Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
That means Mahakama ipo Right,je katika Hali ya kawaida Odinga anaamini alishinda wakati huku kwa Magavana,Maseneta,nk kapigwa? Wakati mwingine wanapofungua kesi wawe wanaangalia uhalisia ulivyo.I bet Odinga atapigwa tenaMkuu mahakama imefikishiwa shauri la kupinga matokeo ya kupinga matokeo ya urais na sio uchaguzi wrote ,hivyo mahakama isingeweza kutoa hukumu kwa shauri ambalo halikufunguliwa mahakamani ,kwa sababu hapakuwapo na madai wala ushahidi uliotolewa mbele ya mahakama .
Sent using Jamii Forums mobile app