Uhuru Kenyatta hatasahaulika kwa muda mrefu sana, ni kiongozi mstaarabu sana

Uhuru Kenyatta hatasahaulika kwa muda mrefu sana, ni kiongozi mstaarabu sana

Makabila Kenya ni zaidi ya 42. Tangu uhuru imetawaliwa na makabila mawili Mkikuyu na Mkalenjin. Progressive Uhuru Kenyatta bila kujali kabila lake aliamua kumuunga mkono Raila ila kufuta "udikteta" wa makabila mawili dhidi ya makabila 40. Mapambano yamehamia Supreme Court of Kenya-Kenya legal centre stage.
 
Back
Top Bottom