Uhuru asema CJ Maraga atamtambua yeye ni nani, asema yeye ni rais

Uhuru asema CJ Maraga atamtambua yeye ni nani, asema yeye ni rais

Nasubiri maelezo ya ziadia kutoka kwa washangiliaji wa demokrasia ya Kenya. Hata hivyo nakubaliana na Uhuru, unafutaje kura za urais unaacha za magavana wakati ni system hiyo hiyo ilitumika kukusanya taarifa na kujumlisha kura zote za urais na magavana ?

Leo ndio mmejua!? Huo uhuni wa kitoto ulitokea hapo Znz kwa kura za muungano kuwa halali lakini za Znz kuharibika.
 
Nasubiri maelezo ya ziadia kutoka kwa washangiliaji wa demokrasia ya Kenya. Hata hivyo nakubaliana na Uhuru, unafutaje kura za urais unaacha za magavana wakati ni system hiyo hiyo ilitumika kukusanya taarifa na kujumlisha kura zote za urais na magavana ?
Kwani magavana ndio walifungua Kesi?usimfuate uhuru hapo alikuwa labda asharanduka
 
Kenyatta alisha jijengea heshima sana ulimwenguni kote kwa kukubali uamuzi wa mahakama japo binafsi hakuwa amekubaliana nao! Hizi kauli zake za leo zimedhihirisha kumbe na yeye ni wale wale tu - mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo! Vitisho alivyotoa hadharani vina fedhehesha sana!
NDIYO, LAKINI KATIKA DEMOKRASIA INAKUBALIKA; SI ANATOA MAONI YAKE KUHUSU HUKUMU AMBAYO AMEIKUBALI SASA TATIZO NINI HAPO?
 
Nasubiri maelezo ya ziadia kutoka kwa washangiliaji wa demokrasia ya Kenya. Hata hivyo nakubaliana na Uhuru, unafutaje kura za urais unaacha za magavana wakati ni system hiyo hiyo ilitumika kukusanya taarifa na kujumlisha kura zote za urais na magavana ?
Rejea kiini cha malalamiko-kura za urais na si vinginevyo.

Pia iweje kura za rais ziwe zaidi ktk vituo kuliko za nafasi nyingine?

Kama anaungwa mkono na wakenya vitisho vya nini? Msando's blood is calling!
 
Demokrasia ina gharama zake hasa kwa nchi za Africa, baada ya Kenyatta kuonesha moyo wa kidemokrasia, leo ametoa yaliyoko moyoni mwake na kuwaambia mahakimu waliohusika na utenguzi wa ushindi wake kuwa baada siku sitini na akichaguliwa kuwa rais lazima awachunguze na kubadilisha mfumo uliopo, hivyo ni ansona ni kama walikula rushwa, pia amesema Again I say, the Court has made its decision and we respect it but we do not agree with it,” said Uhuru who was accompanied by Deputy President William Ruto. Pia aliendelea kusema

Those of governors were transmitted, no one asked questions. Now how do four people and wake up and say there was a technicality in the transmission of the results of the President only? How?” asked Uhuru...source KTN.
Hapa ndio naona loop hole kubwa katika katiba ya Kenya.Kenyatta was supposed to be banned from ever holding a public office.Hivi Kenyatta kama akishinda,Mungu aepushie mbali,hao majaji walio nullify uchaguzi watakuwa wageni wa nani,si atawanyongelea mbali,because his threats tells it all.

Duh,yangu macho.Ningewashauri wakimbie mapema.Yale yale ya Chris Msando.
 
Nasubiri maelezo ya ziadia kutoka kwa washangiliaji wa demokrasia ya Kenya. Hata hivyo nakubaliana na Uhuru, unafutaje kura za urais unaacha za magavana wakati ni system hiyo hiyo ilitumika kukusanya taarifa na kujumlisha kura zote za urais na magavana ?
Mlalamikaji ni odinga kwenye inshu za uraisi na sio magavana, wao wana malalamiko tofauti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona Mseto tu hapa hapatakuwa na kitu zaidi ya hicho
 
kuibakiza hiyo tume huru ni sawa na kufanya kazi bure.

mahakama ingetoa neno kuhusiana na hatima ya chanzo cha tatizo lililopelekea uchaguzi kufutwa.
 
Nasubiri maelezo ya ziadia kutoka kwa washangiliaji wa demokrasia ya Kenya. Hata hivyo nakubaliana na Uhuru, unafutaje kura za urais unaacha za magavana wakati ni system hiyo hiyo ilitumika kukusanya taarifa na kujumlisha kura zote za urais na magavana ?

Mahakama imetoa hukumu ya kesi iliyokuwa mezani ambayo ni ya kupinga matokeo ya urais. je, hapo mahakamani kulikuwa na kesi ya magavana pia? au ulitaka wafute bila hata malalamikaji? poor you
 
Hapa ndio naona loop hole kubwa katika katiba ya Kenya.Kenyatta was supposed to be banned from ever holding a public office.Hizi threats tells it all.Hivi Kenyatta kama akishinda,Mungu aepushie mbali,hao majaji walio nullify uchaguzi watakuwa wageni wa nani,si atawanyongelea mbali.Duh,yangu macho.Ningewashauri wakimbie mapema.Yale yale ya Chris Msando.
Kweli mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kufuta matokeo ya urais ilitakiwa waje wagombea wapya kama tunavyofanya hapa kwenye ubunge, hii inaweza saidia kupunguza misuguano
 
Mahakama ilishaamua kilichobaki ni utekelezaji tu hayo maneno maneno ni mbwembwe tu wala hayana athari zozote.
NDIYO, LAKINI KATIKA DEMOKRASIA INAKUBALIKA; SI ANATOA MAONI YAKE KUHUSU HUKUMU AMBAYO AMEIKUBALI SASA TATIZO NINI HAPO?

Katika semi mbili tata duniani moja ni hii: "Sikukubali ila nakuheshimu tu!" na mwingine: "Nimekusamehe ila sitasahau kamwe!" Hivi kumheshimu mtu si kuwa umemkubali kwa mambo fulani kisha unampa heshima yake? Ukimsamehe mtu si ina maana ya kuwa umesahau yaani umeyasamehe machungu uliopata kwa matendo yake?
 
Back
Top Bottom