Uhuru Day: Tuliposahau Hadhira ilikuwa pia na Wageni Waalikwa

Uhuru Day: Tuliposahau Hadhira ilikuwa pia na Wageni Waalikwa

Masanja ni Comedian fake na Mchungaji fake. Pia umaarufu wake ulibebwa na kundi lao la Original Comedy. Lakini kusimama mwenyewe comedy zake hazina Mzuka na mtiririko wa kuvutia kama Joti au Mpoki.

Uwasilishaji wa Masanja ni Hovyooo sana. Sema kawa maarufu ndio maana watu wanamualika pasipo kujua madhaifu yake.
 
Mi nilitegemea kuonyesha mambo tuliyoyafanya baada ya uhuru. Nilitegemea viwanda vipite na bidhaa zao, wabunifu wapite na bidhaa n.k. Tunawaiga Korea Kaskazini na China wakati wao wanaonyesha vifaa walivyovitengeneza sisi tunadandia tu kuonyesha vifaa tulivyovinunua. Basi hili liwe funzo na miaka sabini ya uhuru natumaini tutaonyesha vya kwetu
Sisi tulionyesha tulichozalisha ni hao akina masanja na lugha zao zisizo staha eti ulitaka asafiri babako, AIBU kubwa.
 
Ilikuwa aibu kubwa sana.. nilkuwepo uwanjani ingekuwa amri ningesepa ndio mambo ya kibarua tu.
Hazikuwa sherehe za miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika, zilikuwa sherehe za mafanikio ya miaka 60 ya Rais wetu mpendwa Mama yetu Samia Suluhu Hassan na maendeleo ya walinzi wake.
 
Hazikuwa sherehe za miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika, zilikuwa sherehe za mafanikio ya miaka 60 ya Rais wetu mpendwa Mama yetu Samia Suluhu Hassan na maendeleo ya walinzi wake.

Shibe mwana malevya. Alipo kalewa hayaoni manung'uniko ya watu wake. Haoni waliokuwa wakimwunga mkono mwanzo wamemtupa mkono.

Anaona urais 2025 ambao hata jiwe na washirika wake wakiulenga:

 
Back
Top Bottom