ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Na mtaendelea kuwa wajinga maana likija swala la dini akili zinawarukaTuliokuwa tunafahamu na tunasema kuwa katiba mpya hata iandikwe vipi siyo mwanzo au mwisho wa matatizo hatukueleweka.
Kudai katiba mpya ni turufu tu ya upinzani uliokosa sera. Kwa sababu katiba inaweza ikabadilishwa kidogo kidogo vifungu vikaongezwa au vikapunguzwa au vikarekebishwa.
Waafrika tu wajinga sana na hatutafikia mwisho wa ujinga kwa muda mrefu sana. Ujinga tulionao siyo wa asili ni wa kupandikizwa na huo ni mbaya zaidi kuliko ujinga wa asili.
Kweli kabisa.....Hapo kina Odinga wanataka wagawane ulaji hayo mambo sijui wanapigania ugumu wa maisha ni danganya toto
Huo ujinga haupo Kenya.Wewe mtu umemshinda kwny Sanduku la kura, akakimbilia Mahakamani ukamshinda halafu anahamasisha vurugu ili Nchi isitawalike umtazame tu?
Ruto kawafanyia sana Staha wamemuona fala …acha mwiba utolewe kwa style ile ile uliyoingilia
Watengeneze Katiba Mpya 😀Kwa mfano mnataka Rutto afanyeje hao wapinzani wake wakishinikiza maandamano kila kukicha.
Apige magoti, alie, awabembeleze, awaombe, ajiuzulu, awape vyeo, awaache waandamane waharibu uchumi au afanye nini hasa.
Huo ushindi mwembamba wa 51% si ni ushindi kikatiba? Mahakama si walienda wakashindwa, sasa wanachotaka kingine hao Kenyatta na Odinga ni kitu gani.
Wanasiasa wa Marekani wanaziishu Itikadi za vyama vyao lakuni Africa ndio ukaona Lowassa kaikodi Chadema na Membe kaikodi ACT wazalendo ili wagombee uRais!Hikma ya kugawana Madaraka kwa kuwa tu kura mmepishana kiasi kidogo inaua Demokrasia
Ushasikia upumbavu huo wa kugawana madaraka Marekani?
Hapo kina Odinga wanataka wagawane ulaji hayo mambo sijui wanapigania ugumu wa maisha ni danganya toto
Mnamchukuliaje Ruto?? Bei ya sukari na Unga ilikuaje kabla ya uchaguzi ukilinganisha na kipindi hiki?, miezi 11 ya uongozi wake out of 5 years unasema amefail? Nchi ameichukua ikiwa na mikopo iliyo mature anajaribu kila namna kurudisha nchi kwenye mstari apewe mudaKenya ilipofika haihitaji Raila ajitokeze ndio waandamane, yaani kilo ya sukari ununue elfu 10 ya bongo? Kwanini usiandamane mpaka Raila aongoze? Ni hivi Ruto amefeli tofauti na matarajio Sasa badala ya kumtuliza akili naye anatumia mbinu zile zile za kidikteta
Huyu asipokua makini bendera itapepea nusu mlingoti kabla ya 2024.
awaombe, ajiuzulu, awape vyeo, awaache waandamane waharibu uchumi au afanye nini hasa.
Huo ushindi mwembamba wa 51% si ni ushindi kikatiba? Mahakama si walienda wakashindwa, sasa wanachotaka kingine hao Kenyatta na Odinga ni kitu gani.
JK ni kiumbe toka sayari ya Jupiter ukiongelea kwny mambo ya Siasa za AfricaUhuru zao la JK
Kwani kipindi uhuru anasema COVID na Ukraine zimemuathiri mbona Ruto alikataa? Leo kawa Rais anasingizia hayo hayo.Mnamchukuliaje Ruto?? Bei ya sukari na Unga ilikuaje kabla ya uchaguzi ukilinganisha na kipindi hiki?, miezi 11 ya uongozi wake out of 5 years unasema amefail? Nchi ameichukua ikiwa na mikopo iliyo mature anajaribu kila namna kurudisha nchi kwenye mstari apewe muda
Atekeleze alichoahidi full stop, kama kafeli basi apisheKwa mfano mnataka Rutto afanyeje hao wapinzani wake wakishinikiza maandamano kila kukicha.
