwa lock-down muda mrefu na sasa wamepata loophole ya kufanya wanayofanya.
 
Katiba gani ya kumfunga raisi mstaafu bana! Yaani hao maraisi wazungu hawafanyagi makosa au!

Tiwaachie wasouth wenyewe hilo
 
Sasa wewe bila hata picha maneno meeengi! hata hivo huko siyo tz siasa zao huzijui hata mazingira tunatofautiana. Ujue huko hakuna ccm wala hakuna mwenge, sasa utawahukumu vipi? Achana na mambo yasiyo na faida kwako.
 
Katiba gani ya kumfunga raisi mstaafu bana! Yaani hao maraisi wazungu hawafanyagi makosa au!

Tiwaachie wasouth wenyewe hilo
Mkuu katiba waliitunga wao Ili kuwabana viongozi wao Sasa SA washawahi kua na Rais mzungu ukiachana na kaburu kabla ya uhuru?
 
Habari Wana JF natumaini mpo njema,
Husika na kichwa hapo juu,

Wote tunaona yanayoendelea Huko bondeni Kwa madiba, Hivi wale ndugu zetu kwa zile akili zao sijui hata nisemaje maana imekua too much aisee.

Yaani katiba ya nchi inamuwajibisha Rais mstaafu Kwa Yale mambo aliyoyatenda akiwa madarakani lakini Bado Kuna nyumbu wanamuunga mkono na kuamua kufanya vurugu kama zile aiseee.

Leo ndio nimeamini Waafrika tuna shida pahali nakumbuka Ile hotuba ya kaburu. Peter Botha alipotunanga Kwa kutuita majina yote mabaya.

Kwa kipindi kile alionekana mbaguzi mkubwa, ila Kwa haya yanayotokea naona alikua sahihi na Kwa kua hatupendi ukweli Ile inabidi tuukubali japo mchungu Sana!

Yaani jamii za kiafrika ukideal nazo Kwa kuwadekeza na kuwachekea ipo siku watakupapasa Hadi kalio
Mifano hai tunayo hata Huko Serikalini watu bila kupelekewa Moto na kuwafokea,kuwashurutisha wafanye kazi Kwa wakati utaishia kula hasara tu.

Na ndio maana makampuni mengi hapa home yanaendeshwa na wageni hasa jamaa kutoka Asia.

Tujitafakari aisee inatia aibu sana Kwa nchi kubwa Kama Ile inaaibishwa na wahuni wachache,wavivu,uneducated na wapenda ngono kuliko maendeleo.

Bitter truth!

The terrible!
🙏🙏🙏🙏
Haujaelewa sawa sawa suala la Afrika kusini,walianza na movement ya kupinga kufungwa kwa J.Zuma lakini sasa wanasema wanapambana na hali ya sera mbovu zinazowafanya wakose ajira na kupelekea maisha mabaya kwao.
Sio sahihi kawaita hao watu eti wahuni na hawakusoma,issue ni kwamba wao ni raia na wanastahili kuwa na maisha mazuri ata km shule yao ni ndogo,wawekewe mifumo wezeshi kuepuka gap la kiuchumi.
S.A. kuna gap kubwa la kiuchumi kati ya walio nacho na wasionacho,huu ndo msingi wa tatizo
 
Wapo baadhi wanaomuunga mkono uBaba Msholozi (Jacob Zuma) kutokana na interest zao, lakini wengi wao wa hawa wanaofanya uhuni, vurugu na uporaji wa mali kule SA ni vibaka waliokuwa lock-down muda mrefu na sasa wamepata loophole ya kufanya wanayofanya.
Aisee mkuu tatizo wasauth weusi ni wavivu sana halafu wanapenda kulia Lia sana wanaonewa kumbe ni ujinga wao wa kutopenda shule,wengi wanaishia kua vibaka na kuanza kuwalaumu makaburu et wananyonywa na kubaguliwa kwenye ajira
Yaani uwe zero kichwani upate haki sawa na msomi Kama sio upumbaf ni Nini?
 
Habari Wana JF natumaini mpo njema,
Husika na kichwa hapo juu,

Wote tunaona yanayoendelea Huko bondeni Kwa madiba, Hivi wale ndugu zetu kwa zile akili zao sijui hata nisemaje maana imekua too much aisee.

Yaani katiba ya nchi inamuwajibisha Rais mstaafu Kwa Yale mambo aliyoyatenda akiwa madarakani lakini Bado Kuna nyumbu wanamuunga mkono na kuamua kufanya vurugu kama zile aiseee.

