Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Fidel80,
Tumepiga mahesabu polepole kulingana n registered na turnout ya watu. Kumbuka pia kuna margin of error hapo
ya karibu 5%.
Hii ngoma ndo imekula kwa Raila na kama ana lake jambo basi awahi mahakamani na ushahidi wa kutosha
ambao utasukuma hizi kura kupinduliwa.
Habari ndo hio mazee.
Mkuu hamuendi round ya pili?
Last edited by a moderator: