Kupiga hatua ni pamoja na kujifunza kutokana na makosa.
Kwa kuangalia tukio la jana, umuhimu wa kuwa na moderators (@mods) unaonekana wazi.
Pana haja ya kuwaandaa moderators katika hadhira kutegemeana na wageni waalikwa.
Kwa kweli kubeza majanga ya Nzige wakati waathirika wapo kulikuwa fyongo.
Kubeza vita na machafuko kwingine wakati waathirika wapo hakukuwa sawa.
Kujinasibu na kina Joe Biden nako ilikuwa ni kituko kingine mbele za wageni wetu.
Funga kazi hili la kushangaana ati kuwa baba zetu ndiyo wasafiri ...
Mbele za wageni wetu?
Hiiiiii bagosha!
Kwa kuangalia tukio la jana, umuhimu wa kuwa na moderators (@mods) unaonekana wazi.
Pana haja ya kuwaandaa moderators katika hadhira kutegemeana na wageni waalikwa.
Kwa kweli kubeza majanga ya Nzige wakati waathirika wapo kulikuwa fyongo.
Kubeza vita na machafuko kwingine wakati waathirika wapo hakukuwa sawa.
Kujinasibu na kina Joe Biden nako ilikuwa ni kituko kingine mbele za wageni wetu.
Funga kazi hili la kushangaana ati kuwa baba zetu ndiyo wasafiri ...
Mbele za wageni wetu?
Hiiiiii bagosha!