Uhuru Kenyatta hatasahaulika kwa muda mrefu sana, ni kiongozi mstaarabu sana

Makabila Kenya ni zaidi ya 42. Tangu uhuru imetawaliwa na makabila mawili Mkikuyu na Mkalenjin. Progressive Uhuru Kenyatta bila kujali kabila lake aliamua kumuunga mkono Raila ila kufuta "udikteta" wa makabila mawili dhidi ya makabila 40. Mapambano yamehamia Supreme Court of Kenya-Kenya legal centre stage.
 
Ila wanasema anapiga sana mtungi kama mwenzake kiduku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…