simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Mbona wewe mgonjwa na hatusemi?Tatizo kila wakati macho yake mekundu kama mlevi na mvuta bangi.
Ulisikia wapi?Mbona wewe mgonjwa na hatusemi?...
Ni kweli abisa.Mbona wewe mgonjwa na hatusemi?
Macjo yake ndivyo yalivyo mkuu.
Uhuru ni bonge la kiongozi
Jidu La Mabambasi
Unanijua mimi ni nani!!Muda mwingi utotoni alikuwa pembeni mwa baba yake na Marais wote wa Kenya na ujana kaulia State kwa Papa Biden kwa hiyo yeye haya mambo ya usisahau Mimi ndiye rais anaona ni ushamba.
Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
Mbona wewe una mnduku mweusi hatusemiTatizo kila wakati macho yake mekundu kama mlevi na mvuta bangi.
Ulisikia wapi?Mbona wewe una mnduku mweusi hatusemi