Uhuru asema CJ Maraga atamtambua yeye ni nani, asema yeye ni rais

Uhuru asema CJ Maraga atamtambua yeye ni nani, asema yeye ni rais

"...........wacha niseme kwa HASIRA kidogo lakini kwa Amani......"

mmmhhhh
 
Trump wanamuendesha puta eti alimtisha mkuu wa FBI angeyasema haya saa hizi angekuwa jela:

 
Kule kuna kazi sana
Maana NASA wanaenda Mahakamani kutaka IEBC ifutwe
Jubilee wanataka Uchaguzi wiki 4 zijazo

Baada ya siku 60 serikali ya Mseto
Hebu rudia. Hivi ni kweli baada ya siku 60 serikali ni ya mseto?
 
Lakini amesema tena kuwa kama wasingelikuwa watunza amani angeliona cha mtema kuni na ameonesha kuchukizwa sana na maamuzi ya mahakama ya juu kabisa na amesema ina shida kubwa...
Kaendelea kusema kuwa wao kuvaa magauni wana waona wakenya wajinga.....
Kwa kauli hizi za uhuru kwakweli nimepata wasi wasi na wanao msifia,,,,,,
Ungefuatiliaa kesi pamoja na uchaguzi mzima usinge mlaamu Uhuru , huyu CJ katoa hukumu ya ovyo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru hapa alikuwa amelewa.
Chenye anasema ni kwamba yeye sasa ni sitting president, wala si president-elect.
Sijui chenye anamaanisha haswa.
ukomo wake ni mpka pale rais mteule au mpya tumwite anapo apishwa
 
Kwa kigezo gani? Unapoandika kitu chenye claim kubwa, tafadhali andika na sababu kubwa zinazokupa uwezo wa kusema hivyo.

Mimi niliposema margin inaweza kupungua, ni kwa sababu katika kutuma majibu inaonekana Uhuru aliongezewa kura, au kuna mazingira ya utatanishi kuonekana process haikuwa na integrity kwa namna ambayo ingeweza kum favor incumbent.

Wewe sababu yako ipi kusema kura zitaongezeka?
Je unauhakina na Uhuru kuongezewa kura ?? Je aliongezewa kura ngapi ?? Mbona hawakurudia kuhesabu hizo kura ?? CJ AMECHEMSHA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je unauhakina na Uhuru kuongezewa kura ?? Je aliongezewa kura ngapi ?? Mbona hawakurudia kuhesabu hizo kura ?? CJ AMECHEMSHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Unafahamu kwamba integrity ya uchaguzi ikiwa questionable materially mshindi hahitaji kuwa kaongezewa kura ili uchaguzi kuwa declared null and void?

Unaelewa maana ya "justice must not only be done, it must also appear to be done"?

Sent from my Kimulimuli
 
Labda Hilo la Kris msando, vinginevyo mahakimu Kenya wanaajiriwa na Kamati Maalum ya wataalam na wala siyo Matakwa ya Rais.
Hata hivyo hii inaonyesha kwamba madaraka Ya Rais yakipunguzwa mno ni hatari kwa Usalama wa Taifa.
Maana 'TUME HURU ILICHUKUA MSHIKO KWA MGOMBEA MMOJA HUKU MAHAKAMA IKICHUKUA KWA MGOMBEA ANAEFUATA!
Mkuu kuajiriwa na kamati maalum haimzuii Kenyatta kuwafukuza kazi.Anaweza ku-collude na hiyo kamati unayosema na wakafukuzwa kazi.Rais wa nchi sio mchezo mkuu,he is just too powerful.

Mkuu maneno kwamba "Maraga atamtambua kwamba yeye ni nani" ni too far reaching and dangerous kwa taifa na sijui kwa nini state institutions na dunia iko kimya.This guy deserves to be behind bars,he just cannot do and say what he wishes!Huku ni kutishia maisha, kwa hiyo ni wazi kwamba kuna jambo baya analopanga kumfanyia Maraga na hivyo hata kutishia amani ya Kenya kwa ujumla.

As I said Maraga na wenzie wakimbie mapema,vinginevyo Chris style.Most African leaders are just too barbaric and can never be trusted for anything.

Hayo ya kwenye "capital letters" mkuu hayana hata circumstantial evidence kwa hiyo hakuna hata haja ya kuya address.
 
Pole, kamabumeanza kumfuatilia Kenyatta kipindi hicho basi nibkweli humjui.

Kenyatta sliteuliwa kumrirhi Moi kwenye uchaguzi Narc wakamsimamisha Mwai Kibaki na Uhuru akashindwa uchaguzi wa Urais na akakubali matokeo kwa amani.

Magufuli anawajuwa vizuri kama anatawala maiti. Blah blah tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maiti mwenyewe boya wewe, hujui kitu afu unajifanya mjuaji, nyumbu mnakera.
Na usirudi bongo, usiwe maiti, uishi milele huko huko.
 
Uhuru hapa alikuwa amelewa.
Chenye anasema ni kwamba yeye sasa ni sitting president, wala si president-elect.
Sijui chenye anamaanisha haswa.
Huenda anamaanisha kwamba, hizo siku 60 akisema hakuna hela maana bajeti ya uchaguzi imetumika USD 500m huenda ikawa the same. Siku 60 zikipita ni tatizo LA kikatiba inamaana atakuwa sitting prez na majukumu kama kawa....food for thought

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom