Uhuru asema CJ Maraga atamtambua yeye ni nani, asema yeye ni rais

Uhuru asema CJ Maraga atamtambua yeye ni nani, asema yeye ni rais

Kwa hiyo huyo aliyewatishia majaji ni Uhuru Kenyatta mwingine? Inawezekana hujafuatilia kwa karibu kinachoendelea sasa hivi Kenya au umechagua cha kuamini. Ni hivi, muda mchache baada ya kutoa maneno 'mazuri' alianza kampeni na kuwaita majaji 'chokoraa'. Leo kaendeleza mashambulizi na imebidi Jumuiya ya majaji Kenya itoe statement maana wanahofia hatma ya majaji wenzao.
Na kwa hasira alianza kampeni mara tu baada ya majaji hao kutoa hukumu hiyo. Tume ya Uchaguzi bado haijatoa tarehe ya kuanza kampeni za duru hili la marudio. Yeye kaanza, kitu ambacho ni uvunjifu wa sheria ya uchaguzi na dharau kwa tume yao ya uchaguzi. Ni wazi kabisa kuwa ana hasira na mahakama hiyo ya juu pamoja na hiyo tume ya uchaguzi inayoitwa IEBC. Halafu nyumbu wa Tz wanataka tukajifunze mambo hayo ya Kenya.
 
Kenyatta alisha jijengea heshima sana ulimwenguni kote kwa kukubali uamuzi wa mahakama japo binafsi hakuwa amekubaliana nao! Hizi kauli zake za leo zimedhihirisha kumbe na yeye ni wale wale tu - mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo! Vitisho alivyotoa hadharani vina fedhehesha sana!
Ngoja waje waleeeee....'ameandika tundu lisu.......'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wengine ni sawa na maiti mnasikitisha, Kenyatta alidhadeclare peaceful end over powers akipoteza uchaguzi.

Tatizo lenu ni lugha inawasumbuwa.

Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOT

Endelea kuota, kwa ufupi hicho kitu cha kukabidhi madaraka hakipo kwa Kenyatta , ni lugha ipi inayosumbua? lugha zote zinaeleweka. Unafikiri watu tumemjua Kenyatta jana? ,acha mahaba ndugu yangu yasiokuwa na tija, issue ya Kenya election ni handle with care, sikuogopeshi na pia nathamini upande ulioko maana hiyo ndo demokrasia.
 
Uhuru Kenyatta amekuwa muungwana sana. Baba yake alikuwa noma. Mzee Jomo Kenyatta alikuwa hachelewi kutukana 'kum@mayo' wapinzani wake. Ukitaka kumsikiliza, Google 'shukran ya punda ni mateke jomo kenyatta'.
 
Achia mbali kuwanyonga, swali kubwa zaidi ni je yuko tayari kuachia kiti akishindwa? hapo ni sahau halitatokea kwa uhuru watapigana hadi kesho asubuhi, kama mahakama tu imetupilia mbali uchaguzi ambao aliiba lakini katoa vitisho vikali kwa mahakimu wasitegemee hata siku moja atasema kweli upinzani kiti ni hiki hapa. Watu huwa hawamjui uhuru, anavyowachekea kwenye tv ni tofauti kabisa, hata IEBC ilikuwa kwenye pressure kubwa sana hadi kutangaza yale matokeo, nchi ya Kenya ni ya Kenyatta family penda usipende, demokrasia ni kuzuga zuga tu.
Atleast amejitahidi "kuzuga" basi. Mbn sisi hta kuzuga tumeshindwa mkuu...!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole, kamabumeanza kumfuatilia Kenyatta kipindi hicho basi nibkweli humjui.

Kenyatta sliteuliwa kumrirhi Moi kwenye uchaguzi Narc wakamsimamisha Mwai Kibaki na Uhuru akashindwa uchaguzi wa Urais na akakubali matokeo kwa amani.

Magufuli anawajuwa vizuri kama anatawala maiti. Blah blah tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi wew unajua Mwai kibaki ni nani kwa Kenyatta ? kwa taarifa yako Mwai kibaki ni baba yake uhuru wa kiroho aliemsimamia uhuru ubatizo, hivo kukubali kushindwa na Mwai ni sawa, ni mtu na baba yake+kabila moja, na alijua baada ya mwai narudi pale , lakini ni kupoteza muda na wakati kujidanga kuwa uhuru anaweza akakabidhi madaraka kwa odinga, ni ndoto. Upo Kenya ,nimekuwa Kenya miaka mingi zaidi ya 11 yrs na nikatoka hivyo naijua Kenya na namjua uhuru tofauti na ufikiriavyo.
 
Demokrasia ina gharama zake hasa kwa nchi za Africa, baada ya Kenyatta kuonesha moyo wa kidemokrasia, leo ametoa yaliyoko moyoni mwake na kuwaambia mahakimu waliohusika na utenguzi wa ushindi wake kuwa baada siku sitini na akichaguliwa kuwa rais lazima awachunguze na kubadilisha mfumo uliopo, hivyo ni ansona ni kama walikula rushwa, pia amesema Again I say, the Court has made its decision and we respect it but we do not agree with it,” said Uhuru who was accompanied by Deputy President William Ruto. Pia aliendelea kusema

Those of governors were transmitted, no one asked questions. Now how do four people and wake up and say there was a technicality in the transmission of the results of the President only? How?” asked Uhuru...source KTN.
he has a point. kama mashine zilezile zilihusika kwa ma governors, na rais, kwanini rais tu ndio aonekane kutumbuliwa na magavana waonekane walipata kihalali? hilo swali linahitaji majibu.
 