Leo ndio nimeamini Waafrika tuna shida pahali nakumbuka Ile hotuba ya kaburu. Peter Botha alipotunanga Kwa kutuita majina yote mabaya.

Kwa kipindi kile alionekana mbaguzi mkubwa, ila Kwa haya yanayotokea naona alikua sahihi na Kwa kua hatupendi ukweli Ile inabidi tuukubali japo mchungu Sana!

Yaani jamii za kiafrika ukideal nazo Kwa kuwadekeza na kuwachekea ipo siku watakupapasa Hadi kalio
Mifano hai tunayo hata Huko Serikalini watu bila kupelekewa Moto na kuwafokea,kuwashurutisha wafanye kazi Kwa wakati utaishia kula hasara tu.

Na ndio maana makampuni mengi hapa home yanaendeshwa na wageni hasa jamaa kutoka Asia.

Tujitafakari aisee inatia aibu sana Kwa nchi kubwa Kama Ile inaaibishwa na wahuni wachache,wavivu,uneducated na wapenda ngono kuliko maendeleo.

Bitter truth!

The terrible!
🙏🙏🙏🙏
Ukweli mtupu.....

Ndio maana ABIY AHMED aliwapelekea moto "TPLF"....

Ndio maana mh.SSH ametukumbusha tuache CHOKOCHOKO na UCHOCHEZI....

Wasipoziacha ,wapelekewe tu "Moto"......

Leo huko SA watu wanaofanya kazi katika maduka makubwa ,watakosa kupata mkate wao na familia zao kwa "wajinga wachache".......

#KaziIendelee
 
Aisee mkuu tatizo wasauth weusi ni wavivu sana halafu wanapenda kulia Lia sana wanaonewa kumbe ni ujinga wao wa kutopenda shule,wengi wanaishia kua vibaka na kuanza kuwalaumu makaburu et wananyonywa na kubaguliwa kwenye ajira
Yaani uwe zero kichwani upate haki sawa na msomi Kama sio upumbaf ni Nini?
Facts ....

Na hao ANC na kina Zuma ndio wanaopelekea hayo kuwaridhisha kijinga ili wapate "political mileage".....
 
Aisee mkuu tatizo wasauth weusi ni wavivu sana halafu wanapenda kulia Lia sana wanaonewa kumbe ni ujinga wao wa kutopenda shule,wengi wanaishia kua vibaka na kuanza kuwalaumu makaburu et wananyonywa na kubaguliwa kwenye ajira
Yaani uwe zero kichwani upate haki sawa na msomi Kama sio upumbaf ni Nini?
Kwani unafikiri hawapendi kusoma?
Je unafikiri hawapendi kufanya kazi?
Kufanikiwa maisha sio suala la shule pekee,study zinaonyesha kuwa matajiri wengi duniani ama hawana shule au wana shule ndogo sana,na wasomi wengi wao ama wana maisha ya kati au maskini.
Usomi au kutokuwa msomi sio hoja,hoja ni mifumo inayotenga kundi la maskini wengi na kuaccomodate wenye nacho.
 
Haujaelewa sawa sawa suala la Afrika kuishi,walianza na movement ya kupiga kufungwa kwa J.Zuma lakini sasa wanasema wanapambana na hali ya sera mbovu zinazowafanya wakose ajira na kupelekea maisha mabaya kwao.
Sio sahihi kawaita hao watu eti wahuni na hawakusoma,issue ni kwamba wao ni raia na wanastahili kuwa na maisha mazuri ata km shule yao ni ndogo.
Wewe huwajui hao jamaa ni wavivu wa kutupwa,wasiopenda shule,wanapenda slope sana,ngono ndio usiseme wapenda kubinuana tu na kuzaliana hovyo,labda hao unaowasemea sio wazulu
Hiiiiiiii bhagoshaaa angalia hata kazi ndogo ndogo wanazifanya wageni hasa wasomali na wanaigeria wao wana dharau sana wale watu mkuu usiombe ukutane nao wanafrutration na wivu wa kijinga sana hawapendi kuona weusi wenzao wageni waliowekeza kwenye nchi Yao wanaendelea ndio maana wanawavamia madukani mwao na kuwapora Mali
Ila hao hao huwezi ona wanamfanyia mzungu kaburu ujinga hi asirani!
 
Aisee mkuu tatizo wasauth weusi ni wavivu sana halafu wanapenda kulia Lia sana wanaonewa kumbe ni ujinga wao wa kutopenda shule,wengi wanaishia kua vibaka na kuanza kuwalaumu makaburu et wananyonywa na kubaguliwa kwenye ajira
Yaani uwe zero kichwani upate haki sawa na msomi Kama sio upumbaf ni Nini?
Kwani unafikiri hawapendi kusoma?
Je unafikiri hawapendi kufanya kazi?
Kufanikiwa maisha sio suala la shule pekee,study zinaonyesha kuwa matajiri wengi duniani ama hawana shule au wana shule ndogo sana,na wasomi wengi wao ama wana maisha ya kati au maskini.
Kuwa msomi au sio msomi si hoja,hoja ni mifumo inayotenga kundi la maskini wengi na kuaccomodate wenye nacho
 
Wewe huwajui hao jamaa ni wavivu wa kutupwa,wasiopenda shule,wanapenda slope sana,ngono ndio usiseme wapenda kubinuana tu na kuzaliana hovyo,labda hao unaowasemea sio wazulu
Hiiiiiiii bhagoshaaa angalia hata kazi ndogo ndogo wanazifanya wageni hasa wasomali na wanaigeria wao wana dharau sana wale watu mkuu usiombe ukutane nao wanafrutration na wivu wa kijinga sana hawapendi kuona weusi wenzao wageni waliowekeza kwenye nchi Yao wanaendelea ndio maana wanawavamia madukani mwao na kuwapora Mali
Ila hao hao huwezi ona wanamfanyia mzungu kaburu ujinga hi asirani!
Hiyo phobia ya kutopenda wageni ni suala la sehemu nyingi duniani, uvivu waweza kuwa suala binafsi au la kimfumo.
Hao makaburu ndio chanzo cha yanayoendelea uko,waliwakandamiza kwa muda mrefu sana na kuwatenga na mifumo ivyo this is KARMA.
 
Ukweli mtupu.....

Ndio maana ABIY AHMED aliwapelekea moto "TPLF"....

Ndio maana mh.SSH ametukumbusha tuache CHOKOCHOKO na UCHOCHEZI....

Wasipoziacha ,wapelekewe tu "Moto"......

Leo huko SA watu wanaofanya kazi katika maduka makubwa ,watakosa kupata mkate wao na familia zao kwa "wajinga wachache".......

#KaziIendelee
Tuache chokochoko!
Katiba mpya itaondoa chokochoko vinginevyo tutarudishana south tu ni suala la muda tu,mifumo kandamizi ikizidi watu wataona hawana tena cha kupoteza na watageuka wazulu
 
Tuache chokochoko!
Katiba mpya itaondoa chokochoko vinginevyo tutarudishana south tu ni suala la muda tu,mifumo kandamizi ikizidi watu wataona hawana tena cha kupoteza na watageuka wazulu
Geuka mzulu upelekewe moto.......

#ChokochokoMwiko
#KaziIendelee
 
Facts ....

Na hao ANC na kina Zuma ndio wanaopelekea hayo kuwaridhisha kijinga ili wapate "political mileage".....
Kweli mkuu wanawalea sana hao wahuni mwanzo nilijua labda makaburu ndio wakulaumiwa ila nikaja gundua viongozi wao hasa hao wakina Zuma wanadekeza sana na kuwachekea Ili waendelee
Hiyo phobia ya kutopenda wageni ni suala la sehemu nyingi duniani, uvivu waweza kuwa suala binafsi au la kimfumo.
Hao makaburu ndio chanzo cha yanayoendelea uko,waliwakandamiza kwa muda mrefu sana na kuwatenga na mifumo ivyo this is KARMA.
Nitajie nchi nyingine ambayo raia wake hawapendi wageni kiasi kwamba huwafanyia vurugu Kama za hao wahuni wa bondeni mkuu itapendeza!

Makaburu Kuna muda wanatupiwa lawama zisizo na mashiko
Ni Kama Leo hapa kwetu lawama za umaskini wetu tuwatupie mabeberu wakati tuna miaka 60 Toka tuwe huru
Angalia kipi kinawakwamisha kutopiga hatua na kwanini wasitafute njia nchi si walikabidhiwa na kaburu miaka mingi iliyopita?
Hiyo phobia ya kutopenda wageni ni suala la sehemu nyingi duniani, uvivu waweza kuwa suala binafsi au la kimfumo.
Hao makaburu ndio chanzo cha yanayoendelea uko,waliwakandamiza kwa muda mrefu sana na kuwatenga na mifumo ivyo this is KARMA.
 
Back
Top Bottom