Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
sasa hili limdoli anaenda kulipiga dudu au?
raiya wa SA wanarithishana ujinga na uvivu wa mwili na akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa hili limdoli anaenda kulipiga dudu au?
Hiyo nchi ina matatizo kibao na lukuki, wananchi wao wenyewe ni matatizo tuHabari Wana JF natumaini mpo njema,
Husika na kichwa hapo juu,
Wote tunaona yanayoendelea Huko bondeni Kwa madiba, Hivi wale ndugu zetu kwa zile akili zao sijui hata nisemaje maana imekua too much aisee.
Yaani katiba ya nchi inamuwajibisha Rais mstaafu Kwa Yale mambo aliyoyatenda akiwa madarakani lakini Bado Kuna nyumbu wanamuunga mkono na kuamua kufanya vurugu kama zile aiseee.
Leo ndio nimeamini Waafrika tuna shida pahali nakumbuka Ile hotuba ya kaburu. Peter Botha alipotunanga Kwa kutuita majina yote mabaya.
Kwa kipindi kile alionekana mbaguzi mkubwa, ila Kwa haya yanayotokea naona alikua sahihi na Kwa kua hatupendi ukweli Ile inabidi tuukubali japo mchungu Sana!
Yaani jamii za kiafrika ukideal nazo Kwa kuwadekeza na kuwachekea ipo siku watakupapasa Hadi kalio
Mifano hai tunayo hata Huko Serikalini watu bila kupelekewa Moto na kuwafokea,kuwashurutisha wafanye kazi Kwa wakati utaishia kula hasara tu.
Na ndio maana makampuni mengi hapa home yanaendeshwa na wageni hasa jamaa kutoka Asia.
Tujitafakari aisee inatia aibu sana Kwa nchi kubwa Kama Ile inaaibishwa na wahuni wachache,wavivu,uneducated na wapenda ngono kuliko maendeleo.
Bitter truth!
The terrible!
🙏🙏🙏🙏
Ukwel ni kwa SA mtu mweusi hamiliki chochote isipokuwa vibahasha vya unemployment benefits mwisho wa mwez. Madini ya wazungu mbuga za wanyama wazungu bahari wazungu hamna raha kiasili south ni watu weusi wapo afrika alafu wazungu watawale kirahisi tuu. Ubaya ubaya chuki iliyopo pale ni hatari
Mtacharazwa mpaka mtachakaa, tz hamna ujinga ujinga hapa, kama unapenda mambo ya sa yafuate huko.Tuache chokochoko!
Katiba mpya itaondoa chokochoko vinginevyo tutarudishana south tu ni suala la muda tu,mifumo kandamizi ikizidi watu wataona hawana tena cha kupoteza na watageuka wazulu
Tz huo ujinga wanaofanya hao wazulu wangekuwa wameshakalishwaGeuka mzulu upelekewe moto.......
#ChokochokoMwiko
#KaziIendelee
Hiyo ni human nature,sio Waafrika tu,hata Wazungu nao wakiachwa bila sheria Kali wanaweza kufanya mambo ya ajabu hatari.Habari Wana JF natumaini mpo njema,
Husika na kichwa hapo juu,
Wote tunaona yanayoendelea Huko bondeni Kwa madiba, Hivi wale ndugu zetu kwa zile akili zao sijui hata nisemaje maana imekua too much aisee.
Yaani katiba ya nchi inamuwajibisha Rais mstaafu Kwa Yale mambo aliyoyatenda akiwa madarakani lakini Bado Kuna nyumbu wanamuunga mkono na kuamua kufanya vurugu kama zile aiseee.
Leo ndio nimeamini Waafrika tuna shida pahali nakumbuka Ile hotuba ya kaburu. Peter Botha alipotunanga Kwa kutuita majina yote mabaya.
Kwa kipindi kile alionekana mbaguzi mkubwa, ila Kwa haya yanayotokea naona alikua sahihi na Kwa kua hatupendi ukweli Ile inabidi tuukubali japo mchungu Sana!
Yaani jamii za kiafrika ukideal nazo Kwa kuwadekeza na kuwachekea ipo siku watakupapasa Hadi kalio
Mifano hai tunayo hata Huko Serikalini watu bila kupelekewa Moto na kuwafokea,kuwashurutisha wafanye kazi Kwa wakati utaishia kula hasara tu.
Na ndio maana makampuni mengi hapa home yanaendeshwa na wageni hasa jamaa kutoka Asia.
Tujitafakari aisee inatia aibu sana Kwa nchi kubwa Kama Ile inaaibishwa na wahuni wachache,wavivu,uneducated na wapenda ngono kuliko maendeleo.
Bitter truth!
The terrible!
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Jamaa kavumilia naona kashindwa. Kuna hii nimeiona mitandaoni hukoHiyo nchi ina matatizo kibao na lukuki, wananchi wao wenyewe ni matatizo tu
Asilimia kubwa ya serikali yao yote si watu weusi ?
Na kumiliki mali wazungu ni kosA?Rais wao mwenyewe si millionaire ama?Kunatofauti kati ya Nguvu ya kisiasa na nguvu ya watu wachache walioshika uchumi. Jeshi la south top ni wazungu. pale ni kiini macho tu mali zote wanamiliki wazungu wasouth serikali ni kusimamia waeusi wenzao.
Na kumiliki mali wazungu ni kosA?Rais wao mwenyewe si millionaire ama?
Ni kweli kabisaa..akili za waafrica zina shida..africa hawana tofauti na watz akili ni zile zile vichwa tofauti..JPM aliwawajibisha wakwepa kodi, wezi, wauza dawaa...leo hii hao hao watz wanawashabikia kina dialo walioibia serikali na chama miaka nenda rudi..ni yale..yanayotokea SA hayana tofaut na tz..Habari Wana JF natumaini mpo njema,
Husika na kichwa hapo juu,
Wote tunaona yanayoendelea Huko bondeni Kwa madiba, Hivi wale ndugu zetu kwa zile akili zao sijui hata nisemaje maana imekua too much aisee.
