Uhuru asema CJ Maraga atamtambua yeye ni nani, asema yeye ni rais

Uhuru asema CJ Maraga atamtambua yeye ni nani, asema yeye ni rais

kuibakiza hiyo tume huru ni sawa na kufanya kazi bure.

mahakama ingetoa neno kuhusiana na hatima ya chanzo cha tatizo lililopelekea uchaguzi kufutwa.
Mkuu, kulingana na majibu niliyopata kutona na post namba mbili ya uzi huu, inaonekana Mahakama haikuletewa shitaka linalohusu chanzo cha tatizo lililopelekea uchaguzi kufutwa (Comporomising the IECB tallying system).
 
Demokrasia ina gharama zake hasa kwa nchi za Africa, baada ya Kenyatta kuonesha moyo wa kidemokrasia, leo ametoa yaliyoko moyoni mwake na kuwaambia mahakimu waliohusika na utenguzi wa ushindi wake kuwa baada siku sitini na akichaguliwa kuwa rais lazima awachunguze na kubadilisha mfumo uliopo, hivyo ni ansona ni kama walikula rushwa, pia amesema Again I say, the Court has made its decision and we respect it but we do not agree with it,” said Uhuru who was accompanied by Deputy President William Ruto. Pia aliendelea kusema

Those of governors were transmitted, no one asked questions. Now how do four people and wake up and say there was a technicality in the transmission of the results of the President only? How?” asked Uhuru...source KTN.
Tatizo lako lugha inakugomba. Ungekuwa unaelewa lugha uhuru Kenyatta maelezo yake yapo absolute clear.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseeee nilivyomuelewa Uhuru kasema anaheshimu maamuzi ya watu 5-6 lakini hakubaliani nayo.Sasa hapo ulitaka akubaliane Na hukumu inayopinga kuwa hakushinda.Kukubaliana Na hukumu means hakushinda Na uchaguzi ukirudiwa means atafeli.Kaongea kisiasa pale kuwa watu warudi kwenye uchaguzi Na Kura zile zile wampe yeye.Kasema waamuzi ni wapiga Kura sio majaji wale.
Mie namuona yupo sahihi,akiwa Na maana ya kutopoteza Kura zake.

Hata huku TZ sidhani kama Lowassa alikubaliana Na matokeo ya Urais lakini aliheshimu uamuzi wa tume.I think Uhuru yupo Right.Ile speech ni ya kuwashawishi wapiga Kura.
Odinga awe makini Na uchaguzi wa Marudio kama atashindwa kujipanga Kura zake zitapungua.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii inaitwa mbwa kala mbwa.[emoji23] [emoji23]
Ushalamba Ban
Pole mkuu

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
Acha uoga wew ..... Ban nan huyo alolamba [emoji23][emoji23][emoji23]

BANNED
 
Kenyatta alisha jijengea heshima sana ulimwenguni kote kwa kukubali uamuzi wa mahakama japo binafsi hakuwa amekubaliana nao! Hizi kauli zake za leo zimedhihirisha kumbe na yeye ni wale wale tu - mbwa mwitu ndani ya ngozi ya kondoo! Vitisho alivyotoa hadharani vina fedhehesha sana!
Mkuu wapi katoa vitisho? Kauliza swali iweje mfumo huo huo uliofanya Kura Za magavana ziwe halali Ila Za Urais tu zisiwe halali?
Kilichoamliwa Na Mahakama ni kama alivyofanya Jecha tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
NDIYO, LAKINI KATIKA DEMOKRASIA INAKUBALIKA; SI ANATOA MAONI YAKE KUHUSU HUKUMU AMBAYO AMEIKUBALI SASA TATIZO NINI HAPO?
Jamaa sidhani kama wamemuelewa Uhuru,mie nimemuona alichoongea yupo sahihi kabisa tena katoa opinion zake yeye kama Uhuru,sasa jamaa wanasema vitisho vitisho ni vipi? Hata Akina Hilary wenyewe kuna mambo hawakukubali ila waliheshimu matakwa ya Sheria ndicho alichofanya Uhuru.Naona Uhuru heshima yake ipo palepale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rejea kiini cha malalamiko-kura za urais na si vinginevyo.

Pia iweje kura za rais ziwe zaidi ktk vituo kuliko za nafasi nyingine?

Kama anaungwa mkono na wakenya vitisho vya nini? Msando's blood is calling!
Ana majority votes katika nafasi nyingine Za magavana nk unategemea awe Na Kura chache Za Urais?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uoga wew ..... Ban nan huyo alolamba [emoji23][emoji23][emoji23]

BANNED
Kumbe uko hai
Au ndo swaga za kuweka avatar ya ban[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
Nasubiri maelezo ya ziadia kutoka kwa washangiliaji wa demokrasia ya Kenya. Hata hivyo nakubaliana na Uhuru, unafutaje kura za urais unaacha za magavana wakati ni system hiyo hiyo ilitumika kukusanya taarifa na kujumlisha kura zote za urais na magavana ?
Nadhani hujaelewa maana ya kufuta uchaguzi. Walichosema majaji ni kwamba katika kutuma matokeo ya urais kutoka acount mbalimbali, kwenda katika tume ya uchaguzi kulikuwa na makosa yalifanyika. Na wakasema watatoa ripoti ndani ya siku 21 kwanini wamefikia uamuzi huo. Hivyo kuweni na subira kuhusu ripoti hiyo. Angalizo majaji wanatambua kuwa kurudia uchaguzi ni gharama, lakini katika kutenda haki lazima ufumbe macho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anawaita majaji wa mahakama kuu wakora!! Come on people.
Halafu wapo watanzania wanambandika jina la baba wa demokrasia!!
Je na Raila Odinga aitwe nani? Mwanaharakati? Au nani
 
Aiseeee nilivyomuelewa Uhuru kasema anaheshimu maamuzi ya watu 5-6 lakini hakubaliani nayo.Sasa hapo ulitaka akubaliane Na hukumu inayopinga kuwa hakushinda.Kukubaliana Na hukumu means hakushinda Na uchaguzi ukirudiwa means atafeli.Kaongea kisiasa pale kuwa watu warudi kwenye uchaguzi Na Kura zile zile wampe yeye.Kasema waamuzi ni wapiga Kura sio majaji wale.
Mie namuona yupo sahihi,akiwa Na maana ya kutopoteza Kura zake.

Hata huku TZ sidhani kama Lowassa alikubaliana Na matokeo ya Urais lakini aliheshimu uamuzi wa tume.I think Uhuru yupo Right.Ile speech ni ya kuwashawishi wapiga Kura.
Odinga awe makini Na uchaguzi wa Marudio kama atashindwa kujipanga Kura zake zitapungua.


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa kingereza kimepita kushoto msamehe bure.

Kenyatta anakwenda kushinda uchaguzi wa marudio kwa kura zaidi kwa sababu wale undecided voters watampa kwa ushujaa alioonesha na kujali zaidi amani ya nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom