Uhuru Kenyatta: Mapolisi mwambieni anayewatuma msisumbue familia yangu. Nikamateni Mimi niko hapa acheni uwoga!

Kweli wewe ni Apeche Alolo. Hujui kwamba Kenya na Tanzania zinategemeana sana kibiashara? Panapotokea machafuko Kenya ni kuwa biashara nyingi zinakwama. Madhara ni makubwa hadi kwa majirani.
kwahio kama unaagiza ngano ukraine wakati iko kwenye vita sasa utakaa kimya bila kutafuta sehemu nyigine? tapanya hio akili hayupo yeye peke yake sisi ndio tunatakiwa tuwe wabunifu.
 
Local head at your finest!!
 
Isijekuwa kama kule zambia; kiongozi anamuweka gerezani mstaafu, na yote yanawezekana.
 
Nauona Mwisho wa Ruto ,, naona kama harudi madarakani uchaguzi ujao kwa namna yoyote ile...

Uhuru alijua kenya yupo yeye na odinga akamfanya rafiki ila Ruto kajua kuna Odinga na Uhuru yeye anawafanya maadui wakati hao wanaweza kuigawa nchi na watu bila kujali mamlaka aliyonayo kwenye nchi.

Akikaza ubongo atakua na njia yake ya pekee katika nchi ya kenya, Afrika mashariki na Africa nje na ndani atakua na maadui.
 
Uhuru kachagua kuhamasisha Maandamano ya ghasia ili kuvuruga Ruto asitawale kwa amani halafu anampangia Ruto na namna ya ku dili nae

kama unaona sawa kuchochea ghasia kwny jamii acha nae aonje matunda ya kuchochea ghasia kwny familia

Mitano tena kwa Ruto
 
Aiseee
 
Ruto ni mshamba sana ndo madhara ya kumpa madarakani mshamba,tuliwaambia wakenya huyo ni zao la dikteta hawakusikia.
Ana bifu za kijinga
Wewe mtu umemshinda kwny Sanduku la kura, akakimbilia Mahakamani ukamshinda halafu anahamasisha vurugu ili Nchi isitawalike umtazame tu?

Ruto kawafanyia sana Staha wamemuona fala …acha mwiba utolewe kwa style ile ile uliyoingilia
 
Wewe mtu umemshinda kwny Sanduku la kura, akakimbilia Mahakamani ukamshinda halafu anahamasisha vurugu ili Nchi isitawalike umtazame tu?

Ruto kawafanyia sana Staha wamemuona fala …acha mwiba utolewe kwa style ile ile uliyoingilia
Kwenye Siasa Ushindi wa 51% kwa 49% ni tofauti kabisa na hisa 51% za Simba na 49 za Mo

Ushindi mwembamba Siasani unahitaji hekima kubwa ya Uongozi ndio sababu Karume kasema CCM haijawahi kushinda uRais Zanzibar

Ulokole wa Nigeria utamgharimu sana Ruto
 
Kwa mfano mnataka Rutto afanyeje hao wapinzani wake wakishinikiza maandamano kila kukicha.
Apige magoti, alie, awabembeleze, awaombe, ajiuzulu, awape vyeo, awaache waandamane waharibu uchumi au afanye nini hasa.

Huo ushindi mwembamba wa 51% si ni ushindi kikatiba? Mahakama si walienda wakashindwa, sasa wanachotaka kingine hao Kenyatta na Odinga ni kitu gani.
 
Usijifiche Kwa Katiba mpya! Mageuzi ni lazima kuondokana na wakoloni weusi! Mi-ccm yasitutishe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…