Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heri kujadili hiyo ndege ya kukodi kula raha hewani,
Kupiga hatua ni pamoja na kujifunza kutokana na makosa.
Kwa kuangalia tukio la jana, umuhimu wa kuwa na moderators (@mods) unaonekana wazi.
Pana haja ya kuwaandaa moderators katika hadhira kutegemeana na wageni waalikwa.
Kwa kweli kubeza majanga ya Nzige wakati waathirika wapo kulikuwa fyongo.
Kubeza vita na machafuko kwingine wakati waathirika wapo hakukuwa sawa.
Kujinasibu na kina Joe Biden nako ilikuwa ni kituko kingine mbele za wageni wetu.
Funga kazi hili la kushangaana ati kuwa baba zetu ndiyo wasafiri.
Mbele za wageni wetu?
Hiiiiii bagosha!
Hawa watu wanapata mlo wanapopewa platform kwenye shughuli kama hizi.Ila sio kila shughuli lazima waalikwe. Wengi hawajitambui
Hawa wote wanachumia tumboni. Ndio maana wakati wa uchaguzi wote dugu moja. Ila sidhani kama kichwani wana uwezo wa kueleza mambo ya maana kwa watu wa aina ile walioalikwaLengo la kuwaalika ni kisiasa zaidi.
Imekaa katika kujitafutia uhalali hata kwa agenda zisizokuwa na kichwa wala miguu.
Hawa wote wanachumia tumboni. Ndio maana wakati wa uchaguzi wote dugu moja. Ila sidhani kama kichwani wana uwezo wa kueleza mambo ya maana kwa watu wa aina ile walioalikwa
Sanaa ya kushawishi vita na jiran? Ni hatari?Usichukulie seriously; alikuwa anafanya sanaa.
Hakuandaliwa, ni aibu.Maneno kama eti tuzipige na Rwanda na Kagame akiwepo hayakuwa na staha.
HahahahahahahaMungu awatie nguvu mnaofuatilia hivi vitu
Usichukulie seriously; alikuwa anafanya sanaa.
Hakuna cha kushangaa wajameni. Miaka sitini madarakani ni ulevi tosha.Tatizo siku hizi taifa linaongozwa na akili zilizochakaa, wanajua kuiba kura tu, tena siku hizi wanaiba kishamba zaidi.
Wametia aibu sana kuwaweka hao makatuni
Masanja na mwenzake
Nchii mambo muhimu wanapenda ingiza mambo yasiyokuwa na mantiki
Hata shilole si ajabu angepewa nafasi hapo
Ova
Sherehe zijazo najua watatuletea Ambaluti Kama mshehereshaji ccm ni kikundi Cha hovyo sana.
Ni fundisho kubwa sana hili. Kuweka watu wa MIZAHA au COMEDIAN kwenye shughuli nyeti kama ile ni shida sana. Ipo siku ataalikwa mkutano wa dini halafu amuambie Padri ajadiliane na wenzake kuhusu KITIMOTO.
Hakuna cha kushangaa wajameni. Miaka sitini madarakani ni ulevi tosha.