Apige magoti, alie, awabembeleze, awaombe, ajiuzulu, awape vyeo, awaache waandamane waharibu uchumi au afanye nini hasa.
Huo ushindi mwembamba wa 51% si ni ushindi kikatiba? Mahakama si walienda wakashindwa, sasa wanachotaka kingine hao Kenyatta na Odinga ni kitu gani.
Tulipandikizwa ujinga na nani?Tuliokuwa tunafahamu na tunasema kuwa katiba mpya hata iandikwe vipi siyo mwanzo au mwisho wa matatizo hatukueleweka.
Kudai katiba mpya ni turufu tu ya upinzani uliokosa sera. Kwa sababu katiba inaweza ikabadilishwa kidogo kidogo vifungu vikaongezwa au vikapunguzwa au vikarekebishwa.
Waafrika tu wajinga sana na hatutafikia mwisho wa ujinga kwa muda mrefu sana. Ujinga tulionao siyo wa asili ni wa kupandikizwa na huo ni mbaya zaidi kuliko ujinga wa asili.
Wanasiasa wanapoongea inabidi uwasikilize kwa akili, wanasiasa sio viongozi wa ibada ndio maana wanapeana miaka 5 kutimiza yote waliyoahidi kipindi cha Campaign. Unategemea Raila angekuwa Rais leo gharama ya maisha ingekua chini?Kwani kipindi uhuru anasema COVID na Ukraine zimemuathiri mbona Ruto alikataa? Leo kawa Rais anasingizia hayo hayo.
Ruto alisema ndani ya siku 100 bei zitashuka then miezi 11 unasema michache? Basi asingeahidi kitu kuliko kuongea uongo alafu kutafuta visingizio
Unamuonaje Odinga? Serikali ya umoja wa kitaifa ndio ilikuwa efficient kuliko serikali yoyote Ile katika history ya Kenya.Wanasiasa wanapoongea inabidi uwasikilize kwa akili, wanasiasa sio viongozi wa ibada ndio maana wanapeana miaka 5 kutimiza yote waliyoahidi kipindi cha Campaign. Unategemea Raila angekuwa Rais leo gharama ya maisha ingekua chini?
Hilo sio takwa la kikatiba, katiba yao haijalazimisha wagawane madaraka.Ushindi upo kwenye margin of error, It means it could either way. Odinga, Wajaluo wamezulumiwa haki zao tangu Uhuru.
Muhimu sana hapa Afrika tuwe serikali shirikishi zaidi ya winner take it all. Kujumuisha Kanda, kabila, wanawake, dini zote.
Ukiletewa system usiichukue jumla. Irekebishe kwa mazingira yako
Hiyo ni hoja, zaidi ya hapo hakuna visingizio sijui wagawane madaraka sijui handshake.Atekeleze alichoahidi full stop, kama kafeli basi apishe
Mzee hana shida kwani ana mtoto rais, wabunge na wenginei jumla watano hivi. Mwisho wa mwezi anazipokea kwa mikono miwili, miguu miwili na hata masikio mawili nayo yanazipokea.Haya mambo ya Uongozi ni magumu Sana Hata ukistaafu basi utaandamwa tu mimi ndio sababu Nampongeza Sana mzee Mwinyi Ruksa alipostaafu tu alikimbilia Msikitini na kujikita na mambo ya muumba tu
Nchi jirani ya Kenya Rais Ruto anampelekea moto Boss wake mstaafu Uhuru Kenyatta na kuizongazonga familia yake akiwemo mama na mtoto wake
Uhuru kamtolea uvivu Ruto kwa kumwambia amkamate Yeye asizungukezunguke tu na kuwasumbua Wanawake na Watoto
Kupitia Citizen TV Uhuru ameonekana alimwambia Ruto kwamba kuanzia sasa atailinda familia yake kwa gharama yoyote ile
Duh.... Ukiona kwako kunafuka Moshi just kwa mwenzako moto unawaka
Mlale Unono 😃