Uhuni unaoendelea nchini Afrika Kusini hauvumiliki

Uhuni unaoendelea nchini Afrika Kusini hauvumiliki

Geuka mzulu upelekewe moto.......

#ChokochokoMwiko
#KaziIendelee
Kuna hatua inafika mtu haogopi huo moto kama hana tena cha kupoteza,eg. Mtu kubomolewa nyumba kwa sheria pandikizi za kijinga,duka limeungua uko Kariakoo,benki inamdai mkopo na hana source nyingine ya income,mtu wa aina hii usitegemee kuwa ataogopa tena kufa wakati yuko kwenye death state tayari,hana cha kupoteza!
 
Kweli mkuu wanawalea sana hao wahuni mwanzo nilijua labda makaburu ndio wakulaumiwa ila nikaja gundua viongozi wao hasa hao wakina Zuma wanadekeza sana na kuwachekea Ili waendelee

Nitajie nchi nyingine ambayo raia wake hawapendi wageni kiasi kwamba huwafanyia vurugu Kama za hao wahuni wa bondeni mkuu itapendeza!

Makaburu Kuna muda wanatupiwa lawama zisizo na mashiko
Ni Kama Leo hapa kwetu lawama za umaskini wetu tuwatupie mabeberu wakati tuna miaka 60 Toka tuwe huru
Angalia kipi kinawakwamisha kutopiga hatua na kwanini wasitafute njia nchi si walikabidhiwa na kaburu miaka mingi iliyopita?
Kaburu amekabidhi nchi kisiasa ila uchumi mkubwa uko kwake eg.big plantations and estates,viwanda n.k.

Nchi zenye ubaguzi kwa raia wengine zipo nyingi sana.eg. mid east countries, Russia etc. Kasome mwenyewe mkuu.
 
Kweli mkuu wanawalea sana hao wahuni mwanzo nilijua labda makaburu ndio wakulaumiwa ila nikaja gundua viongozi wao hasa hao wakina Zuma wanadekeza sana na kuwachekea Ili waendelee

Nitajie nchi nyingine ambayo raia wake hawapendi wageni kiasi kwamba huwafanyia vurugu Kama za hao wahuni wa bondeni mkuu itapendeza!

Makaburu Kuna muda wanatupiwa lawama zisizo na mashiko
Ni Kama Leo hapa kwetu lawama za umaskini wetu tuwatupie mabeberu wakati tuna miaka 60 Toka tuwe huru
Angalia kipi kinawakwamisha kutopiga hatua na kwanini wasitafute njia nchi si walikabidhiwa na kaburu miaka mingi iliyopita?
Hakuna anayekataa kuwa UKOLONI ,UTUMWA na UBAGUZI WA RANGI umeacha athari katika jamii.....

Kubwa ni KUKUBALIANA na ukweli....na ukweli huanzia kwa mtu binafsi.....

Maisha ni safari ndefu mno....safari ngumu mno....ni lazima mwanadamu ayatafute majibu ya maswali magumu.....

Hukohuko SA ndiko kimbilio la ndugu zetu na wanaporudi huku nyumbani wanatoboa sana maisha.....


Wengi wa vijana wa SA ni wavivu mno......

#KaziIendelee
 
Sasa wewe bila hata picha maneno meeengi! hata hivo huko siyo tz siasa zao huzijui hata mazingira tunatofautiana. Ujue huko hakuna ccm wala hakuna mwenge, sasa utawahukumu vipi? Achana na mambo yasiyo na faida kwako.
Oya arifu umekula Leo mchana mbona unafrustration za kizulu
Umejuaje Kama sijiu siasa za south
Halafu sio lazima Kila kitu ufanye Kwa faida sometimes for fun tu

Take easy kamanda!
 
