Uhuru Kenyatta jirani mwema, atupenda Watanzania, amkubali sana JPM. Asisitiza upendo, umoja na ushirikiano kati Wakenya na Watanzania tujenge EAC 1

Nilidhani watanzania wenye akili kama yako tayari wameisha kumbe bado upo! Hatari Sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahaaaa [emoji3][emoji23][emoji1787]. Sasa maabara tu ya kupima Covid 19 mlitupilia mbali !!. Unataka na jirani yako afuate imani zako?!

Tunategemeana sana na hasa ukiangalia takwimu za uwekezaji Tanzania, utaona umuhimu wa Kenya na waKenya Tanzania.
 
Mkuu Paskali haelewi undani wa mioyo ya serikali ya Kenya,kwa ufupi hawatutakii mema.Hakuna maana ya kuendeleza undugu katika EAC yenye watu wasiotutakia Tanzania mema.
Wewe umefahamuje undani wa mioyo ya serikali ya Kenya?
 
Pascal Mayalla,

Mkuu P ahsante kwa kutupa chakula cha "patriotism"

NB: Ukiwa unaandika makala zako style hii zitakua zinavutia kusoma kwakua dunia inatumia sheria moja ambayo ni "less is more"

Vaveja sana.
 
Mpaka Mzee Kambarage kuwapachika jina la "Nyang'au" wale jamaa alikuwa na maana yake. Aliwafahamu vizuri, jirani akikuwashia moto wa mkaa wewe muwashie wa makaa ya mawe.
 
Hawa wakenya ni wababaishaji, kwann hawakuijumugisha Tz katika orodha ya nchi zitakazoingia Kenya? pili, kwanin wanasema Watz wakiingia kenya wakae sero siku 14? na kwann huu utaratibu wa kukaa siku 14 hawakuusema toka mwanzo badala yake tulipofunga mipaka ndipo wanaibuka na hiyo hoja, ningekuwa jpm siwafungulii mpaka watakapotuliza akili ili sikuingine wajifunze ujirani mwema na waache utoto.Kwanza kusema watatufungia siku 14 tukienda kwao tayari wametufukuza.
 
hua tunatumia temporary passport mkuu, mara ya mwisho nmetumia mwaka jana september

Good , wewe ndo unaujua ukweli, temporary passport ambayo unaipata Tz kwenye office za DC ndio unaipeleka upande wa Kenya kugongewa huku mkenya anakuuliza utakaa muda gani Kenya unapigwa week mbili, sasa mayalla ana danganya watu eti utaingia kwa kitambulisho cha NIDA which is not true.

Na kwa taarifa yenu tu Kenyatta ni mzuri sana kwenye kuongea lakini kutenda anayo sema ni ngumu, ndio maana huu umoja unasua sua
 
Tuna historia na kenya muda mrefu tatizo Tanzania tunapenda sifa ya kujiunga na jumuhiya tofauti bila kuangalia maslahi yetu.
Muungano watanganyika na Zanzibar ni shida, East Africa ni shida kabla ya kurudi tena East afrika tungewaambia Kenya warudishe mali walizozuia baada ya East Africa ilipovunjika mara ya kwanza halafu tumeacha kuungana na nchi za maana kama Congo DRC tukakileta kanchi kalaghai kama Rwanda ndio masna ajenda yao kuu ilikuwa ardhi na mambo ya utalii bila visa wakati kila siku kenya wanajitahidi kutangaza vivutio vyetu viko kwao na hata bidhaa za Tanzania zenye mvuto kama konyagi zinawekewa vikwazo vingi
 
Pascal Mayalla, ng'wilage giki ng'wanamhala Papamagamba anamuharibia reputation na sifa kwenye jicho la kiintaneshino.
Show ndogo Kama hizi anashindwa kuzi handle?

Mwana diplomasia gani anatoa macho utadhani anataka kupigana?
Kuonesha ubabe, kutoa macho na kufoka bila kutazama athari zilizopita enzi tulipokuwa na mahusiano mabaya na majirani ama athari zitakazofuatia NDIO UZALENDO WA KWELI!!!
 
Kenyans ni alama kamili ya ubeberu. Beberu akikuona umenuna yeye anakuchekea, akikuona umefurahi yeye ananuna, wanaenda kwa timing ili wakwapue kwa maslahi yao hawa
umeongea vema sana, tatizo la baadhi yetu ni unafiki mtu anakufanyia mambo ya hovyo umchekee tu eti kwa sababu jirani, mbona tulipo jibu akili imewakaa sawa kama wao sio jeuri ni nini? na dawa ya jeuri ni kiburi, Mayala ni msukuma wao huwa wana msemo wao ndoho tabuu hata kama anapingu mkononi anaelekea kwenye defender.
 
Umesema vyema
 
Mayala bwana, kwahiyo unataka ile mambo ya unapingu mkononi na unapandishwa defender halafu una sema NDOHO TAABU.
 
Wachangiaji wengine bana kama macho** wewe yule kasema tusiende kwao wewe unataka kwanza kumbembeleza si ufala huo kwani ana figo yako yule au kakushikia nguvu zako za kiume......lazima tuwe negative kwenye ufala kama huu akileta fuvu unareta maiti isiyo kuwaa nandugu akireta nyoo unaweka nyoo akiweka ugoko unaweka chuma ......wakenye wanajikutaa starndand sana.....na hii ni mbaya kujiona bora kushinda mwenzako akati unataka na unauza mabilioni ya bidhaa zako kwake huo ni usen*** wa kiwango cha lami.......na hata mimi ningekuwa raisi ningefunga mpaka kabisa mwaka mzima wa uko wauko na uku ni uku ili kuikomesha huu ufala kabisa tunaoletewa.....unakazania corona ipo Tanzania mbona uku tuko sawa ........kama unaumwa ni wewe ulitaka kuwafata mabahasha wako wa kizungu ......haafu unazuia Tanzania unaruhusu china .......hakika kenyata nikikukuta peponi nakukimbiza na jiwe mpaka malaika washangae
 
Hahahaha! wakati wowote unaweza kuwa msiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…