Ujinga mtupu. Kenya ya sasa inaongoza kwa rushwa na ufisadi
Hii tunaita maadili kwa viongozi mie sijaitaja hapo juuUjinga mtupu. Kenya ya sasa inaongoza kwa rushwa na ufisadi
Kwenu hayo hapo hayapo, kwanini mnawanyamazisha watu kuibua madudu yenu, katiba yenu tu hamwifuati, hayo mengine wachie jamii iliyostaarabika, au basi angalao jamii ile inayoelekea kwenye ustaarabu .Ujinga mtupu. Kenya ya sasa inaongoza kwa rushwa na ufisadi
Wewe umeisoma , tuambie sisi tusioisomaUnaongea nini wewe? Umesoma Pandora Papers kwanza?
Vile vile itafute historia ya familia ya huyo mwamba.sio wezi njaa wa kwetu huku tusio na punje hata ya ustaarabu.Wewe umeisoma , tuambie sisi tusioisoma
Binafsi upenda kumuangalia sana Kenyatta na kupata wazo kuna aja ya kuwapa uongozi damu ya wapigania uhuru.
Uhuru Kenyatta anatakiwa kuwa kitabu shule na vikaoni tumsome.
Utu
Demokrasia
Haki na usawa
Vitu hivi vitatu kwa Africa ni changamoto isipokua Kenya kwa Kenyatta.
Hivi vitu vipo Kenya, Ghana, South Africa na MalawiBinafsi upenda kumuangalia sana Kenyatta na kupata wazo kuna aja ya kuwapa uongozi damu ya wapigania uhuru.
Uhuru Kenyatta anatakiwa kuwa kitabu shule na vikaoni tumsome.
Utu
Demokrasia
Haki na usawa
Vitu hivi vitatu kwa Africa ni changamoto isipokua Kenya kwa Kenyatta.
As we speak, Uhuru Kenyatta is the best President in Afrika.Kwangu mimi Uhuru Kenyata is the best president in East Africa. Hasa kwa kuwa na sense of human respect ikifuatiwa na hayo mengine aliyoyataja muanzisha mada
Sio kweli, huyo jamaa ni muuaji smartKwangu mimi Uhuru Kenyata is the best president in East Africa. Hasa kwa kuwa na sense of human respect ikifuatiwa na hayo mengine aliyoyataja muanzisha mada
Uhuru Kenyatta? Kabisa?As we speak, Uhuru Kenyatta is the best President in Afrika.
Kuna mataifa, kama Botswana, yana uongozi mzuri, lakini wao wanaendeleza uongozi mzuri walioukuta. Uhuru amefanya kazi kubwa kuufuta mfumo mbaya wa uongozi alioukuta na kuweka mfumo bora wa uongozi. Hiyo siyo kazi ndogo. Hapa kwetu, Samia kuna mambo anajua kabisa yapo vibaya, yalianzishwa na marehemu Magufuli, na mengine yamekuwepo vipindi vyote, lakini hana ujasiri, ni muoga wa kuweza kufuta na kusimika mifumo mipya.
Lakini hawjafikia hatua ya kuwazingira hata akina mama wanaenda jogging kwa kuwatumia walioshindwa masomo.na ukabaila na UKABILA.
The hague unawahongaje sasaUhuru Kenyatta? Kabisa?
Nyie watu sijui mna matatizo gani
Hakuna raisi wa ajabu kama Uhuru, Ni mla rushwa na muuaji
Alihonga judges wa the Hague, Ila uhalisia aliua sana na alistahili hukumu.
Hizo akili zinatumika kwenu pekee, SI Kwa huyo unaepinga kuwa sio the best.Uhuru Kenyatta? Kabisa?
Nyie watu sijui mna matatizo gani
Hakuna raisi wa ajabu kama Uhuru, Ni mla rushwa na muuaji
Alihonga judges wa the Hague, Ila uhalisia aliua sana na alistahili hukumu.