Yaani katiba ya nchi inamuwajibisha Rais mstaafu Kwa Yale mambo aliyoyatenda akiwa madarakani lakini Bado Kuna nyumbu wanamuunga mkono na kuamua kufanya vurugu kama zile aiseee.
Leo ndio nimeamini Waafrika tuna shida pahali nakumbuka Ile hotuba ya kaburu. Peter Botha alipotunanga Kwa kutuita majina yote mabaya.
Kwa kipindi kile alionekana mbaguzi mkubwa, ila Kwa haya yanayotokea naona alikua sahihi na Kwa kua hatupendi ukweli Ile inabidi tuukubali japo mchungu Sana!
Yaani jamii za kiafrika ukideal nazo Kwa kuwadekeza na kuwachekea ipo siku watakupapasa Hadi kalio
Mifano hai tunayo hata Huko Serikalini watu bila kupelekewa Moto na kuwafokea,kuwashurutisha wafanye kazi Kwa wakati utaishia kula hasara tu.
Na ndio maana makampuni mengi hapa home yanaendeshwa na wageni hasa jamaa kutoka Asia.
Tujitafakari aisee inatia aibu sana Kwa nchi kubwa Kama Ile inaaibishwa na wahuni wachache,wavivu,uneducated na wapenda ngono kuliko maendeleo.
Bitter truth!
The terrible!
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Ni kosa sana ndio kitu kinachowaumiza wa South. Ndani ya nchi yao halafu hawana ndoto yoyote. Sio kama wa south ni wavivu ukweli ni kwqmba hawaoni future
Usitetee huu ujinga..hio ni narrative wanayoenda nayo sasa...kuna kipindi walikua Wanaua waafrika wenzao wakisema wanawaibia mali zao kwenye nchi....sasa wamekuja na hii...the truth is viongozi wao wa ANC ndo wakuwalaumuNi kosa sana ndio kitu kinachowaumiza wa South. Ndani ya nchi yao halafu hawana ndoto yoyote. Sio kama wa south ni wavivu ukweli ni kwqmba hawaoni future.
Mungu arudi a reset ulimwengu, tulioo siyo penyewekabisaaaa!,,
Usitetee huu ujinga..hio ni narrative wanayoenda nayo sasa...kuna kipindi walikua Wanaua waafrika wenzao wakisema wanawaibia mali zao kwenye nchi....sasa wamekuja na hii...the truth is viongozi wao wa ANC ndo wakuwalaumu
Hivi mtu aliekuja nchini kwako akaona fursa akaitumia ,akajijenga tokea chini ..Ni sawa kumchomea biashara yake na kumuua,,we bro vipi? hilo ni kosA la serikali yako unayoichagua kushindwa kuwalinda raia wake ,sio kosa la mfanya biashara alieruhusiwa kutumia fursa aliyoiona. na-support civic nationalism lakini sio ya hivi,hawa waSauzi after years of apartheid ,they have now adopted behaviors of their former masters, they have become Black Supremacists and ethnonationalists.Wewe utaona ni sawa wanaijeria, wasomali na waethiopia waje kujazana hapa tanzania kupiga hela na kuondoka tena bila vibali?
Utajisikiaje nyie mpo halafu wageni wa nchi nyingine wanawaona nyie shamba la bibi waje kuchuma tuu na kuondoka. Hiyo ni kawaida kwa wanadamu kuonyesha hasira zao pindi wakipata nafasi ya kutoa machungu Walichokuwa wasouth wanakitafuta ni sababu tuu ili watoe machungu yao.
Waeleze wanamapinduzi wenzio wa katiba mpya!Habari Wana JF natumaini mpo njema,
Husika na kichwa hapo juu,
Wote tunaona yanayoendelea Huko bondeni Kwa madiba, Hivi wale ndugu zetu kwa zile akili zao sijui hata nisemaje maana imekua too much aisee.
Yaani katiba ya nchi inamuwajibisha Rais mstaafu Kwa Yale mambo aliyoyatenda akiwa madarakani lakini Bado Kuna nyumbu wanamuunga mkono na kuamua kufanya vurugu kama zile aiseee.
Leo ndio nimeamini Waafrika tuna shida pahali nakumbuka Ile hotuba ya kaburu. Peter Botha alipotunanga Kwa kutuita majina yote mabaya.
Kwa kipindi kile alionekana mbaguzi mkubwa, ila Kwa haya yanayotokea naona alikua sahihi na Kwa kua hatupendi ukweli Ile inabidi tuukubali japo mchungu Sana!
Yaani jamii za kiafrika ukideal nazo Kwa kuwadekeza na kuwachekea ipo siku watakupapasa Hadi kalio
Mifano hai tunayo hata Huko Serikalini watu bila kupelekewa Moto na kuwafokea,kuwashurutisha wafanye kazi Kwa wakati utaishia kula hasara tu.
Na ndio maana makampuni mengi hapa home yanaendeshwa na wageni hasa jamaa kutoka Asia.
Tujitafakari aisee inatia aibu sana Kwa nchi kubwa Kama Ile inaaibishwa na wahuni wachache,wavivu,uneducated na wapenda ngono kuliko maendeleo.
Bitter truth!
The terrible!
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Makaburu ni kama CCM, walijua uchaguzi huru na wa haki ukifanyika hakuna mzungu atatoboa.Mkuu katiba waliitunga wao Ili kuwabana viongozi wao Sasa SA washawahi kua na Rais mzungu ukiachana na kaburu kabla ya uhuru?