Nasubiri maelezo ya ziadia kutoka kwa washangiliaji wa demokrasia ya Kenya. Hata hivyo nakubaliana na Uhuru, unafutaje kura za urais unaacha za magavana wakati ni system hiyo hiyo ilitumika kukusanya taarifa na kujumlisha kura zote za urais na magavana ?
Kwani magavana ndio walifungua Kesi?usimfuate uhuru hapo alikuwa labda asharandukaNasubiri maelezo ya ziadia kutoka kwa washangiliaji wa demokrasia ya Kenya. Hata hivyo nakubaliana na Uhuru, unafutaje kura za urais unaacha za magavana wakati ni system hiyo hiyo ilitumika kukusanya taarifa na kujumlisha kura zote za urais na magavana ?
NDIYO, LAKINI KATIKA DEMOKRASIA INAKUBALIKA; SI ANATOA MAONI YAKE KUHUSU HUKUMU AMBAYO AMEIKUBALI SASA TATIZO NINI HAPO?Kenyatta alisha jijengea heshima sana ulimwenguni kote kwa kukubali uamuzi wa mahakama japo binafsi hakuwa amekubaliana nao! Hizi kauli zake za leo zimedhihirisha kumbe na yeye ni wale wale tu - mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo! Vitisho alivyotoa hadharani vina fedhehesha sana!
Na Jecha alifanya hivo ndg.Nasubiri maelezo ya ziadia kutoka kwa washangiliaji wa demokrasia ya Kenya. Hata hivyo nakubaliana na Uhuru, unafutaje kura za urais unaacha za magavana wakati ni system hiyo hiyo ilitumika kukusanya taarifa na kujumlisha kura zote za urais na magavana ?
Rejea kiini cha malalamiko-kura za urais na si vinginevyo.Nasubiri maelezo ya ziadia kutoka kwa washangiliaji wa demokrasia ya Kenya. Hata hivyo nakubaliana na Uhuru, unafutaje kura za urais unaacha za magavana wakati ni system hiyo hiyo ilitumika kukusanya taarifa na kujumlisha kura zote za urais na magavana ?
Hapa ndio naona loop hole kubwa katika katiba ya Kenya.Kenyatta was supposed to be banned from ever holding a public office.Hivi Kenyatta kama akishinda,Mungu aepushie mbali,hao majaji walio nullify uchaguzi watakuwa wageni wa nani,si atawanyongelea mbali,because his threats tells it all.Demokrasia ina gharama zake hasa kwa nchi za Africa, baada ya Kenyatta kuonesha moyo wa kidemokrasia, leo ametoa yaliyoko moyoni mwake na kuwaambia mahakimu waliohusika na utenguzi wa ushindi wake kuwa baada siku sitini na akichaguliwa kuwa rais lazima awachunguze na kubadilisha mfumo uliopo, hivyo ni ansona ni kama walikula rushwa, pia amesema Again I say, the Court has made its decision and we respect it but we do not agree with it,” said Uhuru who was accompanied by Deputy President William Ruto. Pia aliendelea kusema
Those of governors were transmitted, no one asked questions. Now how do four people and wake up and say there was a technicality in the transmission of the results of the President only? How?” asked Uhuru...source KTN.
Mlalamikaji ni odinga kwenye inshu za uraisi na sio magavana, wao wana malalamiko tofautiNasubiri maelezo ya ziadia kutoka kwa washangiliaji wa demokrasia ya Kenya. Hata hivyo nakubaliana na Uhuru, unafutaje kura za urais unaacha za magavana wakati ni system hiyo hiyo ilitumika kukusanya taarifa na kujumlisha kura zote za urais na magavana ?
Nasubiri maelezo ya ziadia kutoka kwa washangiliaji wa demokrasia ya Kenya. Hata hivyo nakubaliana na Uhuru, unafutaje kura za urais unaacha za magavana wakati ni system hiyo hiyo ilitumika kukusanya taarifa na kujumlisha kura zote za urais na magavana ?
Hii ni kama JechaNasubiri maelezo ya ziadia kutoka kwa washangiliaji wa demokrasia ya Kenya. Hata hivyo nakubaliana na Uhuru, unafutaje kura za urais unaacha za magavana wakati ni system hiyo hiyo ilitumika kukusanya taarifa na kujumlisha kura zote za urais na magavana ?
Hii inaitwa mbwa kala mbwa.[emoji23] [emoji23][emoji137][emoji137][emoji137] Uchunguzu huru
BANNED
Kweli mkuuHapa ndio naona loop hole kubwa katika katiba ya Kenya.Kenyatta was supposed to be banned from ever holding a public office.Hizi threats tells it all.Hivi Kenyatta kama akishinda,Mungu aepushie mbali,hao majaji walio nullify uchaguzi watakuwa wageni wa nani,si atawanyongelea mbali.Duh,yangu macho.Ningewashauri wakimbie mapema.Yale yale ya Chris Msando.
Mahakama ilishaamua kilichobaki ni utekelezaji tu hayo maneno maneno ni mbwembwe tu wala hayana athari zozote.
NDIYO, LAKINI KATIKA DEMOKRASIA INAKUBALIKA; SI ANATOA MAONI YAKE KUHUSU HUKUMU AMBAYO AMEIKUBALI SASA TATIZO NINI HAPO?
Na hivyo vitisho na kuwaita majaji wakora je?NDIYO, LAKINI KATIKA DEMOKRASIA INAKUBALIKA; SI ANATOA MAONI YAKE KUHUSU HUKUMU AMBAYO AMEIKUBALI SASA TATIZO NINI HAPO?