Uhuru Kenyatta atashinda kwa 50.42% na Raila 45.15%...na ameshinda kwa 50.03%

Status
Not open for further replies.
Winner needs 50% + 1 votes
At least 25% of votes in 24 Counties

Je, idadi ya kura iliyobaki inamake hiyo hapo kwenye red? Na je, wanapiga kwa percentage ya kura zilizopigwa au kura zilizohesabiwa??? Naona kama ni 50.89% vile!
Hapa lazima tatizo litokee na hasa ukifikiria idadi ya kura zilizoharibika
 
Oooh. Nilipata article kwenye Mtanzania kuhusu magari na kampeni. Kama Uhuru atashinda basi karata walizozichanga watakuwa wameuvaa mkenge.

CHADEMA ilichokifanya ni political immaturity. Tatizo viongozi wa CHADEMA hawataki kujifunza hata chembe ( hasi au chanya) kutoka CCM.

Kama uhuru atashinda, tegemea magwiji wa CHADEMA hapa JF kusepa. Huta waona hasa wale walioanzisha thread.

Ndiyo siasa zenyewe. Kujifunza katika makosa.
 
Pole Rostam ,Poleni Mbowe, Pole Magufuli, !
 
namtakia kila la kheri Uhuru. wanaosema wanachadema wanamuunga mkono odinga ni waongo. mimi ni mwanachadema lakini namuunga mkono uhuru.
 
Winner needs 50% + 1 votes Atleast 25% of votes in 24 Counties
186 of 290constituenciesreporting
8,030,114 number of valid votescast
·
UHURU KENYATTA
JUBILEE
4,021,941 votes (50.1%)


RAILA ODINGA
CORD
3,595,404 votes (44.8%)

Source: Kenya Elections 2013 - Daily Nation

 

Acha sarakasi zako wewe gamba Chadema wajifunze nini toka kwa mafisadi??? wakati mwingijne sio lazima uandike hata kama huna lolote la maana la kuandika.

Kama Kikwete alipotangazwa mshindi hatukukimbia sembuse Uhuru ndio tukimbie? we hauko vizuri kichwani mwako.
 

Halafu zile artcle za Uhuru kumtembelea Kikwete, Bagamoyo kuitwa Mwai Kibaki na Katibu wa chama pamoja na Ritz kupiga kambi Nairobi wakati huu wa uchaguzi wewe hujaziona??
 
hawa wakenya ni bora wafanye sensa tu,wakijua kabila lenye idadi kubwa lichague raisi..huku ni kupotezeana muda tu...
 
mpaka sasa hivi bado mshindi hajapatikana kwa mujibu wa sheria mshindi inabidi apate zaidi ya nusu ya kura zote kilichotokea mwanzoni wakati wanahesabu kura zile zilizoharibika walikuwa hazihesabiwi kama sehemu ya kura wakati zilitakiwa zihesabiwe walipogundua ndio kura zikaanza kuhesabiwa upya
 
Halafu zile artcle za Uhuru kumtembelea Kikwete, Bagamoyo kuitwa Mwai Kibaki na Katibu wa chama pamoja na Ritz kupiga kambi Nairobi wakati huu wa uchaguzi wewe hujaziona??

Wacha wewe.
 
Kwanini hawamtaki Uhuru mkuu Kiranga?

Wamarekani inabidi wakubali kuwa ile nchi ni ya WAKENYA na wao wanaKenya ndiyo wana uhuru wa kumchagua mtu yeyote kushika uongozi wa nchi ile. Hivyo kama ni UHURU atapita wajue WAKENYA WAMEAMUA!
Again, what a coincidence, 50 years of independence, na rais anayeonekana kushinda ni UHURU. 50 years = jubilee, new beginning! A nation reborn!:israel:
 
Itabidi muujiza aisee...the stakes are too high for Uhuru Kenyatta to lose.

Mimi naona kutakua na ishu mahakamani maana hawa CORD hawajambo kwa mawakili na wansheria.
Tusubiri huko sasa.

Kumbe jamaa wana vichwa vya sheria, ngoja tusubiri tuone.
 
namtakia kila la kheri Uhuru. wanaosema wanachadema wanamuunga mkono odinga ni waongo. mimi ni mwanachadema lakini namuunga mkono uhuru.

mimi pia mwanachadema sitaki hata kumsikia odinga, kibaraka wa wazungu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…