Akili za hao watu wa bondeni hazina tofauti na za Lisu
 
Kuna hatua inafika mtu haogopi huo moto kama hana tena cha kupoteza,eg. Mtu kubomolewa nyumba kwa sheria pandikizi za kijinga,duka limeungua uko Kariakoo,benki inamdai mkopo na hana source nyingine ya income,mtu wa aina hii usitegemee kuwa ataogopa tena kufa wakati yuko kwenye death state tayari,hana cha kupoteza!
Sawa....

Wewe huna cha kupoteza....MAANDAMANO ya KATIBA MPYA yatakapotokea basi nenda FRONT mkuu....

#KaziIenndelee
 
haaahaaaa jamaa wanapelekewa Moto aisee
Yaani hao jamaa Wana tatizo pahali aisee haiwezekani Kwa mwenye akili timamu kua zuzu kisa Zuma![emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahha.. Hapa ndio ninapowakubali watz!
.
Kuna jamaa flani alisema ingieni barabarani! Watu wakasema yaani tuache kujitafutia ugali tuingie barabarani kisa kupigania wewe uende ikulu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahha.. Hapa ndio ninapowakubali watz!
.
Kuna jamaa flani alisema ingieni barabarani! Watu wakasema yaani tuache kujitafutia ugali tuingie barabarani kisa kupigania wewe uende ikulu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wewe Kwa Moto wanapelekewa jamaa hebu angalia huko juu mkuu bujibuji kaweka video
Bora niendelee kua muandamanaji wa mitandaoni ila sio Kwa style hio Kama mazungumzo ya amani hayatafanyika Ili kuleta mwafaka Sina haja haja kutumia Nguvu kijinga hivyo

Tutapelekeana Moto humu humu ndugu zanguni!
😂😂😂😂😂
 
Wewe huwajui hao jamaa ni wavivu wa kutupwa,wasiopenda shule,wanapenda slope sana,ngono ndio usiseme wapenda kubinuana tu na kuzaliana hovyo,labda hao unaowasemea sio wazulu
Hiiiiiiii bhagoshaaa angalia hata kazi ndogo ndogo wanazifanya wageni hasa wasomali na wanaigeria wao wana dharau sana wale watu mkuu usiombe ukutane nao wanafrutration na wivu wa kijinga sana hawapendi kuona weusi wenzao wageni waliowekeza kwenye nchi Yao wanaendelea ndio maana wanawavamia madukani mwao na kuwapora Mali
Ila hao hao huwezi ona wanamfanyia mzungu kaburu ujinga hi asirani!
Kaburu hua hacheki n kima atawamwagia risasi za kufa mtu.
 
Sawa....

Wewe huna cha kupoteza....MAANDAMANO ya KATIBA MPYA yatakapotokea basi nenda FRONT mkuu....

#KaziIenndelee
Sio shida, Nyerere angekuwa na uoga wa kitoto nchi isingepata uhuru 1961.
Kufa sio hoja,hoja ni kufa vipi. Vijana wengi siku hizi ni mchelemchele tu,mtu anajiua au anakufa sababu ya mapenzi!..ni Jehanamu straight!
Kifo cha kupigania haki Mungu anakupokea kwa mikono miwili.
 
Sio shida, Nyerere angekuwa na uoga wa kitoto nchi isingepata uhuru 1961
Nchi ilishapata Uhuru....

Uhuru uliobaki ni wewe daktari kujikomboa binafsi na familia yako ili usahau zile kazi zenu za kutumikishwa "vijiweni" na kukosa usingizi siku kadhaa.....
 
ETJLSULXJZMAFIOOVQ735PDPEI.jpg
 
Ukweli ni kwa SA mtu mweusi hamiliki chochote isipokuwa vibahasha vya unemployment benefits mwisho wa mwez. Madini ya wazungu mbuga za wanyama wazungu bahari wazungu hamna raha kiasili south ni watu weusi wapo afrika alafu wazungu watawale kirahisi tuu. Ubaya ubaya chuki iliyopo pale ni hatari
 
Back
Top Bottom