Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Bongo hatuna mifumo unayoisema humu.Kughushiwa kwa tepe ina maana mifumo haiko imara naamini hata ngumu mtu anaweza kughushi kama tepe imeghushiwa na wakashindwa kujua.
Mtu kwa mtindo huo anaweza kughushi zote
Ni complications tu , watembee wajifunze watu wameshatoka huko .
Kutembea huwa tunaenda kushangaa maendeleo ya wenzetu na kupiga selfie za kupost ila kunifunza ni jambo ambalo ni taboo kulifanya