Demokrasia ina gharama zake hasa kwa nchi za Africa, baada ya Kenyatta kuonesha moyo wa kidemokrasia, leo ametoa yaliyoko moyoni mwake na kuwaambia mahakimu waliohusika na utenguzi wa ushindi wake kuwa baada siku sitini na akichaguliwa kuwa rais lazima awachunguze na kubadilisha mfumo uliopo, hivyo ni ansona ni kama walikula rushwa, pia amesema Again I say, the Court has made its decision and we respect it but we do not agree with it,” said Uhuru who was accompanied by Deputy President William Ruto. Pia aliendelea kusema

Those of governors were transmitted, no one asked questions. Now how do four people and wake up and say there was a technicality in the transmission of the results of the President only? How?” asked Uhuru...source KTN.
Yeye awatishie majaji kuwachunguza huku wakenya watampiga chini, mimi nadhani hawa majaji hata kwa mungu wametimiza kazi yao waliyotumwa ya kutenda haki kwa kuzingatia haki za binadamu na utawala wa sheria so hata mungu atawalinda zidi ya watu waovu kwao na kazi zao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini amesema tena kuwa kama wasingelikuwa watunza amani angeliona cha mtema kuni na ameonesha kuchukizwa sana na maamuzi ya mahakama ya juu kabisa na amesema ina shida kubwa...
Kaendelea kusema kuwa wao kuvaa magauni wana waona wakenya wajinga.....
Kwa kauli hizi za uhuru kwakweli nimepata wasi wasi na wanao msifia,,,,,,
Uhuru kalazimishwa kuzingatia demokrasia na historia, mgawanyiko wa kikabila Kenya na kesi ya ICC tu. Si kwamba kapata muamko saaana. Africa matatizo yetu yale yale kote.

Tunaomsifia Uhuru si kwamba hatujui hayo.Ila ingewezekana kabisa awe kichaa zaidi na kusababisha mauaji.
 
Kwa wale wafuatiliaji wa kina (sio wababaishaji) wa masuala ya siasa mnajua siku moja baada ya mahakama ya juu ya Kenya (Supreme court) kutengua matokeo ya urais nchini Kenya vioja gani vinaendelea.

Anayesemekana ndio mshindi wa urais mhe. Uhuru kenyata ameapa kwamba iwapo atashinda tena uchaguzi was urais lazima achunguze mwenendo wa tume kuu ya majaji wa supreme court na kuifumua tote.

Pia wakati mwingine amenukuliwa akisema kuwa kuna harufu ya rushwa kwa majaji wakuu waliofanya maamuzi ya kufuta matokeo ya urais na kukataa kafanyika mabadiliko ya makamishna watume ya uchaguzi (IEBC)

Ikumbukwe kuwa odinga ameendelea kuwa mhanga wa mchakato huu kwani kaapa kususia uchaguzi iwapo tume haitarekebishwa.

Nini maoni yako kwa mwenendo wa kauli za kubadilika za mheshimiwa rais Kenyata
 
Kwa maoni yangu Uhuru Kenyatta hakutegemea kushindwa kortini... amefoka siku mbili mfululizo...
 
Yap UHURU yuko sahihi tena sana... Gharama za uchaguzi ni nyingi ni bora kurudia kuhesabu kura zote kuliko kurudia uchaguzi wote...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Demokrasia ina gharama zake hasa kwa nchi za Africa, baada ya Kenyatta kuonesha moyo wa kidemokrasia, leo ametoa yaliyoko moyoni mwake na kuwaambia mahakimu waliohusika na utenguzi wa ushindi wake kuwa baada siku sitini na akichaguliwa kuwa rais lazima awachunguze na kubadilisha mfumo uliopo, hivyo ni ansona ni kama walikula rushwa, pia amesema Again I say, the Court has made its decision and we respect it but we do not agree with it,” said Uhuru who was accompanied by Deputy President William Ruto. Pia aliendelea kusema

Those of governors were transmitted, no one asked questions. Now how do four people and wake up and say there was a technicality in the transmission of the results of the President only? How?” asked Uhuru...source KTN.

Dear all,
Sometimes this kind of leaders confuse us a lot, how come you start creating environments of fears trembling other leaders who are there constitutionally?. They have forgotten that it is their constitution which they voted for some couples of years ago. As a present, what kind of image are you creating to all Kenyans when you speak those kind of remarks to the supreme court?. Here, the president is showing total disrespect to the supreme court, and creating an environment haterate between the government itself and judicially which are independent pillars of the nation.

By trying to analyse president's remarks, it look like something went wrong with Kenyatta's side as it is clearly explained by KCB scandal on trying to bribe the judge to favour his side. Having failed on the use of power of money to secure victory in court, now these guys are becoming the enemy of the supreme court, and they are now starting terrifying all the judges who come with the decision of nullifying Kenyatta's victory. Nevertheless, I can see Msando's blood is strongly speaking indeed, if these guys were behind with his death, it is with no doubt that they are going to fail.

Besides, I heard one day Kenyatta wishing all the best to Odinga if the court will judge in favour of his side, he insisted not dare to increase the salaries of the Kenyan lawmakers, and correct me if I'm wrong my friends. Surprisingly, with my own ear and eye, I have heard and seen the contradicting statements from Kenyatta.

Lastly, these guys should respect the supreme court's decision, and if they will continue terrifying them, this statement will be true "we are still having an illusion-type of democracy in Africa".

All the best and goodnight,
K
 
Back
Top Bottom