Uhuru Kenyatta jirani mwema, atupenda Watanzania, amkubali sana JPM. Asisitiza upendo, umoja na ushirikiano kati Wakenya na Watanzania tujenge EAC 1

Siyo kila uhusiano unafaa
 
Ushauri mzuri lakini hapo kwenye kupigwa kulia ugeuze kushoto nakataa. Kama kweli ni jirani mwema kwanini anipige kofi at the first place. Wakenya ni wajinga, atakupiga kulia utamgeuzia kushoto kesho atataka akupige vibao makalioni. Sometime ili ueleweke ua mende kwa nyundo.

Awamu ijayo piga chini Pakamaganda Kabundi teua February Makanda
 
Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuaga rasmi.

Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…